Uchaguzi 2020 Sijafurahishwa na idadi ya watu waliojitokeza kwa Tundu Lissu kwa mikoa ya Shinyanga, Tabora na Dodoma

Siku ya kwanza pale mbagala aliambiwa kwa kunong'onezwa kuwa muda umekwisha, akaropoka kwa nguvu muda unakwishaje nipo jukwaani. Sisi sijui nani alimwambia achelewe kupanda jukwaani
 
Dodoma ambako ndiyo makao makuu ya CCM na Serikali wananchi wake ni mazezeta. Dodoma ndiyo wanakotoka omba omba wote nchini, wanaishi nyumba za mgongo wa tembo (yaani sakafu udongo na paa udono) lakini bado wanachagua CCM.

WAGOGO HAWAJITAMBUI
Then unataka hao hao Wagogo wawachague? Unapotafuta kura huwezi kufanya ubaguzi, sasa hata wale ambao wapo Dodoma ambao walitegemea kujiunga na chama chako au wapo kwenye kampeni ili washinde unafikiri wanakufikiriaje? Huu ubaguzi wa chama chenu ndio umewafikisha hapo, mnapoambiwa Chadema ni chama cha ukoo wa kina Mtei mnabwata, mnapoambiwa mlevi wa Konyagi anauwa chama mnabwatuka.

Tanzania ni nchi ambayo haina ubaguzi wa aina yoyote ile, nashangaa tupo karne ya 20 bado kuna jamii ambayo inausongo na baadhi ya makabila. Ni aibu!
 
picha za asubuhi hizo.
 
Chadema wanahangaika bure tu,lissu hawezi kuwa Rais,anachangamsha uchaguzi tu
 
Naanza kupata mashaka huenda mgombea wetu anahujumiwa sehemu.
Sikutegema sehemu kama dodoma watu wakawa wachache hivi
Duhh, hii ni noma. Tena alipopigiwa risasi af raia hawajali? Kwa kweli Kuna tatizo
 
Mnaotaka kupima umati wa lisu angalieni mkutano wa mwanza ulivyojaza ndio utakupa majibu yote
 
Lissu ni binadamu wa aina yake jamani. Kile kichwa si mchezo eti.. akiongea unabaki kuwa amazed tu.. mimi natamani ningepata hata nusu ya akili zake, ningekuwa nimeula sana. Nampenda sana Tundu Lissu jimama mimi..

Tundu Lissu for presidency.. #NiYeye #NiRaisWetu2020
 
Kule dodoma wafanyakazi walipigwa marufuku kwenda kwenye mikutano ya wapinzani...
 
Lissu kawafokea sana watu wa shinyanga jana badala ya kuomba kule.Duuuuu chadema mmechanganyikiwa

Ndiyo maana wakampa na uchifu?

Kamshauri jiwe basi aachie ngoma ichezwe kwa uhuru na uwazi sasa. Si Chadema wameshachanganyikiwa?

Hofu ya nini basi? Au anamhofia Spunda?
 
Haaaahaaaa CCM ni janga
 
Watu wapo isipokuwa CCM na UVCCM ndiyo wametengeneza propaganda kuonyesha kuwa Chadema hawana watu kwenye mikutano yao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…