Siioni Simba SC ikishika nafasi ya Pili japo jitihada za Airtel Money na Magumashi zinafanyika mno

Siioni Simba SC ikishika nafasi ya Pili japo jitihada za Airtel Money na Magumashi zinafanyika mno

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
“Kikubwa kilichotuleta Arusha ni mechi ya Ligi Kuu dhidi ya KMC, mchezo ambao utachezwa tarehe 25 majira ya saa 10:00 jioni kwenye Uwanja wa Sheikh Amri Abeid.”

“Tangu nimekuwa msemaji wa timu yenu timu haijawahi kuja Arusha hivyo nikaona hii ni nafasi nzuri ya kuja tuonane. Nimefurahi kwa mapokezi mazuri na hii inaonyesha Wanasimba wana imani na timu yao. Tumeileta mechi Arusha kwa kutambua thamani na mchango wa Wanaarusha kuipambania timu yao.”

“Mechi ilikuwa imeshapangiwa uwanja, na kutoka uwanja wa Meja Jenerali Isamuhyo na kambini kwetu ni dakika mbili lakini tukasema tuipeleke Arusha wakaione timu yao. Mara ya mwisho Arusha kuiona Simba ilikuwa ni Novemba 22, 2020 tulicheza na Coastal Union na kuwafunga bao 7-0.”

“Tumewaletea Wanasimba timu yao wafurahie kuiona. Sababu nyingine ni umuhimu wa mchezo wenyewe, wote mnafahamu tupo kwenye vita kubwa ya kupambania kwenda Ligi ya Mabingwa Afrika msimu ujao. Mechi ngumu kama hizi lazima upeleke kwa watu wagumu wagumu, baada ya tathmini watu wagumu wanapatikana wapi, tukasema tupeleke Arusha.”

“Mchezo wa Jumamosi tunahitaji ushindi, hatuna option nyingine, tena ushindi mkubwa.”
“Wanasimba wa Arusha ni watu wa kipekee, nusu na robo ya mkoa huu ni mashabiki wa Simba. Kwahiyo tumekuja nyumbani, tunaamini hapa nyumbani Arusha tutapata tunachokitaka. Mnyama kwa mapenzi yake Mungu na juhudi za Wanaarusha, Mnyama anakwenda kutakata Mei 25. Kuleta timu hapa sio jambo la bahati mbaya.”

“Wanasimba wa Arusha mna kazi kubwa ya kuhakikisha Simba inakwenda Ligi ya Mabingwa msimu ujao. Msimu ujao tunahitaji kuongeza alama za CAF, na njia pekee ni kushikiri Ligi ya Mabingwa Afrika sababu ndio michuano yenye pointi nyingi.”

“Nafasi bado ipo wazi ya kwenda Ligi ya Mabingwa msimu ujao lakini lazima tuambiane ukweli nafasi hiyo ni ngumu. Sisi kwa ukongwe wetu tukisimama imara Mnyama atapata nafasi.”- Ahmed Ally

Chanzo: Simba Sports Club

Mlikuwa wapi kuipambania Timu iwe Bingwa NBC na mnahangaika sasa ili ishike nafasi ya Pili na mje mjivunie nayo?
 
“Kikubwa kilichotuleta Arusha ni mechi ya Ligi Kuu dhidi ya KMC, mchezo ambao utachezwa tarehe 25 majira ya saa 10:00 jioni kwenye Uwanja wa Sheikh Amri Abeid.”

“Tangu nimekuwa msemaji wa timu yenu timu haijawahi kuja Arusha hivyo nikaona hii ni nafasi nzuri ya kuja tuonane. Nimefurahi kwa mapokezi mazuri na hii inaonyesha Wanasimba wana imani na timu yao. Tumeileta mechi Arusha kwa kutambua thamani na mchango wa Wanaarusha kuipambania timu yao.”

“Mechi ilikuwa imeshapangiwa uwanja, na kutoka uwanja wa Meja Jenerali Isamuhyo na kambini kwetu ni dakika mbili lakini tukasema tuipeleke Arusha wakaione timu yao. Mara ya mwisho Arusha kuiona Simba ilikuwa ni Novemba 22, 2020 tulicheza na Coastal Union na kuwafunga bao 7-0.”

