Siioni Simba SC Kwenye Robo Fainali CAF

[emoji23][emoji23][emoji23] aisee unafurahisha unasema pasi zao zilkua hazifiki goli afu baadae unasema mugali alikua yeye na goli. Mzee baba tuache uongo hii timu itafanya vizuri amini hivyo basi

70% ya pass zao ni plus plus. So 30% ndio wakibahatika kufika and still they can’t get it.

Ni namna jinsi unaelewa mambo ,
 
Mnasemaga hivi hivi
 
Unakandya anayesaji kwamba ni za kimaskini wakati ni hizohizo took us far last season

Btw who cares na unachoona au usichoona?
 
70% ya pass zao ni plus plus. So 30% ndio wakibahatika kufika and still they can’t get it.

Ni namna jinsi unaelewa mambo ,
Ile ni.mechi ya kirafiki ambayo huwezi kujua mipango ya kocha ukihusisha na mechi inayokuja mbele yao kesho kutwa tarehe 25 huwezi jua mwalimu alikua anaangali nini na kutunza wachezaji wake vipi kwaajili ya tarehe 25. Mpira ni sayansi na mipango
 
Hii haipunguzi machungu ya kutolewa African champion league,, nilichokiona kwenye hili gazeti lako ni wivu,chuki, umasikini na roho mbaya
 
Kwani ilipofika robo fainali mara 2 ulianza kuiona? Wewe siyo Mungu tuombe uhai maneno yako siyo sheria
 
Hili lililoandika thread hii ni bonge la topolo.

Utopolo wanachojua ni uchawi wa Mzee Mpili tu.[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Kwa nini unadhani Mimi UTOPOLO. Kwanini ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…