Baba jayaron
JF-Expert Member
- Jun 29, 2015
- 4,324
- 5,933
- Thread starter
-
- #101
Kwamba hawafai nimuacheWametisha kivipi?
Kwan unamjua??kwa haraka haraka iyo pisi ni mbovu
Achana nao hao washazoea madem wao waswahili swahili.Kwamba hawafai nimuache
Tafuta mtu wa kukusaidia kuandikaSa ka neno lilitamkwa kwa kingereza mi nifanyeje??
Wengine ni wivu tuu wabongo tunajuanaAchana nao hao washazoea madem wao waswahili swahili.
Wadada wa Kiganda wako vzuri.
Kwani hujaelewa au vip??Tafuta mtu wa kukusaidia kuandika
Kwanza mpaka kulowesha we mwanaume na ashaloa saanaHao watu ni walevi hatari!. Vipi hukulowesha godoro?
Ay kaoa mnyaruanda banaWaganda wachafu haswa kujisafisha sehemu ikulu.
Wana roho mbaya zile za kuua mtu kabisa kama wanafanana na wameru.
Wanabasamu sana kwa vile yale meno yao kama wakisii na wasomali yapo nje ila rohoni wana roho mbaya kinyama.
Zaidi muulize AY alioa huko..
Eeh umesema vzuri kabisaWengine ni wivu tuu wabongo tunajuana
Wanyaruanda kweli nnajamaa angu mama ake mnyaruanda anakuambia ni balaaMkuu, kama huyo mwanamke anamchanganyiko wa damu ya kinyarwanda na kiganda piga chini, ila kama ni mganda pure, au mchiga au mutoro weka ndani.
Roho mbaya kwa raia wa Uganda ni zao la wanyarwanda hasa wale waliokimbia huko Rwanda huyo kukuua ni dakika wamezaliana na waganda lkn zile element za roho mbaya zimo
Mganda anataka care na ukifanya usalitti asijue au usimuonyeshee na kama unataka kuoa mke mwingine hawana shida hata kama ww sio Islamic
Kama ni wa kwqnza umewahi sana ku concludeNnazo nyingi tuu ila ya kiganda ndio mara ya kwanza
Sasa anaonewa wivu kwa kukagusa kaganda kamoja tu?πππEeh umesema vzuri kabisa
Eeeh kuna wanaume wanakataliwa hadi na wahayaπ€£π€£π€£Sasa anaonewa wivu kwa kukagusa kaganda kamoja tu?πππ
Hivi wahaya hawajui kusema hapana kabisa?ππππEeeh kuna wanaume wanakataliwa hadi na wahayaπ€£π€£π€£
Kwa nin wasione wivu.
Yani hawajui kusema hapana.Hivi wahaya hawajui kusema hapana kabisa?ππππ
Daah hao ni waru wakarimu kumbe?Yani hawajui kusema hapana.
Ukikataliwa na muhaya itabid kuoga maji ya upako
Eeh sanamu lao la seneneDaah hao ni waru wakarimu kumbe?
Wajengewe sanamu lao