“Tumewaletea Wanasimba timu yao wafurahie kuiona. Sababu nyingine ni umuhimu wa mchezo wenyewe, wote mnafahamu tupo kwenye vita kubwa ya kupambania kwenda Ligi ya Mabingwa Afrika msimu ujao. Mechi ngumu kama hizi lazima upeleke kwa watu wagumu wagumu, baada ya tathmini watu wagumu wanapatikana wapi, tukasema tupeleke Arusha.”

“Mchezo wa Jumamosi tunahitaji ushindi, hatuna option nyingine, tena ushindi mkubwa.”
“Wanasimba wa Arusha ni watu wa kipekee, nusu na robo ya mkoa huu ni mashabiki wa Simba. Kwahiyo tumekuja nyumbani, tunaamini hapa nyumbani Arusha tutapata tunachokitaka. Mnyama kwa mapenzi yake Mungu na juhudi za Wanaarusha, Mnyama anakwenda kutakata Mei 25. Kuleta timu hapa sio jambo la bahati mbaya.”

“Wanasimba wa Arusha mna kazi kubwa ya kuhakikisha Simba inakwenda Ligi ya Mabingwa msimu ujao. Msimu ujao tunahitaji kuongeza alama za CAF, na njia pekee ni kushikiri Ligi ya Mabingwa Afrika sababu ndio michuano yenye pointi nyingi.”

“Nafasi bado ipo wazi ya kwenda Ligi ya Mabingwa msimu ujao lakini lazima tuambiane ukweli nafasi hiyo ni ngumu. Sisi kwa ukongwe wetu tukisimama imara Mnyama atapata nafasi.”- Ahmed Ally

Chanzo: Simba Sports Club

Mlikuwa wapi kuipambania Timu iwe Bingwa NBC na mnahangaika sasa ili ishike nafasi ya Pili na mje mjivunie nayo?
Miongoni mwa wanaoiangamiza Simba ni Msemaji wao. Huyu amekuwa Mtu wa propaganda zaidi ya Uhalisia. Yuko tayari kuwajaza mashabiki matumaini yasiyokuwepo ilimradi mkono uende kinywani.
 
“Kikubwa kilichotuleta Arusha ni mechi ya Ligi Kuu dhidi ya KMC, mchezo ambao utachezwa tarehe 25 majira ya saa 10:00 jioni kwenye Uwanja wa Sheikh Amri Abeid.”

“Tangu nimekuwa msemaji wa timu yenu timu haijawahi kuja Arusha hivyo nikaona hii ni nafasi nzuri ya kuja tuonane. Nimefurahi kwa mapokezi mazuri na hii inaonyesha Wanasimba wana imani na timu yao. Tumeileta mechi Arusha kwa kutambua thamani na mchango wa Wanaarusha kuipambania timu yao.”

“Mechi ilikuwa imeshapangiwa uwanja, na kutoka uwanja wa Meja Jenerali Isamuhyo na kambini kwetu ni dakika mbili lakini tukasema tuipeleke Arusha wakaione timu yao. Mara ya mwisho Arusha kuiona Simba ilikuwa ni Novemba 22, 2020 tulicheza na Coastal Union na kuwafunga bao 7-0.”

“Tumewaletea Wanasimba timu yao wafurahie kuiona. Sababu nyingine ni umuhimu wa mchezo wenyewe, wote mnafahamu tupo kwenye vita kubwa ya kupambania kwenda Ligi ya Mabingwa Afrika msimu ujao. Mechi ngumu kama hizi lazima upeleke kwa watu wagumu wagumu, baada ya tathmini watu wagumu wanapatikana wapi, tukasema tupeleke Arusha.”

“Mchezo wa Jumamosi tunahitaji ushindi, hatuna option nyingine, tena ushindi mkubwa.”
“Wanasimba wa Arusha ni watu wa kipekee, nusu na robo ya mkoa huu ni mashabiki wa Simba. Kwahiyo tumekuja nyumbani, tunaamini hapa nyumbani Arusha tutapata tunachokitaka. Mnyama kwa mapenzi yake Mungu na juhudi za Wanaarusha, Mnyama anakwenda kutakata Mei 25. Kuleta timu hapa sio jambo la bahati mbaya.”

