Abdulhalim
Platinum Member
- Jul 20, 2007
- 17,215
- 3,076
Si vibaya kuandika hivi...yawezekana una matatizo ya akili, who knows?
Ebwana nilikuwa kanisani jamaa mmoja akaingia na Sigara! Dah nilishtuka kweli ilibakia kidogo tuu nidondoshe bia yangu!
Inawezekana na wewe unahitaji tiba ...teh teh teh