Sijajua maana ya amri 6 usizini

Sijajua maana ya amri 6 usizini

Unique Flower

JF-Expert Member
Joined
Apr 19, 2019
Posts
12,838
Reaction score
25,282
Miaka yote sijawahi kujua maana ya amri ya SITA wengi watashangaa sana ila ndio ukweli , .

Lala na mume wako tu tofauti na hapo utapata shida ambazo ndio tunaenda Kwa waganga kutolewa nuksi ,vifungo , na nyota unakuta unatumiwa , kitendo Cha kulala na mwanaume ambaye umekutananaye tu Kwa sababu , umempenda, au kakuvutia ndio matatizo huanzia hapo.

Mambo Yako yanaanza kuwa mabaya , unaishia kuachishwa kazi, au unakuwa na misuko suko mingi kazini , kumbe ulipo lala naye mumekuwa mwili mmoja, so kama ananuksi , unapata nuksi nawewe , na kama anabaya lolote nawewe unapata so kulala na watu tofauti sio sifa nikujitoa ufahamu , ndio maana asilimia ya wanawake wengi wanakuwa kama wamechizika , Kisa Hilo, jingine mtu hata kupata wakukuoa kazi na ulipokuwa kigori ulikuwa busy kugawa bahati zako Kwa wanaume,so kwangu never too late sintoshiriki Tena na mwanaume tendo la ndoa ili hali SI mume wangu wa ndoa .
 
Miaka yote sijawahi kujua maana ya amri ya SITA wengi watashangaa sana ila ndio ukweli , .

Lala na mume wako tu tofauti na hapo utapata shida ambazo ndio tunaenda Kwa waganga kutolewa nuksi ,vifungo , na nyota unakuta unatumiwa , kitendo Cha kulala na mwanaume ambaye umekutananaye tu Kwa sababu , umempenda, au kakuvutia ndio matatizo huanzia hapo.

Mambo Yako yanaanza kuwa mabaya , unaishia kuachishwa kazi, au unakuwa na misuko suko mingi kazini , kumbe ulipo lala naye mumekuwa mwili mmoja, so kama ananuksi , unapata nuksi nawewe , na kama anabaya lolote nawewe unapata so kulala na watu tofauti sio sifa nikujitoa ufahamu , ndio maana asilimia ya wanawake wengi wanakuwa kama wamechizika , Kisa Hilo, jingine mtu hata kupata wakukuoa kazi na ulipokuwa kigori ulikuwa busy kugawa bahati zako Kwa wanaume,so kwangu never too late sintoshiriki Tena na mwanaume tendo la ndoa ili hali SI mume wangu wa ndoa .
Mambo ya kusadikika TU! Huwezi kuya prove... Ni Imani TU! which might not be true
 
Kote kujilisha upepo tu. Hakuna asiyetenda dhambi. Kila dhambi ni sawa isipokuwa kukufuru roho mtakatifu. Ila kwa mujibu wa biblia Mungu alichukizwa zaidi na DHULMA na HOMOSEXUALITY mpaka kuiangamiza kabisa dunia kwa wakati huo.

Ukizini, katubu, utakuwa safi, usijiapize sana kuwa hutozini usije jiletea shida mbeleni.
 
Miaka yote sijawahi kujua maana ya amri ya SITA wengi watashangaa sana ila ndio ukweli , .

Lala na mume wako tu tofauti na hapo utapata shida ambazo ndio tunaenda Kwa waganga kutolewa nuksi ,vifungo , na nyota unakuta unatumiwa , kitendo Cha kulala na mwanaume ambaye umekutananaye tu Kwa sababu , umempenda, au kakuvutia ndio matatizo huanzia hapo.

Mambo Yako yanaanza kuwa mabaya , unaishia kuachishwa kazi, au unakuwa na misuko suko mingi kazini , kumbe ulipo lala naye mumekuwa mwili mmoja, so kama ananuksi , unapata nuksi nawewe , na kama anabaya lolote nawewe unapata so kulala na watu tofauti sio sifa nikujitoa ufahamu , ndio maana asilimia ya wanawake wengi wanakuwa kama wamechizika , Kisa Hilo, jingine mtu hata kupata wakukuoa kazi na ulipokuwa kigori ulikuwa busy kugawa bahati zako Kwa wanaume,so kwangu never too late sintoshiriki Tena na mwanaume tendo la ndoa ili hali SI mume wangu wa ndoa .
MITHALI 6:32.

Mtu aziniye na mwanamke hana akili kabisa;
Afanya jambo litakalomwangamiza nafsi yake.
 
Miaka yote sijawahi kujua maana ya amri ya SITA wengi watashangaa sana ila ndio ukweli , .

Lala na mume wako tu tofauti na hapo utapata shida ambazo ndio tunaenda Kwa waganga kutolewa nuksi ,vifungo , na nyota unakuta unatumiwa , kitendo Cha kulala na mwanaume ambaye umekutananaye tu Kwa sababu , umempenda, au kakuvutia ndio matatizo huanzia hapo.

