sifa za wanawake "Mdigo vs Msambaa"

Oooh,

Kumbe tanga mjini ni ya wadigo, kwa hiyo mpaka wale wa afkast ni wadigo?
Wadigo wapo tanga mjini

Mwahako
Mwakidila
Mwachui

Gombero

Kicharikani

Sahara huku wamechanganyikana na Wapemba

Tanga mjin ni kwao so wapo sehem nyingi

Na wilaya ya pangani


Wadigo walifanya nisahau kurudi Manzese
 
KWA UTAFITI NILIOUFANYA...

UKISIKIA MAPENZI YAMEZALIWA TANGA UJUE INAWAHUSU WADIGO(waja leo waondoka leo) ...

UKISIKIA KUNANI PALE... UCHAWI NA UGANGA WA KIENYEJI(NAO NI UCHAWI TU) ... UJUE NI WAZIGUA...

WASAMBAA NA WABONDEI... WOTE BAADHI WANA VYOTE UCHAWI NA MAPENZI... AU HAWANA VYOTE... AU WANA KIMOJA...
 
story nyingi kama hizi hazina uhalisia hasa kwa hawa mabinti wa huku mjini kizaz cha dot.com maana wengi wao wa mjini si wale wanaojali makabila au mila za kikwao so hayo mambo ya majamboz na maujuzi ni jitihada binafsi za muhusika na bidii yake kujifunza vitu vipya atakuwaje zoba kipindi hiki cha mitandao na internet
 
Umeliona hilo ndg,mimi ni muathirika wa vitendo vya kishirikina kutoka kwa wanawake wa kisambaa,nimeponea chupuchupu kuuliwa na mke niliokuwa nimeoa mwnyj wa lushoto Lukozi huko.
 
Umemaliza kila kitu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…