“Wanasimba wa Arusha mna kazi kubwa ya kuhakikisha Simba inakwenda Ligi ya Mabingwa msimu ujao. Msimu ujao tunahitaji kuongeza alama za CAF, na njia pekee ni kushikiri Ligi ya Mabingwa Afrika sababu ndio michuano yenye pointi nyingi.”

“Nafasi bado ipo wazi ya kwenda Ligi ya Mabingwa msimu ujao lakini lazima tuambiane ukweli nafasi hiyo ni ngumu. Sisi kwa ukongwe wetu tukisimama imara Mnyama atapata nafasi.”- Ahmed Ally

Chanzo: Simba Sports Club

Mlikuwa wapi kuipambania Timu iwe Bingwa NBC na mnahangaika sasa ili ishike nafasi ya Pili na mje mjivunie nayo?
Shida iko wapi?
 
Tatizo la timu yangu Simba ni uongozi,hao viongozi watoke watuachie timu yetu.Mo amepwaya kwenye kuhakikisha kama mwekezaji mkibwa wa Simba anakuwa na uongozi imara..uongozi boro haijifichi wala haitaji maneno mengi bali hupimwa na timu kufanya vizuri au vibaya katika misimu kadha.

NB.SIMBA ni alama inayowakilisha ushindi,utawala na ufalme katika imani ya kikikristo ...Hivyo Simba wakitaka wafanikiwe sana,wamtegemee Mungu sana kwenye soko,mfano waalike viongozi wa dini wafanye maombi kabla ya mechi n.k watatoboa sana..ila uchawi na alama ya Simba haviendani mzee
 
N
“Kikubwa kilichotuleta Arusha ni mechi ya Ligi Kuu dhidi ya KMC, mchezo ambao utachezwa tarehe 25 majira ya saa 10:00 jioni kwenye Uwanja wa Sheikh Amri Abeid.”

“Tangu nimekuwa msemaji wa timu yenu timu haijawahi kuja Arusha hivyo nikaona hii ni nafasi nzuri ya kuja tuonane. Nimefurahi kwa mapokezi mazuri na hii inaonyesha Wanasimba wana imani na timu yao. Tumeileta mechi Arusha kwa kutambua thamani na mchango wa Wanaarusha kuipambania timu yao.”

“Mechi ilikuwa imeshapangiwa uwanja, na kutoka uwanja wa Meja Jenerali Isamuhyo na kambini kwetu ni dakika mbili lakini tukasema tuipeleke Arusha wakaione timu yao. Mara ya mwisho Arusha kuiona Simba ilikuwa ni Novemba 22, 2020 tulicheza na Coastal Union na kuwafunga bao 7-0.”

“Tumewaletea Wanasimba timu yao wafurahie kuiona. Sababu nyingine ni umuhimu wa mchezo wenyewe, wote mnafahamu tupo kwenye vita kubwa ya kupambania kwenda Ligi ya Mabingwa Afrika msimu ujao. Mechi ngumu kama hizi lazima upeleke kwa watu wagumu wagumu, baada ya tathmini watu wagumu wanapatikana wapi, tukasema tupeleke Arusha.”

“Mchezo wa Jumamosi tunahitaji ushindi, hatuna option nyingine, tena ushindi mkubwa.”
“Wanasimba wa Arusha ni watu wa kipekee, nusu na robo ya mkoa huu ni mashabiki wa Simba. Kwahiyo tumekuja nyumbani, tunaamini hapa nyumbani Arusha tutapata tunachokitaka. Mnyama kwa mapenzi yake Mungu na juhudi za Wanaarusha, Mnyama anakwenda kutakata Mei 25. Kuleta timu hapa sio jambo la bahati mbaya.”

“Wanasimba wa Arusha mna kazi kubwa ya kuhakikisha Simba inakwenda Ligi ya Mabingwa msimu ujao. Msimu ujao tunahitaji kuongeza alama za CAF, na njia pekee ni kushikiri Ligi ya Mabingwa Afrika sababu ndio michuano yenye pointi nyingi.”

