sifa za wanawake "Mdigo vs Msambaa"

sifa za wanawake "Mdigo vs Msambaa"

Ukitaka mapenzi motomoto safiri na Mdigo ukitaka heshima na kujituma safiri na Msambaa.
Ila kumbuka Mdigo hana haramu na binamu yake [emoji44][emoji44][emoji44]
Ubahatike kumpata mdigo mwenye shepu kama hili, halafu mara mojamoja awe anakuonjesha Tuzu, ukiishiwa hela mbona unaweza kwenda kuuza hata makaburi ya familia ili uendelee kula mema ya nchi.
Screenshot_20220515_074500.jpg
 
Wakuu habari,

Naomba kujua sifa za viumbe hao wadigo vs wasambaa, ktk kuishi na maisha ya kila siku,

Pia Nani kafundwa Kama mmakonde?

Ujumbe

"Mwanamke ni kiumbe mpole mnyenyekevu na mwenye upendo wa kweli! Ukiona kabadilika! Jua kabadilishwa USIMLAUMU" (mshana junior 2017)

Mshana Jr
Hahaha.. Kwa wanawake wote wa Kitanga sifa ya kwanza ni kumjali mumewe... Kuna elimu maalum huko jandoni na unyagoni namna ya kumuenzi na kumtunuku, kumtosheleza, kumridhisha na kumteka mwanaume..
Tanga ni mapenzi kwanza.. Mengine yote ni ziada, kwa Tanga ni heshima kubwa kuvunja kitanda kuliko mpini wa jembe [emoji23]
 
Kwenye utafutaji wanawake wa kisambaa ni wazuri mno na anapenda kujishughulisha tofauti na wa kidigo wengi ni wavivu ila kitandani na mapishi wadigo hatari ukioa mdigo jipange sana kwa namna yoyote lazima ule na wenzio
Kama unataka mtafutaji oa msambaa
Acha kabisa wadingo wanajua kugegedana hao unaweza ongea kilugha mzeya....dah umenikumbusha mdigo wangu mie....dah mwanamke yule nitamkumbuka daima....ile bby cum in my mouth balaaa. I miss u rebecccccaaaaaa
 
Acha kabisa wadingo wanajua kugegedana hao unaweza ongea kilugha mzeya....dah umenikumbusha mdigo wangu mie....dah mwanamke yule nitamkumbuka daima....ile bby cum in my mouth balaaa. I miss u rebecccccaaaaaa
Sijui kwanini GUINESS BOOK hawakuoni uingie kwenye rekodi zao maana unatunga sana hadithi.
 
Acha kabisa wadingo wanajua kugegedana hao unaweza ongea kilugha mzeya....dah umenikumbusha mdigo wangu mie....dah mwanamke yule nitamkumbuka daima....ile bby cum in my mouth balaaa. I miss u rebecccccaaaaaa
Kumekucha ...
 
Wadigo wapo tanga mjini

Mwahako
Mwakidila
Mwachui

Gombero

Kicharikani

Sahara huku wamechanganyikana na Wapemba

Tanga mjin ni kwao so wapo sehem nyingi

Na wilaya ya pangani


Wadigo walifanya nisahau kurudi Manzese

Wadigo sio poa, nilikua nae mmoja uyo kidogo afanye nivunje ndoa yangu itakua ni wachawi maana alinishika akili mpaka nikawa zwazwa[emoji16] wanajua ngono hao sijapata kuona, siwapendi ila wakija siwezi kukataa kwawel mpak leo[emoji16]
 
Wadigo sio poa, nilikua nae mmoja uyo kidogo afanye nivunje ndoa yangu itakua ni wachawi maana alinishika akili mpaka nikawa zwazwa[emoji16] wanajua ngono hao sijapata kuona, siwapendi ila wakija siwezi kukataa kwawel mpak leo[emoji16]
wanawake na mambo ya shirki si kama pipa na mfuniko tu ao wa pwani ndo kabisa
 
Wasambaa ni wapambanaji zaisi unavyojua wachapa KAZI Wana malezi Bora Kwa watoto ,wanapenda sana ndugu haswa watu wa kabila lao Wana soko Sana la kuolewa kwao Wanachakarika Sana kutafuta pesa.
Wengi waliooa wasambaa Wana mafanikio maana wasichana wa kisambaa na wasambaa Wana nyota ya biashara ndogo ndogo

Tatizo Leo sio wajanja mweny mapenzi kuwazidi wadigo mfano mapishi ,kitandani

Wadigo ni wanawake weny upendo na huba nzuri ,mdigo anataja biashara za kistaa tu hata kama hailipi mfano kuuza nguo za kike sijuo Madera ,vipochi ila upeleke sijui sokoni humpati ,wanapenda kujifaharisha sana mfano kweny harusi kuvaa kupendeza na kupika mavyakula ya gharama hata kama anaishi nyumba ya udongo harusi atafanya ya gharama na mlolongo mrefu kuna ndundu party, kitchen party sometime harusi inakaa siku Saba ila maendeleo hakuna makazi duni

Ukitaka kumfaidi mdigo uwe na pesa basi hapo hata uoe wake sita hatokusema mtimizie Kila kitu .kuwe makini hawa ni hatari kwa wageni ambao sio jamii yao kupigwa limbwata ukasahau kwenu dk sifuri ukiwa na uwezo wa kipesa

Wadigo wanavutia ukiongea nao hautotamani kumaliza tulienda na jamaa huko udigoni alikuwa anaongea na mmoja ikapita kama lisaa ivi wanaongea tulikuwa tumepozi tunaelekea kenya nikamuuliza umemtaka au akasema napenda tu lafudhi yao ndo maana natamani kuongea nae na kumuuliza maswali
duuh umepiga spana za hatari
 
story nyingi kama hizi hazina uhalisia hasa kwa hawa mabinti wa huku mjini kizaz cha dot.com maana wengi wao wa mjini si wale wanaojali makabila au mila za kikwao so hayo mambo ya majamboz na maujuzi ni jitihada binafsi za muhusika na bidii yake kujifunza vitu vipya atakuwaje zoba kipindi hiki cha mitandao na internet
Umemaliza kila kitu.
 
Back
Top Bottom