Wengine hatukuona.Na uthibitisho nmeweka. Huwa JF kuna baadhi ya watu sijui kwa nini wanalindwa. Uzi wangu nmeweka na uthibitisho lakini naona kama kuna mambo yamefanyika umeondolewa.
Ila uzi zikiwa zinawasema watu flani huwa zinadumu sana humu ndani. Tujue basi list ya watu ambao hawatakiwi kuguswa
Ni kweli lakini utapeli ni lazima jamii ijulishwe ili kuokoa wengine kutapeliwa siku za mbeleni.Sio mahala pake. Jinai au dai huripotiwa Polisi, kisha kufunguliwa kesi Mahakamani. Uzuri ushasema jalada limekwisha funguliwa.
Nidokezee basi 😎 ule wako wa jana usiku kuhusi ban mbona kama nao umeliwa kichwa?Uzuri nimeusoma na ushahidi uliweka.
Pole ila ujumbe umefika.
Kuhusu nini sasa??? Si useme nini kilitokea!!Siyo hear say. Ushahidi umewekwa kabisa.