“Nafasi bado ipo wazi ya kwenda Ligi ya Mabingwa msimu ujao lakini lazima tuambiane ukweli nafasi hiyo ni ngumu. Sisi kwa ukongwe wetu tukisimama imara Mnyama atapata nafasi.”- Ahmed Ally

Chanzo: Simba Sports Club

Mlikuwa wapi kuipambania Timu iwe Bingwa NBC na mnahangaika sasa ili ishike nafasi ya Pili na mje mjivunie nayo?
Nasali na kuomba kila siku Simba tukose nafasi ya pili ili akili zetu zikae sawa!!!
 
Nkiweka pembeni unazi wangu wa kijani na njano, ifanyike juu chini Simba awe nafasi ya pili ili ashiriki club bingwa...Azam hamna kitu pale
 
“Kikubwa kilichotuleta Arusha ni mechi ya Ligi Kuu dhidi ya KMC, mchezo ambao utachezwa tarehe 25 majira ya saa 10:00 jioni kwenye Uwanja wa Sheikh Amri Abeid.”

“Tangu nimekuwa msemaji wa timu yenu timu haijawahi kuja Arusha hivyo nikaona hii ni nafasi nzuri ya kuja tuonane. Nimefurahi kwa mapokezi mazuri na hii inaonyesha Wanasimba wana imani na timu yao. Tumeileta mechi Arusha kwa kutambua thamani na mchango wa Wanaarusha kuipambania timu yao.”

“Mechi ilikuwa imeshapangiwa uwanja, na kutoka uwanja wa Meja Jenerali Isamuhyo na kambini kwetu ni dakika mbili lakini tukasema tuipeleke Arusha wakaione timu yao. Mara ya mwisho Arusha kuiona Simba ilikuwa ni Novemba 22, 2020 tulicheza na Coastal Union na kuwafunga bao 7-0.”

“Tumewaletea Wanasimba timu yao wafurahie kuiona. Sababu nyingine ni umuhimu wa mchezo wenyewe, wote mnafahamu tupo kwenye vita kubwa ya kupambania kwenda Ligi ya Mabingwa Afrika msimu ujao. Mechi ngumu kama hizi lazima upeleke kwa watu wagumu wagumu, baada ya tathmini watu wagumu wanapatikana wapi, tukasema tupeleke Arusha.”

“Mchezo wa Jumamosi tunahitaji ushindi, hatuna option nyingine, tena ushindi mkubwa.”
“Wanasimba wa Arusha ni watu wa kipekee, nusu na robo ya mkoa huu ni mashabiki wa Simba. Kwahiyo tumekuja nyumbani, tunaamini hapa nyumbani Arusha tutapata tunachokitaka. Mnyama kwa mapenzi yake Mungu na juhudi za Wanaarusha, Mnyama anakwenda kutakata Mei 25. Kuleta timu hapa sio jambo la bahati mbaya.”

“Wanasimba wa Arusha mna kazi kubwa ya kuhakikisha Simba inakwenda Ligi ya Mabingwa msimu ujao. Msimu ujao tunahitaji kuongeza alama za CAF, na njia pekee ni kushikiri Ligi ya Mabingwa Afrika sababu ndio michuano yenye pointi nyingi.”

“Nafasi bado ipo wazi ya kwenda Ligi ya Mabingwa msimu ujao lakini lazima tuambiane ukweli nafasi hiyo ni ngumu. Sisi kwa ukongwe wetu tukisimama imara Mnyama atapata nafasi.”- Ahmed Ally

Chanzo: Simba Sports Club

Mlikuwa wapi kuipambania Timu iwe Bingwa NBC na mnahangaika sasa ili ishike nafasi ya Pili na mje mjivunie nayo?
Naona figisu na magumashi ya hongo yataendelea kufanyika Hadi Simba imtoe Azam japo Kwa Wingi wa magoli.
 
Mbona nimeona EAST AFRIKA RADIO kuwa KMC wamekataa kucheza Arusha dhidi ya Simba?
Ni kweli,kanuni ya TFF inasema timu kubadili uwanja wa nyumbani taarifa itoke Siku saba kabla ya mchezo husika,Simba jana ndio wamebadili uwanja na match ni jumamosi.
 
