Sifa za mwanaume

Sifa za mwanaume

Aiseee mbombo ngafu. Wewe una siteres sio bure.

Acha nikomee hapa, mmeanza kuitana mashoga mnatukaniana wenza mwisho mtahamia kutukaniana wazazi wenu.

Haiwaongezei kitu, acheni hizo ishu aisee.
To yeye unafahamika kama ticha humu, huoni unatoa mfano mbaya.
Acheni hizo mambo aisee
Mjibu kulingana na utaahira wake. Nenda naye pole pole mkuu
 
Sijui nacheka Nini😂
Enwei naendelea kusoma comments
 
Back
Top Bottom