Abdulhalim
Platinum Member
- Jul 20, 2007
- 17,215
- 3,076
Si vibaya kuandika hivi...yawezekana una matatizo ya akili, who knows?
Dogo, unajua hiii scren-name ina philosophy behind it ..Ungeijua ungalitamani kuvunja screen ya Pentium I yako....
Just watch and learn..usipige mayowe ukaamsha majirani kisa umeona sisimizi..
Endelea..