Freed Freed
JF-Expert Member
- Jun 27, 2017
- 6,547
- 7,167
unataka wanaume wazima tujadiri khanga hapa ??? ShwainMaulidi Kitenge ambaye ni mtangazaji nguli, aache utani kupitiliza.
Eti watekaji walimvisha Dewji khanga, anauliza kwanini khanga? Ya wapi? Maneno kwenye kanga yaliandikwaje? Maulidi wewe kuna leo na kesho na ukitekwa wewe huenda hata wasikuvishe chochote.
Na tena walimuachia bila pesa yoyote. MMMHHHH ina maana boss..........................................?Lakini pia msomaji anasema Mo aliomba wamuue, swali limebaki utata nn alifanyiwa mpaka aombe kifo ?
Ukitafakari khanga na kifo unapata ukakasi sana wa yote yaliyotendeka.
Boss nn tena mbona unafika mbali ??Na tena walimuachia bila pesa yoyote. MMMHHHH ina maana boss..........................................?
Kitenge ni Yanga damu na Mo ni Simba. Watani wa jadi hao. Mtani kuvalishwa kanga lazima ataniwe.Maulidi Kitenge ambaye ni mtangazaji nguli, aache utani kupitiliza.
Eti watekaji walimvisha Dewji khanga, anauliza kwanini khanga? Ya wapi? Maneno kwenye kanga yaliandikwaje? Maulidi wewe kuna leo na kesho na ukitekwa wewe huenda hata wasikuvishe chochote.
Mbwe mbwe ndo mlo wake.Maulidi Kitenge ambaye ni mtangazaji nguli, aache utani kupitiliza.
Eti watekaji walimvisha Dewji khanga, anauliza kwanini khanga? Ya wapi? Maneno kwenye kanga yaliandikwaje? Maulidi wewe kuna leo na kesho na ukitekwa wewe huenda hata wasikuvishe chochote.
Huyo maulidi ni hovyo tu. Hajawai hata ck moja kuwa smart, au mbunifu...kananichefuaga mmMaulidi Kitenge ambaye ni mtangazaji nguli, aache utani kupitiliza.
Eti watekaji walimvisha Dewji khanga, anauliza kwanini khanga? Ya wapi? Maneno kwenye kanga yaliandikwaje? Maulidi wewe kuna leo na kesho na ukitekwa wewe huenda hata wasikuvishe chochote.
Kwahiyo unafurahia Mo kutudanganya?!
ULISIKIA YA STEVE NYERERE huko efmMaulidi Kitenge ambaye ni mtangazaji nguli, aache utani kupitiliza.
Eti watekaji walimvisha Dewji khanga, anauliza kwanini khanga? Ya wapi? Maneno kwenye kanga yaliandikwaje? Maulidi wewe kuna leo na kesho na ukitekwa wewe huenda hata wasikuvishe chochote.
Mo Dewji kadanganyaMaulidi Kitenge ambaye ni mtangazaji nguli, aache utani kupitiliza.
Eti watekaji walimvisha Dewji khanga, anauliza kwanini khanga? Ya wapi? Maneno kwenye kanga yaliandikwaje? Maulidi wewe kuna leo na kesho na ukitekwa wewe huenda hata wasikuvishe chochote.