Shadow7 JF-Expert Member Joined Sep 28, 2020 Posts 24,606 Reaction score 39,289 Sep 4, 2021 #21 Pole mkuu weka tena
Watu8 Platinum Member Joined Feb 19, 2010 Posts 73,773 Reaction score 102,126 Sep 4, 2021 #22 Maimartha yule dada/mama mtangazaji?
Mad Max JF-Expert Member Joined Oct 21, 2010 Posts 26,961 Reaction score 77,890 Sep 4, 2021 #23 Depal said: Nidokezee basi 😎 ule wako wa jana usiku kuhusi ban mbona kama nao umeliwa kichwa? Click to expand... 🤣🤣🤣 Mai mtoto wa Jesse anauza bidhaa IG, mtoa mada katuma pesa, mzigo haujatumwa. Kumfata DM anajibu nyodo na akapiga block. Vithibitisho screenshot ya malipo namba na jina kabisa. Mai wa Jesse.
Depal said: Nidokezee basi 😎 ule wako wa jana usiku kuhusi ban mbona kama nao umeliwa kichwa? Click to expand... 🤣🤣🤣 Mai mtoto wa Jesse anauza bidhaa IG, mtoa mada katuma pesa, mzigo haujatumwa. Kumfata DM anajibu nyodo na akapiga block. Vithibitisho screenshot ya malipo namba na jina kabisa. Mai wa Jesse.
mrangi JF-Expert Member Joined Feb 19, 2014 Posts 88,759 Reaction score 123,368 Sep 4, 2021 #24 Kuna watu wanaishi kiutapelitapeli! Wenyewe wanakuambia miki brand!!! Mleta uzi huu,huyo unayesema kakutapeli Nini,kwanini usimshulikie umripoti polisi Mchukulie RB,akizingua kukulipia mjazie inzi Nenda hata kwake na kirikuu ukajifidie kabebe Ukatachoona kitakufaa Ova
Kuna watu wanaishi kiutapelitapeli! Wenyewe wanakuambia miki brand!!! Mleta uzi huu,huyo unayesema kakutapeli Nini,kwanini usimshulikie umripoti polisi Mchukulie RB,akizingua kukulipia mjazie inzi Nenda hata kwake na kirikuu ukajifidie kabebe Ukatachoona kitakufaa Ova
Mtoto halali na hela JF-Expert Member Joined Aug 10, 2012 Posts 52,160 Reaction score 48,974 Sep 4, 2021 #25 Huku copy hata ili uutupie hapa 🙂