Sifa za Uongo kwa Kibwana Shomari

Nani alileta madhara yoyote upande wa Kibwana
Hujui kama mchezaji ambaye afananii na mchezaji yeyote Tanzania kwa uwezo anaitwa Sakho ndiye aliyetupia goli na kuwasumbua sana mabeki wa Yanga. Morrison nae kafanya yake kapiga mashuti mawili yakagonga mwamba. Diarra kafanya save tatu kutoka kwa Triple C mwamba wa Lusaka kipenzi cha Msimbazi fundi wa mpira, na ndiye aliyetoa assist goli la Sakho. Kibu denis na Mugalu wamepiga mashuti kibao ila ashukuriwe Diarra kwa save alizofanya la sivyo Yanga walikuwa wanakufa goli nne. Achana na mafundi waliopo msimbazi ni level za kimataifa tupu.

 
Ubora wake utaonekana kwenye michuano ya Kimataifa. Hapo ndipo tutajua
 
Hakuna sehemu kapombe kavalishwa kikoi... Ila kuna sehemu fei toto aliteguliwa nyonga

Hakuna sehemu kapombe kavalishwa kikoi... Ila kuna sehemu fei toto aliteguliwa nyonga
Yule kateleza , fei Jana kateleza TU na akaamua kufanya maksud Ili mpira usiende mbele, na chama ana nn kwa sasa sui mtu pale
 
We
We kimsng mpira huujui laza domo ishia kutizama TU,
 
Yule kateleza , fei Jana kateleza TU na akaamua kufanya maksud Ili mpira usiende mbele, na chama ana nn kwa sasa sui mtu pale
Definition mpya ya kuteleza😂😂😂
 

Attachments

  • 4919670-d3dde97ff9607edfb878a866582f44d7.mp4
    2 MB
Kama hizi akili ndiyo unatumia kuvukia barabara jihadhari sana
 
Kama Kibwana Shomari hakuwadhibiti mastriker wa Simba, je hao striker walifunga magoal mangapi?
 
Kama hizi akili ndiyo unatumia kuvukia barabara jihadhari sana
Sasa kama mpira ni mchezo wa wazi lakini jitu linakuja kusema Kibwana anapewa sifa za uongo na wakati hakuna mchezaji yeyote wa Simba aliyefurukuta kwake. Basi tufanye wachezaji wa Simba wali perform vizuri na wakapata na goli alizike na roho yake
 
Kama Kibwana Shomari hakuwadhibiti mastriker wa Simba, je hao striker walifunga magoal mangapi?
Aliyefanya kazi kubwa ni Manyeto. Morrison alishamtoka kibwabwa ndio manyeto akamgonga Morrison kwa goti. Rejea tukio Morrison alilopata kadi pamoja na Diarra
 
Sasa kama mpira ni mchezo wa wazi lakini jitu linakuja kusema Kibwana anapewa sifa za uongo na wakati hakuna mchezaji yeyote wa Simba aliyefurukuta kwake. Basi tufanye wachezaji wa Simba wali perform vizuri na wakapata na goli alizike na roho yake
Sasa inakuwaje hamna video yoyote ikionesha kazi ya kibwabwa wenu zaidi ya ile ya fei akimpiga darizi Kapombe?
Video ndio zinampa mchezaji soko na sio maneno... Kama huamini tutaona namna gani Hinonga atapokea ofa kibao huku kibwabwa akibaki utopoloni.
 
Hatuna huo ushamba wakijinga kama wako, video ya nini wakati kila mtu kaona junsi wachezaji tena wale wanaoimbwa Msimbazi wakidhihitiwa. Wewe ni mpuuzi usiyejua mpira, tuanzie kwako kwanza kutupa video ya mchezaji wenu akimfanya Kibwana kuwa uchochoro maana wewe ndiye uliyekuja na uzi kuwa Kibwana kapewa sifa za uongo. Hivyo ulipaswa uje na ushahidi wa matukio lasivyo utakuwa kama mtoto wa kike wanavyokuwa na wivu na wambea
 
Una ushamba sana yaani mechi isha isha bado una pambana
 
Kibwana sifa yake kubwa ni kucheza rafu.
Sema marefa ni kama wanamchekea.
Anacheza rafu sana, kama atacheza kimataifa atazivaa red kadi
 
makolo habari zenu tunazo, baada ya mechi ya juzi kati tulio wakosa kosa sasa mmeamua kupiga kambi kwa mzee shomari mkimuomba kibwana asaini simba msimu ujao angali bado ana mkataba na wananchi, tena hii ni jaribio lenu la ya pili kwa huyu dogo, mshindwe na mlegee
 
Dada yangu umeandika maelezo yanachosha sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…