Sijaelewa sababu ya JF kuondoa uzi wangu Kuhusu Utapeli wa Maimartha Umeondolewa

Sijaelewa sababu ya JF kuondoa uzi wangu Kuhusu Utapeli wa Maimartha Umeondolewa

Nidokezee basi 😎 ule wako wa jana usiku kuhusi ban mbona kama nao umeliwa kichwa?
🤣🤣🤣

Mai mtoto wa Jesse anauza bidhaa IG, mtoa mada katuma pesa, mzigo haujatumwa.

Kumfata DM anajibu nyodo na akapiga block.

Vithibitisho screenshot ya malipo namba na jina kabisa. Mai wa Jesse.
 
Kuna watu wanaishi kiutapelitapeli!
Wenyewe wanakuambia miki brand!!!

Mleta uzi huu,huyo unayesema kakutapeli
Nini,kwanini usimshulikie umripoti polisi
Mchukulie RB,akizingua kukulipia mjazie inzi
Nenda hata kwake na kirikuu ukajifidie kabebe
Ukatachoona kitakufaa

Ova
 
Back
Top Bottom