Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawajui kata uno
6,hawan chura
7,magogo
8.hawako romantic
9.ukitajirika sana unatangulizwa mbinguni.
Usipende kuandika ili uonekane tu na wewe umeandika mkuu.
9.ukifanikiwa kumuoa au kuishi nao.. uhakika wa kuwa tajiri au kupata mafanikio ni % 99 kamili
Sent using Jamii Forums mobile app
Unanini nao? Au kila ukianguka unaangkia huko?sijui nina nini na wanawake wa marangu.
Ndio maana yake mkuu.
Hiyo ni ukweli mkuu haswa wamachameUsipende kuandika ili uonekane tu na wewe umeandika mkuu.
Hizo sifa za Mwaka gani hadi mwaka gani? Au ni za karne ipiSIFA ZA WANAWAKE WA KICHAGA
1. Wakarimu
2. Waaminifu
3 . Wavumilivu
4. Wachapakazi
5. Hawapendi ela wanapenda maendeleo😌
Nani anabisha ? 😁ajifanye kama anajikuna😁😁😁😁😁
Chalii mbn hii kila mtu anajua...siri ishafichuka kitambo sasa sijui unaficha niniUsipende kuandika ili uonekane tu na wewe umeandika mkuu.
ila baada ya hapo unatangulizwa mbinguni9.ukifanikiwa kumuoa au kuishi nao.. uhakika wa kuwa tajiri au kupata mafanikio ni % 99 kamili
Sent using Jamii Forums mobile app
Unaushahidi na hiyo namba 9?6,hawan chura
7,magogo
8.hawako romantic
9.ukitajirika sana unatangulizwa mbinguni.
Mrudie muumba uwe unaswali...labda watakuacha,,,ikishindikana nenda kuhijji kabisa huo mkosi utakuepukaNdio maana yake mkuu.
we nae n manka?Wachaga njooni, kuna ujumbe wenu huku[emoji3][emoji3]
7. Wana sura nzurii.
8. Rangi ya dhahabu(white)
Sent using Jamii Forums mobile app