Uchaguzi 2020 Sijafurahishwa na idadi ya watu waliojitokeza kwa Tundu Lissu kwa mikoa ya Shinyanga, Tabora na Dodoma

Uchaguzi 2020 Sijafurahishwa na idadi ya watu waliojitokeza kwa Tundu Lissu kwa mikoa ya Shinyanga, Tabora na Dodoma

Niwe muwazi mimi binafsi nina amini katika mabadiliko, mabadiliko ndiyo chachu ya maendeleo sehemu yoyote ile.

Nimeona na nimekuwa nikifatilia mikutano yote ya mgombea wetu hapa Dar na kuna afadhali kidogo japo mkutano wa segerea na kawe ulikuwa hauna watu sana, atleast kule Mbagala.

Naanza kupata picha, pengine kuna kitu hakipo sawa CHADEMA.

Tusi-conclude kuwa wanaoenda kwenye kampeni za CCM wanafata wasanii tu, hapana.

Ila kama wanafata wanancho wengi wanafata wasanii huko CCM basi sawa, ila pia basi kwa uwingi huohuo na kwa aina ya kukubalika kwa chama chetu basi walitakiwa pia wafate/waje kwa wingi kwenye kampeni zetu.

Kuna mikoa hadi sasa sinaelewa nini hasa kimetokea kutokana na uchache wa watu waliohudhuria tena kwenye viwanja vidogo sana ambavyo tumwchagua kufanyia kampeni.

Tuliona watu kule mwanza na tulifarijika sana na hilo na hadi tukatumia ndege nyuki (drones) kupiga picha za kampeni zetu. Ila baada ya hapo sikuona tena picha za juu (za drone) kwenye kampeni zetu.

Kilichotokea shinyanga, tabora na sasa dodoma ni aibu. Chama kitafute namna au kubadili mbinu ya kampeni ili tuweze kuvuta watu wengi waje kusikiliza sera.

Chini ni picha ya watu waliohudhuria kampeni hii leo huko Dodoma.

Zombie la lumumba linatapatapa tu kama nyati jike aliyejotoni.....leo hujachangishwa wew kibwengu wa mr slowly
 
Hawa ni mawe?
IMG-20200904-WA0194.jpg
IMG-20200904-WA0171.jpg
IMG-20200902-WA0113.jpg
 
Kamanda acha kuwa mvivu, kwanza ilibidi hadi sasa hivi kuwepo picha za eneo la tukio, lakikini hakuna.
Pili ilibidi zipigwe picha za juu na video clips lakini hadi sasa hakuna, unaelewa nini hadi hapo??
Tatu hebu angalia vizuri hapo jukaa kuu viongozi wote wapo, sasa kama viongozi nao walikuja asubuhi, hii yako.
Angalia vizuri kwenye jukwaa kuu
View attachment 1558404
Jitahidi ila haitokusaidia
 
Kiukweli tunapenda mabadiliko ila TL kuwa rais wa nchi??[emoji848][emoji848][emoji848] that's a joke men.
 
Hapo hakuna wasanii,ukitaka kuhakikisha ondoa wasanii uone aibu itakayowapata migombani street
 
Picha zinazoonekana zimechukuliwa mapema kabla ya mgombea wetu hajawasili maeneo hayo, inaleta maana kama ungetuletea picha zilizochukuliwa kuanzia kumi na kuendelea.
 
Ilani ya matusi na dhihaka na hadithi ya risasi raia wanaanza kuichukulia poa
 
Hizo picha za ki propaganda mkutano wa Lissu Dodoma huu hapa, na hii Ni Ngome Kuu ya CCM



Huu Ni mkutano wa Lissu Tabora, kumbuka Tabora pia Ni strong hold ya CCM

 
Nonsense. Huyu mleta mada atakuwa mnafiki sana ni ccm lkn anajifanya Chadema. Sasa ccm wanaosomba watu kwa malori mbona huwasemi.
 
Niwe muwazi mimi binafsi nina amini katika mabadiliko, mabadiliko ndiyo chachu ya maendeleo sehemu yoyote ile.

