Sifa za wanawake wa kiganda (Ugandan ladies)

Hao watu ni walevi hatari!. Vipi hukulowesha godoro?
 
Ay kaoa mnyaruanda bana
 
Mkuu, kama huyo mwanamke anamchanganyiko wa damu ya kinyarwanda na kiganda piga chini, ila kama ni mganda pure, au mchiga au mutoro weka ndani.

Roho mbaya kwa raia wa Uganda ni zao la wanyarwanda hasa wale waliokimbia huko Rwanda huyo kukuua ni dakika wamezaliana na waganda lkn zile element za roho mbaya zimo
Mganda anataka care na ukifanya usalitti asijue au usimuonyeshee na kama unataka kuoa mke mwingine hawana shida hata kama ww sio Islamic
 
Wanyaruanda kweli nnajamaa angu mama ake mnyaruanda anakuambia ni balaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…