Sifa za wanawake wa kichaga

sijui nina nini na wanawake wa marangu.
 
SIFA ZA WANAWAKE WA KICHAGA
1. Wakarimu
2. Waaminifu
3 . Wavumilivu
4. Wachapakazi
5. Hawapendi ela wanapenda maendeleo😌

Nani anabisha ? 😁ajifanye kama anajikuna😁😁😁😁😁
Hizo sifa za Mwaka gani hadi mwaka gani? Au ni za karne ipi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…