William Mshumbusi
JF-Expert Member
- Mar 27, 2012
- 1,761
- 2,391
Feisal ana endelea aje huko ndugu wakili uchwaraNachotaka kusema. Ata bila ya mapungufu ya Arajiga Yanga walikuwa na nafasi kubwa ya kushinda leo.
Lkn Kama mtu wa mpira nilijua mechi itakuwa nzuri nilitaka kuona jinsi Yanga wanavyofungua password leo. Lakini Arajiga akaaamua kuzifungua.
Alifungiwa mechi ya Yanga vs Azam Leo Tena anafanya madhaifu makubwa sana
Kwa sisi watu wa mpira tusio washabiki Arajiga ametukosea Sana Sana aisee.
Umeona iyo faulo waliyopewa yanga na arajiga vipi ile penalt waliyonyimwa yanga yenyewe macho yako yalipata upofu ghafla?Nachotaka kusema. Ata bila ya mapungufu ya Arajiga Yanga walikuwa na nafasi kubwa ya kushinda leo.
Lkn Kama mtu wa mpira nilijua mechi itakuwa nzuri nilitaka kuona jinsi Yanga wanavyofungua password leo. Lakini Arajiga akaaamua kuzifungua.
Alifungiwa mechi ya Yanga vs Azam Leo Tena anafanya madhaifu makubwa sana
Kwa sisi watu wa mpira tusio washabiki Arajiga ametukosea Sana Sana aisee.
Kwa hili utashambuliwa bila mtetezi. Umechagua tukio lisiloweza kukubeba Kwa lawama zako. Ile ni faulo, Hakuna mbadala.Nachotaka kusema. Ata bila ya mapungufu ya Arajiga Yanga walikuwa na nafasi kubwa ya kushinda leo.
Lkn Kama mtu wa mpira nilijua mechi itakuwa nzuri nilitaka kuona jinsi Yanga wanavyofungua password leo. Lakini Arajiga akaaamua kuzifungua.
Alifungiwa mechi ya Yanga vs Azam Leo Tena anafanya madhaifu makubwa sana
Kwa sisi watu wa mpira tusio washabiki Arajiga ametukosea Sana Sana aisee.