Siioni Simba SC Kwenye Robo Fainali CAF

Siioni Simba SC Kwenye Robo Fainali CAF

[emoji23][emoji23][emoji23] aisee unafurahisha unasema pasi zao zilkua hazifiki goli afu baadae unasema mugali alikua yeye na goli. Mzee baba tuache uongo hii timu itafanya vizuri amini hivyo basi

70% ya pass zao ni plus plus. So 30% ndio wakibahatika kufika and still they can’t get it.

Ni namna jinsi unaelewa mambo ,
 
Ninaamini kabisa Uwezo wa kuiadhibu SSC ulikuwa ni mkubwa sana na muda mwingi TP Mazembe walipokuwa na mpira walifanya mashambulizi CONSTRUCTIVE, ni vile tu walijua ni Friendly Match.

SSC kama kawaida, ni kupigiana pigiana mapasi ambayo hayafiki Robo tatu ya uwanja, ni ma pass plus plus amabayo yanachezwa kuanzia katikati ya uwanja kurudi golini kwao. Je mpira ni possession au Matokeo.?

Kikosi cha kwanza kilijitahidi ingawa hakukuwa na stricter sababishi. Baada ya hapo, kila sub iliyofanyika ilienda kubomoa kabisa chemistry ya kikosi cha kwanza na goli likapatikana.

Kifupi mpaka sasa SSC haina mtu anaeweza kufunga magoli, na bado haina stricter ya maana. Yaani stricter zilizokuwepo ni zile ambazo haziwezi kuleta matokeo, one clear Chance unatakiwa kumuadhibu kipa. Mugalu na Kibu walikuwa na clear chance na hawakuweza kuleta Matokeo.useless

Kikosi kilishabomolewa, tujiandae kwa lolote na tusiwe na expectation zozote kwenye klabu Bingwa Africa mwaka huu.

Simba ya sasa haina Chemistry wala wachezaji watakaoweza kuipeleka timu robo fainali. Nina wasiwasi sana yatatokea ya Ud Songo huku tukiwa wazuri wa kumiliki mpira kwa nyuma.

Tatizo kubwa sajili za Mo ni sajili za kimasikini na zisizo na tija; unaenda kusajili kipa wa 5, halafu unasahau striker zenye akili. Msione Ahly inachukua makombe mkadhani ni uchawi.

Hakuna uchawi kwa mpira, ni Investment.
Simba Out
Mnasemaga hivi hivi
 
Ninaamini kabisa Uwezo wa kuiadhibu SSC ulikuwa ni mkubwa sana na muda mwingi TP Mazembe walipokuwa na mpira walifanya mashambulizi CONSTRUCTIVE, ni vile tu walijua ni Friendly Match.

SSC kama kawaida, ni kupigiana pigiana mapasi ambayo hayafiki Robo tatu ya uwanja, ni ma pass plus plus amabayo yanachezwa kuanzia katikati ya uwanja kurudi golini kwao. Je mpira ni possession au Matokeo.?

Kikosi cha kwanza kilijitahidi ingawa hakukuwa na stricter sababishi. Baada ya hapo, kila sub iliyofanyika ilienda kubomoa kabisa chemistry ya kikosi cha kwanza na goli likapatikana.

Kifupi mpaka sasa SSC haina mtu anaeweza kufunga magoli, na bado haina stricter ya maana. Yaani stricter zilizokuwepo ni zile ambazo haziwezi kuleta matokeo, one clear Chance unatakiwa kumuadhibu kipa. Mugalu na Kibu walikuwa na clear chance na hawakuweza kuleta Matokeo.useless

Kikosi kilishabomolewa, tujiandae kwa lolote na tusiwe na expectation zozote kwenye klabu Bingwa Africa mwaka huu.

Simba ya sasa haina Chemistry wala wachezaji watakaoweza kuipeleka timu robo fainali. Nina wasiwasi sana yatatokea ya Ud Songo huku tukiwa wazuri wa kumiliki mpira kwa nyuma.

Tatizo kubwa sajili za Mo ni sajili za kimasikini na zisizo na tija; unaenda kusajili kipa wa 5, halafu unasahau striker zenye akili. Msione Ahly inachukua makombe mkadhani ni uchawi.

Hakuna uchawi kwa mpira, ni Investment.
Simba Out
Unakandya anayesaji kwamba ni za kimaskini wakati ni hizohizo took us far last season

Btw who cares na unachoona au usichoona?
 
70% ya pass zao ni plus plus. So 30% ndio wakibahatika kufika and still they can’t get it.

