Sijaelewa plan hii ya vituo vya mwendo kasi (BRT-UDART)

Sijaelewa plan hii ya vituo vya mwendo kasi (BRT-UDART)

DIT na kisutu ni chini ya KM kwasababu ndani ya KM 1 hakukua na sehem ya kuweka kituo kingine, hivyo Kituo cha kisutu kimejengwa mara mbili
Yani kituo cha Kisutu na City counsil kwenye budget ni kituo kimoja ila cimejengwa sehem mbili tofauti ndio maana vituo hivi vya kisutu na city council vinaruhusu bus 4 kusimama pande zote kwa wakati mmoja huku vituo vingine vinaruhusu basi 8 kwa wakati mmoja,

Ni sawa na kituo cha Maimbazi A na B

Jangwani mpaka Fire kuna zaidi ya 1km
Sawa na Mbezi shule kuja mpaka Tank Bovu
Kituo cha Tegeta kwa Ndevu na cha Azania kuna umbali wa Km 1 pale? Na Je, hakuna nafasi ya kuweka kituo kimoja? Kujaza jaza vituo kuna punguza mantiki ya "Mwendokasi"
 
Sidhani kama umefanya “research” yako kwa kutosha

Umbali wa vituo vya mwendokasi ni standard kama ilivo BRT zingine,

1. Jangwani mpaka Fire kuna takribani 1km ambayo ndio distance ya vituo vyote vya BRT phase 1.

2. Kituo cha Msimbazi A&B ni kituo kimoja ambacho kilijengwa kwenye kona ndio chanzo cha kukitenga
Standard ya BRT kituo kimoja ni lazima kichukua gari 8 za “articulated”

3. Foundation za BRT zinawekwa concrete grade 30 na steel za BS kwasababu vinatakiwa vikae kwa miaka 30 lakini pia ikitokea gari limehama njia na kuvamia hiko kituo, msingi wake ni imara hiyo gari isije kuvunja kituo na kuwafikia abiria na kusababisha madhara makubwa.

“I stand to be corrected”
Hiki ndicho nlitarajia kukiskia kwenye mjadala huu. Asante sana
 
Back
Top Bottom