Mkuu huku sasa kumeshaingia na wivu/ushabiki wa mpiraAcha ujinga wewe!!
Hahaha kina Roma wanaogopa wakisema njemba zitapanga foleni.Hahahahhaahhaha unajua BOSS kaushangaza sana UMMA baada ya kuutangazia kuwa walimvua nguo, wakamvisha khanga.....hivi ndio vitu kina mkatoliki huwa hawasemi
Michezo gani, embu weka nyama kidogoWahindi hiyo ndio michezo yao, muangalie Rhemtulla na Hasanali, sasa MO kajiongeza mwenyewe
Endelea kunywa mtori, nyama utazikuta chini.Michezo gani, embu weka nyama kidogo
aaaaaaaahhhhhhhhaaaaaaaa, kiruuuuuhhEndelea kunywa mtori, nyama utazikuta chini.
Duh! Alivuliwa boksa, akavalishwa kanga tu... akaomba wamuue, wakamwambia nyamaza.... akarudishwa bila ya kuambiwa kwanini walimteka, tena bila kumuomba hata senti... watekaji hadi wakafanya hayo yote walikuwa na lengo gan? Napata ukakasi na hizi taarifa, ni ngumu kumeza kama kipolo cha Gongo.!
Mmh naungana na ma-great thinkers wenzangu kuwa huenda kilainishi kilifanya kazi yake ipasavyo...