1kush africa
JF-Expert Member
- Dec 13, 2016
- 9,552
- 13,090
Huyo ni DMUzi wako umekaa kinazi sana,by the way waachie wenye Simba yao,nyie mmeshatolewa kazi iliyobaki kwenu sasa hivi ni kupokea timu ngeni ambazo zitakuja kucheza na Simba Nalog off!
Wanatimua kochaIle ni.mechi ya kirafiki ambayo huwezi kujua mipango ya kocha ukihusisha na mechi inayokuja mbele yao kesho kutwa tarehe 25 huwezi jua mwalimu alikua anaangali nini na kutunza wachezaji wake vipi kwaajili ya tarehe 25. Mpira ni sayansi na mipango
Hata VPL mwaka huu,simba kuchukua ubingwa itakuwa ni Bahati.
Hao.uto au [emoji881]Wanatimua kocha
Ninaamini kabisa Uwezo wa kuiadhibu SSC ulikuwa ni mkubwa sana na muda mwingi TP Mazembe walipokuwa na mpira walifanya mashambulizi CONSTRUCTIVE, ni vile tu walijua ni Friendly Match.
SSC kama kawaida, ni kupigiana pigiana mapasi ambayo hayafiki Robo tatu ya uwanja, ni ma pass plus plus amabayo yanachezwa kuanzia katikati ya uwanja kurudi golini kwao. Je mpira ni possession au Matokeo.?
Kikosi cha kwanza kilijitahidi ingawa hakukuwa na stricter sababishi. Baada ya hapo, kila sub iliyofanyika ilienda kubomoa kabisa chemistry ya kikosi cha kwanza na goli likapatikana.
Kifupi mpaka sasa SSC haina mtu anaeweza kufunga magoli, na bado haina stricter ya maana. Yaani stricter zilizokuwepo ni zile ambazo haziwezi kuleta matokeo, one clear Chance unatakiwa kumuadhibu kipa. Mugalu na Kibu walikuwa na clear chance na hawakuweza kuleta Matokeo.useless
Kikosi kilishabomolewa, tujiandae kwa lolote na tusiwe na expectation zozote kwenye klabu Bingwa Africa mwaka huu.
Simba ya sasa haina Chemistry wala wachezaji watakaoweza kuipeleka timu robo fainali. Nina wasiwasi sana yatatokea ya Ud Songo huku tukiwa wazuri wa kumiliki mpira kwa nyuma.
Tatizo kubwa sajili za Mo ni sajili za kimasikini na zisizo na tija; unaenda kusajili kipa wa 5, halafu unasahau striker zenye akili. Msione Ahly inachukua makombe mkadhani ni uchawi.
Hakuna uchawi kwa mpira, ni Investment.
Simba Out
Hata VPL mwaka huu,simba kuchukua ubingwa itakuwa ni Bahati.
umeona mbali japo shabiki maandazi hawatakuelewa.
YapHao.uto au [emoji881]
[emoji16]Mnapata wapi ujasiri wa kuisema Simba,ningekuwa Mimi Shabiki wa Yanga,kwa sasa ningekuwa naugulia maumivu ya kutolewa hatua ya kindergaten CL.
Hata Mimi pia kwa jinsi Ligi Kuu ya Msimu huu ( 2021 / 2022 ) itakavyokuwa kutokana na Udhamini mnono siioni Yanga SC ikiwa hata katika Sita Bora ( Top Six ) ila katika Kushuka Daraja au kucheza Play Off naiona.Ninaamini kabisa Uwezo wa kuiadhibu SSC ulikuwa ni mkubwa sana na muda mwingi TP Mazembe walipokuwa na mpira walifanya mashambulizi CONSTRUCTIVE, ni vile tu walijua ni Friendly Match.
SSC kama kawaida, ni kupigiana pigiana mapasi ambayo hayafiki Robo tatu ya uwanja, ni ma pass plus plus amabayo yanachezwa kuanzia katikati ya uwanja kurudi golini kwao. Je mpira ni possession au Matokeo.?
Kikosi cha kwanza kilijitahidi ingawa hakukuwa na stricter sababishi. Baada ya hapo, kila sub iliyofanyika ilienda kubomoa kabisa chemistry ya kikosi cha kwanza na goli likapatikana.