Nimeona na nimekuwa nikifatilia mikutano yote ya mgombea wetu hapa Dar na kuna afadhali kidogo japo mkutano wa segerea na kawe ulikuwa hauna watu sana, atleast kule Mbagala.

Naanza kupata picha, pengine kuna kitu hakipo sawa CHADEMA.

Tusi-conclude kuwa wanaoenda kwenye kampeni za CCM wanafata wasanii tu, hapana.

Ila kama wanafata wanancho wengi wanafata wasanii huko CCM basi sawa, ila pia basi kwa uwingi huohuo na kwa aina ya kukubalika kwa chama chetu basi walitakiwa pia wafate/waje kwa wingi kwenye kampeni zetu.

Kuna mikoa hadi sasa sinaelewa nini hasa kimetokea kutokana na uchache wa watu waliohudhuria tena kwenye viwanja vidogo sana ambavyo tumwchagua kufanyia kampeni.

Tuliona watu kule mwanza na tulifarijika sana na hilo na hadi tukatumia ndege nyuki (drones) kupiga picha za kampeni zetu. Ila baada ya hapo sikuona tena picha za juu (za drone) kwenye kampeni zetu.

Kilichotokea shinyanga, tabora na sasa dodoma ni aibu. Chama kitafute namna au kubadili mbinu ya kampeni ili tuweze kuvuta watu wengi waje kusikiliza sera.

Chini ni picha ya watu waliohudhuria kampeni hii leo huko Dodoma.


IMG_1558.jpg

Maccm kilichobaki ni kuanza kunywa pilipili na mtawashwa sana!
 
Niwe muwazi mimi binafsi nina amini katika mabadiliko, mabadiliko ndiyo chachu ya maendeleo sehemu yoyote ile.

Nimeona na nimekuwa nikifatilia mikutano yote ya mgombea wetu hapa Dar na kuna afadhali kidogo japo mkutano wa segerea na kawe ulikuwa hauna watu sana, atleast kule Mbagala.

Naanza kupata picha, pengine kuna kitu hakipo sawa CHADEMA.

Tusi-conclude kuwa wanaoenda kwenye kampeni za CCM wanafata wasanii tu, hapana.

Ila kama wanafata wanancho wengi wanafata wasanii huko CCM basi sawa, ila pia basi kwa uwingi huohuo na kwa aina ya kukubalika kwa chama chetu basi walitakiwa pia wafate/waje kwa wingi kwenye kampeni zetu.

Kuna mikoa hadi sasa sinaelewa nini hasa kimetokea kutokana na uchache wa watu waliohudhuria tena kwenye viwanja vidogo sana ambavyo tumwchagua kufanyia kampeni.

Tuliona watu kule mwanza na tulifarijika sana na hilo na hadi tukatumia ndege nyuki (drones) kupiga picha za kampeni zetu. Ila baada ya hapo sikuona tena picha za juu (za drone) kwenye kampeni zetu.

Kilichotokea shinyanga, tabora na sasa dodoma ni aibu. Chama kitafute namna au kubadili mbinu ya kampeni ili tuweze kuvuta watu wengi waje kusikiliza sera.

Chini ni picha ya watu waliohudhuria kampeni hii leo huko Dodoma.

Umeona jinsi Lissu anavyopwaya ukilinganisha na Lowassa 2015? Yaani hana mvuto kabisa. Mikutano yake inapitwa hata na mikutano ya kampeni za wabunge.

Ona leo mgombea ubunge wa Kinondoni mahudhurio yake yalivyopita ile ya uzinduzi huko Mbagala, Kawe na Segerea.
 
Kwani Chadema wamezuiliwa kutumia malori kusafirisha watu.
Hakuna sababu.
Kwa maendeleo waliyofanya kwa miaka mitano hakukuwa na sababu ya kusafirisha watu kwa malori hata kufanya kampeni hakukuwa na haja wangelala tu.
 
Back
Top Bottom