Siioni Yanga ya enzi za Nyerere ikijirudia kwenye Ligi ya Mabingwa CAF kwa miaka 50 mbele

Siioni Yanga ya enzi za Nyerere ikijirudia kwenye Ligi ya Mabingwa CAF kwa miaka 50 mbele

Mr Pixel3a

JF-Expert Member
Joined
Sep 15, 2021
Posts
5,710
Reaction score
8,579
Ukitizama kwa mbali unaona Yanga (Utopolo) malengo yao ni kuifunga Simba tu, ukisogea karibu kumbe ni kweli bwana!

Wakati timu za Afrika zikiweka malengo Ligi ya Mabingwa Afrika na Shirikisho, wao Yanga wamewekeza akili zao Derby ya Watani😅 .

Inajithibitisha usajil wa hovyo kuikomoa Simba (mf. Aziza key, Joice, Biringanya n.k). Kwa makundi wanashindwa kutoa bonus kwa timu, Aziza ki anakunja 20+ mil. kwa mwezi. Usajili tu 400+ mil. yote kuikomoa Simba!

Karibuni wataanza kutembeza bakuli!
 
Yanga trh 23 ijiandae kwa kilio na kumfukuza kabisa kocha. Kwani watalia na kusaga mwiko wao wote.
 
Ukitizama kwa mbali unaona Yanga (Utopolo) malengo yao ni kuifunga Simba tu, ukisogea karibu kumbe ni kweli bwana!

Wakati timu za Afrika zikiweka malengo Ligi ya Mabingwa Afrika na Shirikisho, wao Yanga wamewekeza akili zao Derby ya Watani😅 .

Inajithibitisha usajil wa hovyo kuikomoa Simba (mf. Aziza key, Joice, Biringanya n.k). Kwa makundi wanashindwa kutoa bonus kwa timu, Aziza ki anakunja 20+ mil. kwa mwezi. Usajili tu 400+ mil. yote kuikomoa Simba!

Karibuni wataanza kutembeza bakuli!
Tarehe 23 inakaribia. Tutawafunga tu hii midomo yenu! Hata kwa super glue, potelea mbali.
 
Ukitizama kwa mbali unaona Yanga (Utopolo) malengo yao ni kuifunga Simba tu, ukisogea karibu kumbe ni kweli bwana!

Wakati timu za Afrika zikiweka malengo Ligi ya Mabingwa Afrika na Shirikisho, wao Yanga wamewekeza akili zao Derby ya Watani😅 .

Inajithibitisha usajil wa hovyo kuikomoa Simba (mf. Aziza key, Joice, Biringanya n.k). Kwa makundi wanashindwa kutoa bonus kwa timu, Aziza ki anakunja 20+ mil. kwa mwezi. Usajili tu 400+ mil. yote kuikomoa Simba!

Karibuni wataanza kutembeza bakuli!
Acha ubwege wewe nyani. Yanga tunasajili kwa mahitaji yetu. Tunamkomoaje Simba? Huo udwanzi peleka huko huko.
 
Ukitizama kwa mbali unaona Yanga (Utopolo) malengo yao ni kuifunga Simba tu, ukisogea karibu kumbe ni kweli bwana!

Wakati timu za Afrika zikiweka malengo Ligi ya Mabingwa Afrika na Shirikisho, wao Yanga wamewekeza akili zao Derby ya Watani😅 .

Inajithibitisha usajil wa hovyo kuikomoa Simba (mf. Aziza key, Joice, Biringanya n.k). Kwa makundi wanashindwa kutoa bonus kwa timu, Aziza ki anakunja 20+ mil. kwa mwezi. Usajili tu 400+ mil. yote kuikomoa Simba!

Karibuni wataanza kutembeza bakuli!
Huu ni ukweli sema wana utopolo watapinga

Salary Slip 🤣🤣🤣
 
Wenye vyeti vya mpira wanakushangaa
SIMBA AKIMFUNGA YANGA NIPIGWE BAN YA MWEZI MZIMA. SIMBA NI VIBONDE WETU WA KUDUMU KUANZIA MSIMU ULIOPITA. CHUKUA HII. HAITATOKEA SIMBA KUMFUNGA YANGA. NARUDIA HAITOKEI.
Tatzo hamtak kuambiwa ukweli , point yangu iko CAF CHAMPION LEAGUE hamna timu imara ,uto😅😅
 
Back
Top Bottom