Kifupi mpaka sasa SSC haina mtu anaeweza kufunga magoli, na bado haina stricter ya maana. Yaani stricter zilizokuwepo ni zile ambazo haziwezi kuleta matokeo, one clear Chance unatakiwa kumuadhibu kipa. Mugalu na Kibu walikuwa na clear chance na hawakuweza kuleta Matokeo.useless
Kikosi kilishabomolewa, tujiandae kwa lolote na tusiwe na expectation zozote kwenye klabu Bingwa Africa mwaka huu.
Simba ya sasa haina Chemistry wala wachezaji watakaoweza kuipeleka timu robo fainali. Nina wasiwasi sana yatatokea ya Ud Songo huku tukiwa wazuri wa kumiliki mpira kwa nyuma.
Tatizo kubwa sajili za Mo ni sajili za kimasikini na zisizo na tija; unaenda kusajili kipa wa 5, halafu unasahau striker zenye akili. Msione Ahly inachukua makombe mkadhani ni uchawi.
Hakuna uchawi kwa mpira, ni Investment.
Simba Out
kuishi kwa hisia ni taabu kweli kweli, unahisi kila anaeikosoa simba ni mwana uto?Hayo maono ya kuona mbali angeyapelek utopoloni,msingetia aibu Taifa.
Utopolo mnateseka sanaNinaamini kabisa Uwezo wa kuiadhibu SSC ulikuwa ni mkubwa sana na muda mwingi TP Mazembe walipokuwa na mpira walifanya mashambulizi CONSTRUCTIVE, ni vile tu walijua ni Friendly Match.
SSC kama kawaida, ni kupigiana pigiana mapasi ambayo hayafiki Robo tatu ya uwanja, ni ma pass plus plus amabayo yanachezwa kuanzia katikati ya uwanja kurudi golini kwao. Je mpira ni possession au Matokeo.?
Kikosi cha kwanza kilijitahidi ingawa hakukuwa na stricter sababishi. Baada ya hapo, kila sub iliyofanyika ilienda kubomoa kabisa chemistry ya kikosi cha kwanza na goli likapatikana.
Kifupi mpaka sasa SSC haina mtu anaeweza kufunga magoli, na bado haina stricter ya maana. Yaani stricter zilizokuwepo ni zile ambazo haziwezi kuleta matokeo, one clear Chance unatakiwa kumuadhibu kipa. Mugalu na Kibu walikuwa na clear chance na hawakuweza kuleta Matokeo.useless
Kikosi kilishabomolewa, tujiandae kwa lolote na tusiwe na expectation zozote kwenye klabu Bingwa Africa mwaka huu.
Simba ya sasa haina Chemistry wala wachezaji watakaoweza kuipeleka timu robo fainali. Nina wasiwasi sana yatatokea ya Ud Songo huku tukiwa wazuri wa kumiliki mpira kwa nyuma.
Tatizo kubwa sajili za Mo ni sajili za kimasikini na zisizo na tija; unaenda kusajili kipa wa 5, halafu unasahau striker zenye akili. Msione Ahly inachukua makombe mkadhani ni uchawi.
Hakuna uchawi kwa mpira, ni Investment.
Simba Out
Sawa mchambuzi wa soka... Kifupi mpaka sasa SSC haina mtu anaeweza kufunga magoli, na bado haina stricter ya maana. Yaani stricter zilizokuwepo ni zile ambazo haziwezi kuleta matokeo, ...
aende akachambue mchichaSawa mchambuzi wa soka
KagereSikuona sababu ya Kagere kuendelea kubaki Simba
Ili uwepo wewe ?Kagere
Mugaru
Bocco
Ajibu
Mkude
Wawa
Onyango
Nyoni
Hawa wote hawakutakiwa wawepo
Kagere is outdated pale Simba.Cha ajabu yupo mpaka leo hiii.Halafu NI but sanaSikuona sababu ya Kagere kuendelea kubaki Simba
Larry Bwalya sio mzuri hata Hana stamina Kama Chama pia Morrison NI takataka nyingine SimbaSimba iko vizuri sana kwenye kiungo cha chini, beki na golkeeper lakni kiungo cha mbele na foward kweli bado sana