1. Write your name it clear and readable form, possibly in capital lettersHi.
Kwa mtakaoniona mjinga mnisamehe bure.Nimegugo ila sijaelewa vizuri.
Naomba kueleweshwa yafuatayo,
1)Name in print inaandikwaje?
2)Signature kwenye form ya soft copy inaandikwaje?
Natanguliza shukrani๐๐
Nb:Mods ikiwapendeza,naomba after 24hrs mfute haka ka thread ๐๐
Nashauri kasifutwe ili kaje kamsaidie na mwingine..Hi.
Kwa mtakaoniona mjinga mnisamehe bure.Nimegugo ila sijaelewa vizuri.
Naomba kueleweshwa yafuatayo,
1)Name in print inaandikwaje?
2)Signature kwenye form ya soft copy inaandikwaje?
Natanguliza shukrani๐๐
Nb:Mods ikiwapendeza,naomba after 24hrs mfute haka ka thread ๐๐
Iko in pdf form1. Write your name it clear and readable form, possibly in capital letters
2. !!!!???? sijaelewa. Una maana kuwa una soft copy form inayotakiwa uweke signature yako, na unataka kujua namna ya kuweka? Kama ni hivyo inategema hiyo soft copy form ni ya namna gani eg PDF, MS word etc..
Basi ni rahisi tu. Kma una PC kuna online PDF editors za bure nyingi sana. Wewe Google ''online PDF editor'' utakutana na websites nyingi tu. Utatakiwa ku-upload form yako, utaandika jina lako sehemu inayotakiwa (tumia fonts za mcharazo) halafu uta-save na ku-download.Iko in pdf form
Hi.
Kwa mtakaoniona mjinga mnisamehe bure.Nimegugo ila sijaelewa vizuri.
Naomba kueleweshwa yafuatayo,
1)Name in print inaandikwaje?
2)Signature kwenye form ya soft copy inaandikwaje?
Natanguliza shukrani๐๐
Nb:Mods ikiwapendeza,naomba after 24hrs mfute haka ka thread ๐๐
Okay thanksBasi ni rahisi tu. Kma una PC kuna online PDF editors za bure nyingi sana. Wewe Google ''online PDF editor'' utakutana na websites nyingi tu. Utatakiwa ku-upload form yako, utaandika jina lako sehemu inayotakiwa (tumia fonts za mcharazo) halafu uta-save na ku-download.
asante dear ๐weka tu jina lako au initials mfano
mimi naitwa Amehlo Spero ntaweka (A.Spero)
kama wanataka signature ya mkono fanya hivi
Sign signature yako kwenye karatasi then scan ile karatasi ukimaliza ukifungua hiyo karatas hapo ulipo sign ukipabonyeza utaweza kucopy kisha ukapaste kwenye document yako ambayo unataka sign ikae
Sijui kuelekeza nimejaribu hope umeelewa
Hi.
Kwa mtakaoniona mjinga mnisamehe bure. Nimegugo ila sijaelewa vizuri.
Naomba kueleweshwa yafuatayo:
1)Name in print inaandikwaje?
2)Signature kwenye form ya soft copy inaandikwaje?
Natanguliza shukrani๐๐