“Kikubwa kilichotuleta Arusha ni mechi ya Ligi Kuu dhidi ya KMC, mchezo ambao utachezwa tarehe 25 majira ya saa 10:00 jioni kwenye Uwanja wa Sheikh Amri Abeid.”

“Tangu nimekuwa msemaji wa timu yenu timu haijawahi kuja Arusha hivyo nikaona hii ni nafasi nzuri ya kuja tuonane. Nimefurahi kwa mapokezi mazuri na hii inaonyesha Wanasimba wana imani na timu yao. Tumeileta mechi Arusha kwa kutambua thamani na mchango wa Wanaarusha kuipambania timu yao.”

“Mechi ilikuwa imeshapangiwa uwanja, na kutoka uwanja wa Meja Jenerali Isamuhyo na kambini kwetu ni dakika mbili lakini tukasema tuipeleke Arusha wakaione timu yao. Mara ya mwisho Arusha kuiona Simba ilikuwa ni Novemba 22, 2020 tulicheza na Coastal Union na kuwafunga bao 7-0.”

“Tumewaletea Wanasimba timu yao wafurahie kuiona. Sababu nyingine ni umuhimu wa mchezo wenyewe, wote mnafahamu tupo kwenye vita kubwa ya kupambania kwenda Ligi ya Mabingwa Afrika msimu ujao. Mechi ngumu kama hizi lazima upeleke kwa watu wagumu wagumu, baada ya tathmini watu wagumu wanapatikana wapi, tukasema tupeleke Arusha.”

“Mchezo wa Jumamosi tunahitaji ushindi, hatuna option nyingine, tena ushindi mkubwa.”
“Wanasimba wa Arusha ni watu wa kipekee, nusu na robo ya mkoa huu ni mashabiki wa Simba. Kwahiyo tumekuja nyumbani, tunaamini hapa nyumbani Arusha tutapata tunachokitaka. Mnyama kwa mapenzi yake Mungu na juhudi za Wanaarusha, Mnyama anakwenda kutakata Mei 25. Kuleta timu hapa sio jambo la bahati mbaya.”

“Wanasimba wa Arusha mna kazi kubwa ya kuhakikisha Simba inakwenda Ligi ya Mabingwa msimu ujao. Msimu ujao tunahitaji kuongeza alama za CAF, na njia pekee ni kushikiri Ligi ya Mabingwa Afrika sababu ndio michuano yenye pointi nyingi.”

“Nafasi bado ipo wazi ya kwenda Ligi ya Mabingwa msimu ujao lakini lazima tuambiane ukweli nafasi hiyo ni ngumu. Sisi kwa ukongwe wetu tukisimama imara Mnyama atapata nafasi.”- Ahmed Ally

Chanzo: Simba Sports Club

Mlikuwa wapi kuipambania Timu iwe Bingwa NBC na mnahangaika sasa ili ishike nafasi ya Pili na mje mjivunie nayo?
japo mimi ni yanga lakini naiombea simba ichukue nafasi ya 2 na najua ni mlima mrefu lakini tukisaidiana,tunaweza kuipata hiyo nafasi
 
Nkiweka pembeni unazi wangu wa kijani na njano, ifanyike juu chini Simba awe nafasi ya pili ili ashiriki club bingwa...Azam hamna kitu pale
Tupo pamoja Kiongozi. Tena TFF waanze leo, KMC asipotokea katika Pre-match Meeting Simba apewe Point 3 na Magoli 3. Mechi ya mwisho wahakikishe Simba anashinda 5-0. Aidha, TFF ihakikishe Azam anatoka sare mechi 1 na kama ikishindikana ashinde goli 1 kila mechi. Maana ushiriki wa Azam kwenye Klabu Bingwa kama wa UMISSETA vile.
 
Tupo pamoja Kiongozi. Tena TFF waanze leo, KMC asipotokea katika Pre-match Meeting Simba apewe Point 3 na Magoli 3. Mechi ya mwisho wahakikishe Simba anashinda 5-0. Aidha, TFF ihakikishe Azam anatoka sare mechi 1 na kama ikishindikana ashinde goli 1 kila mechi. Maana ushiriki wa Azam kwenye Klabu Bingwa kama wa UMISSETA vile.
Azam hawana maajabu nje ya mipaka yetu
 
Back
Top Bottom