Sifa za wanawake wa kiganda (Ugandan ladies)

Sifa za wanawake wa kiganda (Ugandan ladies)

Ok mie sio mwanaume Ila nimekaa nao kwa muda. Sifa ya wanawake was kiganda
Moja Ni wasafi Sana. Wengi wao Ni weusi. Wengi wamejaliwa miguu na shape(Ila Wanawake wa kitanzania wazuri Sana zaidi yao). Tamaduni zao mwanamke akifikia umri wa kuvunja ungo wanafanya Labia pulling so wengi wao vinanihii vyao viko nje, Kama mwanaume sio mzoefu nao Basi unaweza hisi mwenzio intestines ziko nje kumbe amevuta nanihii[emoji23]. Ok Wana maji namaanisha maji Yale ya kurusha kabisa wakati wa tendo Hadi mwanaume anaoga kabisa[emoji4]. Wana Heshima Sana. Najua wanaume wa kitanzania hawapendi wanawake wenye maji so I feel sorry for you[emoji1]. Hao waachie tu wanaume wa kiganda maana wao mwanamke akiwa Hana maji Ni aibu anatangazwa kwamba don't go there huyo mkavuu..
 
Ok mie sio mwanaume Ila nimekaa nao kwa muda. Sifa ya wanawake was kiganda
Moja Ni wasafi Sana. Wengi wao Ni weusi. Wengi wamejaliwa miguu na shape(Ila Wanawake wa kitanzania wazuri Sana zaidi yao). Tamaduni zao mwanamke akifikia umri wa kuvunja ungo wanafanya Labia pulling so wengi wao vinanihii vyao viko nje, Kama mwanaume sio mzoefu nao Basi unaweza hisi mwenzio intestines ziko nje kumbe amevuta nanihii[emoji23]. Ok Wana maji namaanisha maji Yale ya kurusha kabisa wakati wa tendo Hadi mwanaume anaoga kabisa[emoji4]. Wana Heshima Sana. Najua wanaume wa kitanzania hawapendi wanawake wenye maji so I feel sorry for you[emoji1]. Hao waachie tu wanaume wa kiganda maana wao mwanamke akiwa Hana maji Ni aibu anatangazwa kwamba don't go there huyo mkavuu..
Hakuna uongo hata mmoja katika ulichokiandika, yaani huyu manzi naweza kula mzigo kisha nikavaa boxer na suruali nikaondoka... maana ni msafi sijawasikia harufu yoyote kwake zaid ya fresh air tuu....
Pia naona ni ka wanavimsimamo flani na adabu sijui hio unaonaje?
 
Back
Top Bottom