Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 301,577
- 754,412
Sikushauri asilani take it from meBasi anawezakua mnyankole ila sasa nilitaka kujua wengi wao kwenye ndoa wanafaa au ndo ivo tena wanaroho mbaya?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sikushauri asilani take it from meBasi anawezakua mnyankole ila sasa nilitaka kujua wengi wao kwenye ndoa wanafaa au ndo ivo tena wanaroho mbaya?
Ulikua umesema vizuri ila ulipo taja kabila la wanyakole ndo umeaharibu, hiyo ndo kabila chafu na malaya kupita zote hawaogi wale wanajipaka samuri ya ngombe tu, kama unataka kufaidi bint wa Kiganda pata muislamu ni wasafi af wa pole na wastarabu sana, wengine wanajua kiswahili japo sio kama chetu.Mkuu nimeishi Kampala tena Mengo ambako hakuna tofauti sana na Masaki na sijawahi kudate na binti wa Kigandq kwamuwa hawatumii maji kujiswafi.. Yaani wanafanana Tabia na mabinti wa Nairobi
Labda uniambie mabinti wa Kinyankole hawa ni wasafi sana!
Unajua STD ziko juu sana Kenya na Uganda ukiitoa Jinja na Mombasa kwa sababu ya kupenda uzungu kuliko uafrika?
Nifungukie mzee, maana naona mambo yanaenda moto hatarii nsije nikaingia chakike mara ya piliSikushauri asilani take it from me
Hawana shida wanawake wa kiganda. Kuna jamaa yangu mkurya alioa toto safi ya kiganda mwanamke daktari ana adabu, mzuri, mshepu kama wote. Ila jamaa mkono mwepesi. Mwanamke anapigwa lakini hasemi, sasa siku moja naona ana alama nikambana kumuuliza kulikoni. Uzuri nawajua baadhi ya ndugu zake ikabidi niwe tu mnoko. Yule mwanamke alikua na utiifu wa ajabu sana.Basi anawezakua mnyankole ila sasa nilitaka kujua wengi wao kwenye ndoa wanafaa au ndo ivo tena wanaroho mbaya?
Kuna wanyankole wameelimika siku hiziUlikua umesema vizuri ila ulipo taja kabila la wanyakole ndo umeaharibu, hiyo ndo kabila chafu na malaya kupita zote hawaogi wale wanajipaka samuri ya ngombe tu, kama unataka kufaidi bint wa Kiganda pata muislamu ni wasafi af wa pole na wastarabu sana, wengine wanajua kiswahili japo sio kama chetu.
Mila tamaduni na desturi.. Ila kama akiwa flexible mtaishiNifungukie mzee, maana naona mambo yanaenda moto hatarii nsije nikaingia chakike mara ya pili
Mkuu umemaliza kila kitu..![emoji38][emoji38][emoji38]Mkuu waganda ni wahaya waliochangamka[emoji736]
[emoji38][emoji38][emoji38]Kiingereza cha Matombo hiki na Mganda wako mnyankole
umewahi fika RwandaEast Africa hamna nchi yenye warembo kushinda Tanzania ila sio mbaya mwanaume kuchovyachovya.
Hongera kwa kuwakilisha Taifa
Wale ni washamba hata wakisoma bado ule ushamba wanao hata wakiwa na pesa bado ni wa chafu, si unaona m7 mwenyewe anatema makohozi mbele ya watu hata mbashara kwenye TV, huo ni ushamba na uchafu, je wale walioko porini na ngombe watakua wachafu kiasi gani.Kuna wanyankole wameelimika siku hizi
Basi mimi nadhani nilibahatikaWale ni washamba hata wakisoma bado ule ushamba wanao hata wakiwa na pesa bado chafu wanao, siunaona m7 mwenyewe anatema makohozi mbele ya watu hata mbashara kwenye TV, huo ni ushamba na uchafu, je wale walioko polini na ngombe watakua wachafu kiasi gani.
Mhoji vizuri atakua amekukulia Central region au amesomea pale ambapo kwenye watu wastarabu penye makazi ya Kabaka mfalume wa Buganda.Basi mimi nadhani nilibahatika
Duh ni huko huko Mengo district.. Tulikutana kiwanja kinaitwa Plan BMhoji vizuri atakua amekukulia Central region au amesomea pale ambapo kwenye watu wastarabu penye makazi ya Kabaka mfalume wa Buganda.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]sawa sawa hapo ni sehemu ya kabaka huo ni mji wake mkui kuna chuo nilishawahi ku apply kinaitwa ndejje campus,Duh ni huko huko Mengo district.. Tulikutana kiwanja kinaitwa Plan B
Nimeacha kusoma ulipoaanza kuharibu lugha za watu....kama hujuwi lugha na unaandika kwa kuboronga unakuwa na maana gani? Hivi ukiandika kwa Kiswahili kuna tatizo?Ndugu wananchi ....
Bwana kwenye pirika pirika zangu za kuachika nimejikuta nimenasa kwa mtoto bint wa kiganda.
Huyu binti ni binti kweli kifua kimesimama,miguu nyama figure nyembamba kifupi ni wa kawaida ila anamvuto kwenye mapenzi.
Hajui kiswahili sema wabongo washa advance wanapeleka umbea kwa lugha yeyote siku hizi ivo alichoimba konde boy kweli tuwafiche tuu (namfichaa) maana walishampa habari zangu na mabalqa ya kuzusha zamani wakati mi nilimficha.
Msichana huyu alinisumbua kidogo kumpata, isingekua kusoma tution cuba nisingempata...
Kilicho nivutia.
1. Anamsimamo wa dini, siku moja walimtumua church kisa alivaa nguo fupi (japo kunawengne wanavaa fup zaid) lakini yeye alilichukulia swala lile very positive na kunishangaza kwakusema "those who loves, will tell you the thrue no matter it heart how much" alibadili na kufurahia ibada.
2. Alinisumbua saana kwenye kumzangamua japo diploma ya cuba iliinisaidia akaliwa... kwa shart la kupima ngoma na homa ya ini.
3. Sio goldiger
4. Hard worker
5. Anaheshima na hofu
Binafsi namuona ka ndiye mke wangu ndoa yangu ya pili sa kabla sijaamua kuoa niongezeeni sifa kuu za wanawake wa kiganda na je ni watunzi wa ndoa na familia?
Karibuni....
Sawa kijana govi....siku hizi umetahiriwa?Wanaheshima Sana na mapenzi ya dhati hawapendi kusalitiwa, ni watamu Sana
Karibu pande hizi za mutukula border uongeze uzoefu kwa watoto wa kiganda
Nawatafuna huku mdogo mdogo tuu
Nilikuwa naishi mtaa wa tatu kutoka hapo chuoni[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]sawa sawa hapo ni sehemu ya kabaka huo ni mji wake mkui kuna chuo nilishawahi ku apply kinaitwa ndejje campus,
Kumbe!!!! walininyima kazi ya u tutor loh nikarudi zangu nyumbaniNilikuwa naishi mtaa wa tatu kutoka hapo chuoni