Sifa za uanaume ni zipi???

Mkuu unajua kama juventus kafungwa na Ajax..

Mti wenye matunda.
 
Sifa ya mwanaume ni kila sifa inayomtofautisha na mwanamke.
 
Ukiachana na zote moja ambayo ni miongoni mwa sifa unique sisi ni polygamist in nature kwa hyo mwanaume uspokuwa na mchepuko kuna ulakini kwenye jinsia yako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…