Mambo Yako yanaanza kuwa mabaya , unaishia kuachishwa kazi, au unakuwa na misuko suko mingi kazini , kumbe ulipo lala naye mumekuwa mwili mmoja, so kama ananuksi , unapata nuksi nawewe , na kama anabaya lolote nawewe unapata so kulala na watu tofauti sio sifa nikujitoa ufahamu , ndio maana asilimia ya wanawake wengi wanakuwa kama wamechizika , Kisa Hilo, jingine mtu hata kupata wakukuoa kazi na ulipokuwa kigori ulikuwa busy kugawa bahati zako Kwa wanaume,so kwangu never too late sintoshiriki Tena na mwanaume tendo la ndoa ili hali SI mume wangu wa ndoa .
Wazee wa fursa kwa PISI KALI wakikuvamia PM usisite kupiga no hii 0123 456 789 kwa msaada wa haraka zaidi.
 
Miaka yote sijawahi kujua maana ya amri ya SITA wengi watashangaa sana ila ndio ukweli , .

Lala na mume wako tu tofauti na hapo utapata shida ambazo ndio tunaenda Kwa waganga kutolewa nuksi ,vifungo , na nyota unakuta unatumiwa , kitendo Cha kulala na mwanaume ambaye umekutananaye tu Kwa sababu , umempenda, au kakuvutia ndio matatizo huanzia hapo.

Mambo Yako yanaanza kuwa mabaya , unaishia kuachishwa kazi, au unakuwa na misuko suko mingi kazini , kumbe ulipo lala naye mumekuwa mwili mmoja, so kama ananuksi , unapata nuksi nawewe , na kama anabaya lolote nawewe unapata so kulala na watu tofauti sio sifa nikujitoa ufahamu , ndio maana asilimia ya wanawake wengi wanakuwa kama wamechizika , Kisa Hilo, jingine mtu hata kupata wakukuoa kazi na ulipokuwa kigori ulikuwa busy kugawa bahati zako Kwa wanaume,so kwangu never too late sintoshiriki Tena na mwanaume tendo la ndoa ili hali SI mume wangu wa ndoa .
Umenena vyema sana. Shetani anawachapa wengi sana kupitia ngono, maana ndipo nafsi zinapoungana kirahisi.

Lakini hata kama ni mume wako au mke wako na ana nuksi, bado utakuwa umejiungamanisha nae. Unapooa au kuolewa (ila hasahasa kuoa) omba sana Mungu akupe mke mwema ama sivyo kama sio kifo cha mapema basi utaona rangi zote duniani, utachapika mpaka ushangae.

Biblia katika Mithali 18:22 inasema kuwa; Apataye mke apata kitu chema; Naye ajipatia kibali kwa BWANA. Ukiona umeoa halafu unakuwa maskini hautoboi, jua imeoa mke asiye sahihi kwako, anza kumuangalia mkeo kwa makini.
 
Wale walioa kimaadili ukichepuka umezini, ila kama sio ndoa kuanzia 18 ni mtu mzima hivyo ukiamua kuwa na mpenzi wako sio kosa. Kuna wale ambao kuoa au kuolewa ni ndoto, nao wana haki yao ya sex.
 
Kote kujilisha upepo tu. Hakuna asiyetenda dhambi. Kila dhambi ni sawa isipokuwa kukufuru roho mtakatifu. Ila kwa mujibu wa biblia Mungu analichukizwa zaidi na DHULMA na HOMOSEXUALITY mpaka kuiangamiza kabisa dunia kwa wakati huo.

Ukizini, katubu, utakuwa safi, usijiapize sana kuwa hutozini usije jiletea shida mbeleni.
Kumbe Mchawi, Muuaji, Muasherati Mungu hana shida nao,
Yeye anachukizwa na Wadhulumati na Mashoga [emoji2296]
 
Umenena vyema sana. Shetani anawachapa wengi sana kupitia ngono, maana ndipo nafsi zinapoungana kirahisi.

Lakini hata kama ni mume wako au mke wako na ana nuksi, bado utakuwa umejiungamanisha nae. Unapooa au kuolewa (ila hasahasa kuoa) omba sana Mungu akupe mke mwema ama sivyo kama sio kifo cha mapema basi utaona rangi zote duniani, utachapika mpaka ushangae.

Biblia katika Mithali 18:22 inasema kuwa; Apataye mke apata kitu chema; Naye ajipatia kibali kwa BWANA. Ukiona umeoa halafu unakuwa maskini hautoboi, jua imeoa mke asiye sahihi kwako, anza kumuangalia mkeo kwa makini.
Walokole mna visa nyie!yaani ushindwe kutoboa kwa matatizo yako binafsi halafu lawama umtupie mke uliyeoa,eti umuangalie kwa makini....you guys work up acheni kujilisha upepo
 
Back
Top Bottom