Uchaguzi 2020 Sijafurahishwa na idadi ya watu waliojitokeza kwa Tundu Lissu kwa mikoa ya Shinyanga, Tabora na Dodoma

Uchaguzi 2020 Sijafurahishwa na idadi ya watu waliojitokeza kwa Tundu Lissu kwa mikoa ya Shinyanga, Tabora na Dodoma

Hiyo hapo
118722329_308277946942344_7786346872401319941_n.jpeg
 
Na huo ufuatiliaji wako hujajiuliza wakati Magu anahutubia huo umati unaouita mafuriko je, ushaona attitude yao. Jaribu kutazama vizuri wanaomfuatilia kwa umakini kama watazidi 3000 njoo uchukue mbwa wangu
 
Ccm wananichekeshaga sometimes, utadhani ni Mwanamke kisirani, ukiwaletea picha za watu wamejaa kwenye mkutano wanakwambia hao sio wapiga kura, ukileta picha za kubumba zinazoonyesha hakuna watu wanakwambia kuna tatizo, Chadema haikubaliki...... "Enyi Wagalatia msio na akili, nani kawaroga??"

Mataga hao njaa inawasumbua achana nao!! Nyomi zote hizo wanaziona lakini wanajitia upofu!!!
 
Mkuu mleta mada pengine hujajua, ufunguzi wa kampeni za ccm watu walienda kutazama wale wasanii wa mitama, baada ya diamond kutumbuiza watu walianza kutoka magetini waondoke, polifisiem na usalamasisiem wakawazuia wakafunga mageti eti mpaka jiwe amalize
 
Kuna tabia ya kijinga sana ya kuchukua picha kwenye angle ya mbali isiyoonyesha uhalisia wa ukubwa wa idadi ya watu na kusema mkutano hauna watu. Kuna mwingine amefanya kama wewe kwenye mkutano wa ccm. Haina maana. Kama watu walijaa ni walijaa and vise versa.
Kwanini wao chadema wasilete picha ili kuwakata ngebe hao wanaeleta licha za mbali?
 
Niwe muwazi mimi binafsi nina amini katika mabadiliko, mabadiliko ndiyo chachu ya maendeleo sehemu yoyote ile.

Nimeona na nimekuwa nikifatilia mikutano yote ya mgombea wetu hapa Dar na kuna afadhali kidogo japo mkutano wa segerea na kawe ulikuwa hauna watu sana, atleast kule Mbagala.

Naanza kupata picha, pengine kuna kitu hakipo sawa Chadema.

Tusi-conclude kuwa wanaoenda kwenye kampeni za CCM wanafata wasanii tu, hapana.

Ila kama wanafata wanancho wengi wanafata wasanii huko ccm basi sawa, ila pia basi kwa uwingi huohuo na kwa aina ya kukubalika kwa chama chetu basi walitakiwa pia wafate/waje kwa wingi kwenye kampeni zetu.

Kuna mikoa hadi sasa sinaelewa nini hasa kimetokea kutokana na uchache wa watu waliohudhuria tena kwenye viwanja vidogo sana ambavyo tumwchagua kufanyia kampeni.

Tuliona watu kule mwanza na tulifarijika sana na hilo na hadi tukatumia ndege nyuki (drones) kupiga picha za kampeni zetu. Ila baada ya hapo sikuona tena picha za juu (za drone) kwenye kampeni zetu.

Kilichotokea shinyanga, tabora na sasa dodoma ni aibu. Chama kitafute namna au kubadili mbinu ya kampeni ili tuweze kuvuta watu wengi waje kusikiliza sera.

Chini ni picha ya watu waliohudhuria kampeni hii leo huko Dodoma.

MATAGA mmepoteana vibaya mno [emoji23] [emoji23]... Mimi nipo Dom... Hii picha umepiga mchana Tena Barabarani kama unatokea Jamhuri.... Acha utopolo
View attachment 1558529View attachment 1558530View attachment 1558531
 
Swala la kufuraishwa na CHADEMA, halitakuwepo kwako wala mwana-kijani yeyote! Cha msingi tumia dawa zako kama ulivyo elekezwa, kunywa maji kwa wingi, ukisikia ‘CHADEMA’ ziba masikio, jikumbushe sherehe, kama unaweza, ongeza sala!
 
Mimi ni Chadema lakini kwa hali hii hapana wakuu
mkuu mungu atakutoa utumwani , na taratibu naona unaanza kujitafakari vizuri kwamba huko ulipo sio sahii , na kwa hili mkuu nakuongezea baraka usipakumbuke tena na imekua, nchi yakuitaji sana katika kupigania haki, uhuru na maendeleo ya watu
 
Niwe muwazi mimi binafsi nina amini katika mabadiliko, mabadiliko ndiyo chachu ya maendeleo sehemu yoyote ile.

Nimeona na nimekuwa nikifatilia mikutano yote ya mgombea wetu hapa Dar na kuna afadhali kidogo japo mkutano wa segerea na kawe ulikuwa hauna watu sana, atleast kule Mbagala.

Naanza kupata picha, pengine kuna kitu hakipo sawa Chadema.

Tusi-conclude kuwa wanaoenda kwenye kampeni za CCM wanafata wasanii tu, hapana.

Ila kama wanafata wanancho wengi wanafata wasanii huko ccm basi sawa, ila pia basi kwa uwingi huohuo na kwa aina ya kukubalika kwa chama chetu basi walitakiwa pia wafate/waje kwa wingi kwenye kampeni zetu.

Kuna mikoa hadi sasa sinaelewa nini hasa kimetokea kutokana na uchache wa watu waliohudhuria tena kwenye viwanja vidogo sana ambavyo tumwchagua kufanyia kampeni.

Tuliona watu kule mwanza na tulifarijika sana na hilo na hadi tukatumia ndege nyuki (drones) kupiga picha za kampeni zetu. Ila baada ya hapo sikuona tena picha za juu (za drone) kwenye kampeni zetu.

Kilichotokea shinyanga, tabora na sasa dodoma ni aibu. Chama kitafute namna au kubadili mbinu ya kampeni ili tuweze kuvuta watu wengi waje kusikiliza sera.

Chini ni picha ya watu waliohudhuria kampeni hii leo huko Dodoma.

Unajihangaisha bure tu Mkuu.
 
Back
Top Bottom