Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mo Dewji kadanganya
Aliekuambia manyigu yanaumana ni naniMaulidi Kitenge ambaye ni mtangazaji nguli, aache utani kupitiliza.
Eti watekaji walimvisha Dewji khanga, anauliza kwanini khanga? Ya wapi? Maneno kwenye kanga yaliandikwaje? Maulidi wewe kuna leo na kesho na ukitekwa wewe huenda hata wasikuvishe chochote.
Point! Ila sometimes hawa vichwa vya Samaki kama maulid kitenge ( jina lake halistahili kuandikwa kwa kuanza na herufi kubwa), busara ni kuwasikiliza na kuachana nao, au kutokuwasikiliza kabisa. Ana umri mkubwa lkn tabia na behavior zake ni kama za mtoto wa miaka mitatu.Maulidi Kitenge ambaye ni mtangazaji nguli, aache utani kupitiliza.
Eti watekaji walimvisha Dewji khanga, anauliza kwanini khanga? Ya wapi? Maneno kwenye kanga yaliandikwaje? Maulidi wewe kuna leo na kesho na ukitekwa wewe huenda hata wasikuvishe chochote.
Hapana najiuliza tuBoss nn tena mbona unafika mbali ??
Maulid analazimisha ucheshi wa kina Masoud Kipanya japo kwa haiba yake hawezi
Hahaha#KilainishMimi nina wasi wasi kama marinda ya salama
Usijiulize huku mkuu utasababisha makubwaHapana najiuliza tu
Ooohooooo!!!kwahiyo unahisi alivalishwa na chachandu za kiunoni?Kazi kwelikweliLakini pia msomaji anasema Mo aliomba wamuue, swali limebaki utata nn alifanyiwa mpaka aombe kifo ?
Ukitafakari khanga na kifo unapata ukakasi sana wa yote yaliyotendeka.
Lakini pia msomaji anasema Mo aliomba wamuue, swali limebaki utata nn alifanyiwa mpaka aombe kifo ?
Ukitafakari khanga na kifo unapata ukakasi sana wa yote yaliyotendeka.
Huyo maulidi ni hovyo tu. Hajawai hata ck moja kuwa smart, au mbunifu...kananichefuaga mm
Mimi nina wasi wasi kama marinda ya salama
Ukweli upo upande wa pili wa ile script aliyokuwa anaigiza pale.Ukweli ni upi?
Hahahahahahaha upande wa chachandu ww wasema si mmOoohooooo!!!kwahiyo unahisi alivalishwa na chachandu za kiunoni?Kazi kwelikweli