Limbalangule
Senior Member
- Jun 14, 2023
- 131
- 264
Kwani mnyika ni mbunge wa wapi?Mbunge wenu ni Mnyika? 🐼
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani mnyika ni mbunge wa wapi?Mbunge wenu ni Mnyika? 🐼
Miji yote shida tupuNawakumbusha tu wenye kipaji cha kusifia hali ya upatikanaji ya maji inazidi kuwa mbaya, kwani maji yamegeuka kuwa anasa vilory vya maji vimerudi kwa Kasi kubwa na maji hutoka mara Moja kwa wiki usiku wa manane na yenyewe mkikinga madumu kadhaa tu yanakata.
Wananchi wamekata tamaa.
Hata hiyo nayo sio hakika yaani yanaweza kutoka kwa dakika 30 tu alafu yanatoka saa saba Hadi nane usikuyaani ukiyakosa jumatano mpaka jumatano nyingine
Mnyika siyo mbunge.Mbunge wenu ni Mnyika? 🐼
KWAKO CHAWA WA KIMATAIFA COMRADE Lucas Mwashambwa tububujishe kwa machozi na gazeti refu!!!
Yaani nchi inaangamia kwa ushabiki wa kijingaMnaandaliwa kwa uchaguzi. Mpaka mumuite mama yenu.
Mimi tunaweza kuwa tunatofautiana itikadi za kimawazo ila niseme ukweli kuwa your EIQ is super🔥🔥.Yawezekana wewe ndio mtu unachokozwa na kubagazwa sana humu JF😀😀😀Embu ngoja nifuatilie jambo hilo . Kwa hiyo kuweni na subira wakati huu nikifuatilia jambo hilo kutafuta majawabu.
Alafu we kwenye jukwaa la siasa umefuata nn?Mbunge wenu ni Mnyika? 🐼
Haya mambo ya kusifiana haya yanatuumiza sana wananchiNdo kwanza waziri kasifiwa huko kwa kazi nzuri.
Kuna mtu yupo mwanza kaniambia maeneo mengi maji ni shida kubwa mnoHaya mambo ya kusifiana haya yanatuumiza sana wananchi