Ni namna jinsi unaelewa mambo ,
Ile ni.mechi ya kirafiki ambayo huwezi kujua mipango ya kocha ukihusisha na mechi inayokuja mbele yao kesho kutwa tarehe 25 huwezi jua mwalimu alikua anaangali nini na kutunza wachezaji wake vipi kwaajili ya tarehe 25. Mpira ni sayansi na mipango
 
Ninaamini kabisa Uwezo wa kuiadhibu SSC ulikuwa ni mkubwa sana na muda mwingi TP Mazembe walipokuwa na mpira walifanya mashambulizi CONSTRUCTIVE, ni vile tu walijua ni Friendly Match.

SSC kama kawaida, ni kupigiana pigiana mapasi ambayo hayafiki Robo tatu ya uwanja, ni ma pass plus plus amabayo yanachezwa kuanzia katikati ya uwanja kurudi golini kwao. Je mpira ni possession au Matokeo.?

Kikosi cha kwanza kilijitahidi ingawa hakukuwa na stricter sababishi. Baada ya hapo, kila sub iliyofanyika ilienda kubomoa kabisa chemistry ya kikosi cha kwanza na goli likapatikana.

Kifupi mpaka sasa SSC haina mtu anaeweza kufunga magoli, na bado haina stricter ya maana. Yaani stricter zilizokuwepo ni zile ambazo haziwezi kuleta matokeo, one clear Chance unatakiwa kumuadhibu kipa. Mugalu na Kibu walikuwa na clear chance na hawakuweza kuleta Matokeo.useless

Kikosi kilishabomolewa, tujiandae kwa lolote na tusiwe na expectation zozote kwenye klabu Bingwa Africa mwaka huu.

Simba ya sasa haina Chemistry wala wachezaji watakaoweza kuipeleka timu robo fainali. Nina wasiwasi sana yatatokea ya Ud Songo huku tukiwa wazuri wa kumiliki mpira kwa nyuma.

Tatizo kubwa sajili za Mo ni sajili za kimasikini na zisizo na tija; unaenda kusajili kipa wa 5, halafu unasahau striker zenye akili. Msione Ahly inachukua makombe mkadhani ni uchawi.

Hakuna uchawi kwa mpira, ni Investment.
Simba Out
Hii haipunguzi machungu ya kutolewa African champion league,, nilichokiona kwenye hili gazeti lako ni wivu,chuki, umasikini na roho mbaya
 
Ninaamini kabisa Uwezo wa kuiadhibu SSC ulikuwa ni mkubwa sana na muda mwingi TP Mazembe walipokuwa na mpira walifanya mashambulizi CONSTRUCTIVE, ni vile tu walijua ni Friendly Match.

SSC kama kawaida, ni kupigiana pigiana mapasi ambayo hayafiki Robo tatu ya uwanja, ni ma pass plus plus amabayo yanachezwa kuanzia katikati ya uwanja kurudi golini kwao. Je mpira ni possession au Matokeo.?

Kikosi cha kwanza kilijitahidi ingawa hakukuwa na stricter sababishi. Baada ya hapo, kila sub iliyofanyika ilienda kubomoa kabisa chemistry ya kikosi cha kwanza na goli likapatikana.

Kifupi mpaka sasa SSC haina mtu anaeweza kufunga magoli, na bado haina stricter ya maana. Yaani stricter zilizokuwepo ni zile ambazo haziwezi kuleta matokeo, one clear Chance unatakiwa kumuadhibu kipa. Mugalu na Kibu walikuwa na clear chance na hawakuweza kuleta Matokeo.useless

Kikosi kilishabomolewa, tujiandae kwa lolote na tusiwe na expectation zozote kwenye klabu Bingwa Africa mwaka huu.

Simba ya sasa haina Chemistry wala wachezaji watakaoweza kuipeleka timu robo fainali. Nina wasiwasi sana yatatokea ya Ud Songo huku tukiwa wazuri wa kumiliki mpira kwa nyuma.

Tatizo kubwa sajili za Mo ni sajili za kimasikini na zisizo na tija; unaenda kusajili kipa wa 5, halafu unasahau striker zenye akili. Msione Ahly inachukua makombe mkadhani ni uchawi.

Hakuna uchawi kwa mpira, ni Investment.
Simba Out
Kwani ilipofika robo fainali mara 2 ulianza kuiona? Wewe siyo Mungu tuombe uhai maneno yako siyo sheria
 
Back
Top Bottom