Sibonike
JF-Expert Member
- Dec 23, 2010
- 17,296
- 18,027
Kuna kanuni mpya itaanza kutekelezwa huu msimu mpya wa VPL.
Ili kuleta weledi na kupata watu sahihi, kanuni inataka wakuu wa vitengo vya habari, maarufu kama wasemaji wa club, wawe angalau na elimu ya Chuo Kikuu - degree.
Mmeona wasio na sifa wameanza mdogo mdogo kuondoka kwa gia za kimjijimjini ikiwemo afya mgogoro.
Kwa hili, nawapongeza TFF.
Ili kuleta weledi na kupata watu sahihi, kanuni inataka wakuu wa vitengo vya habari, maarufu kama wasemaji wa club, wawe angalau na elimu ya Chuo Kikuu - degree.
Mmeona wasio na sifa wameanza mdogo mdogo kuondoka kwa gia za kimjijimjini ikiwemo afya mgogoro.
Kwa hili, nawapongeza TFF.