Sijajua maana ya amri 6 usizini

Sijajua maana ya amri 6 usizini

Miaka yote sijawahi kujua maana ya amri ya SITA wengi watashangaa sana ila ndio ukweli , .

Lala na mume wako tu tofauti na hapo utapata shida ambazo ndio tunaenda Kwa waganga kutolewa nuksi ,vifungo , na nyota unakuta unatumiwa , kitendo Cha kulala na mwanaume ambaye umekutananaye tu Kwa sababu , umempenda, au kakuvutia ndio matatizo huanzia hapo.

Mambo Yako yanaanza kuwa mabaya , unaishia kuachishwa kazi, au unakuwa na misuko suko mingi kazini , kumbe ulipo lala naye mumekuwa mwili mmoja, so kama ananuksi , unapata nuksi nawewe , na kama anabaya lolote nawewe unapata so kulala na watu tofauti sio sifa nikujitoa ufahamu , ndio maana asilimia ya wanawake wengi wanakuwa kama wamechizika , Kisa Hilo, jingine mtu hata kupata wakukuoa kazi na ulipokuwa kigori ulikuwa busy kugawa bahati zako Kwa wanaume,so kwangu never too late sintoshiriki Tena na mwanaume tendo la ndoa ili hali SI mume wangu wa ndoa .
Hivi kati ya sisi wanaume na wanawake wapi ni wanaongoza kwa kulala na watu mbalimbali?
 
Amri ya Sita ni Usiue
Amri ya Saba ni Usizini
Amri ya Nane ni Usiibe


Kwa Msaada zaidi soma

Kutoka 20:14
Wakawi 20:10
Mathayo 5:27 ; 19:18
Marko 10:19
Luka 18:20
Warumi 13:9
Yakobo 2:11
 
Yuniki leo umeongea Jambo la heri Sana, hiyo amri ya sita itatufanya wengi tuikose mbingu kbsa.

Kuzini na mume/ mke wa mtu Ni vibaya Sana afu msamaha wake hauji kirahisi rahisi.
Haswaaaa
 
Walokole mna visa nyie!yaani ushindwe kutoboa kwa matatizo yako binafsi halafu lawama umtupie mke uliyeoa,eti umuangalie kwa makini....you guys work up acheni kujilisha upepo
Haihitaji digrii, kipimo ni wewe (muoaji) vs wewe, Yaani unajiangalia mafanikio yako Wewe kabla ya kuoa vs wewe baada ya kuoa. Ukiona unarudi nyuma chanzo ni hapo kwa mkeo.

Hivi visa tunavyosoma vya kina UMUGHAKA na Analyse sio story za kupoteza muda, ni vya kweli. Kwa hiyo kujilisha upepo ni maamuzi tu ya mtazamaji
 
Kote kujilisha upepo tu. Hakuna asiyetenda dhambi. Kila dhambi ni sawa isipokuwa kukufuru roho mtakatifu. Ila kwa mujibu wa biblia Mungu analichukizwa zaidi na DHULMA na HOMOSEXUALITY mpaka kuiangamiza kabisa dunia kwa wakati huo.

Ukizini, katubu, utakuwa safi, usijiapize sana kuwa hutozini usije jiletea shida mbeleni.
Sisi tukilala nanyie ni ndoa umefungwa so
Hivi kati ya sisi wanaume na wanawake wapi ni wanaongoza kwa kulala na watu mbalimbali?
Wote Kuna mwanaume nilikuwa naye haa yaani unasema ni malaika mtoa roho maana haridhiki hataki kuwa na mmoja utadhani basi la kwenda Tanga nakuridi Arusha hatulii hata umpe mapenzi yakiarabu hamnaga mpaka akaja kumpa mjeshi mimba ndio akasettle Sasa maana alifuatiliwa na wanajeshi ili alee hiyo mimba mpaka akaona Sasa maji yamemfika shingoni akatulia mpaka na Leo hajaoa yeye yupo bar anajita baba zuu
 
Hap
Haihitaji digrii, kipimo ni wewe (muoaji) vs wewe, Yaani unajiangalia mafanikio yako Wewe kabla ya kuoa vs wewe baada ya kuoa. Ukiona unarudi nyuma chanzo ni hapo kwa mkeo.

Hivi visa tunavyosoma vya kina UMUGHAKA na Analyse sio story za kupoteza muda, ni vya kweli. Kwa hiyo kujilisha upepo ni maamuzi tu ya mtazamaji
Hapo kuchanganya na story za kiganga umepindisha mada,hapa tunaongelea mke Kama mke sio mchawi
Kujipima Kabla ya kuoa na baada ya kuoa nako sioni Kama ni jambo Sana,huoni Kama ukishaoa MAJUKUMU yanaongezeka?
Jamani mbona ni calculation simple sana
 
Hap
Hapo kuchanganya na story za kiganga umepindisha mada,hapa tunaongelea mke Kama mke sio mchawi
Kujipima Kabla ya kuoa na baada ya kuoa nako sioni Kama ni jambo Sana,huoni Kama ukishaoa MAJUKUMU yanaongezeka?
Jamani mbona ni calculation simple sana
Nashangaa kaenda Kwa waganga simanishi waganga hapana nihivi ukishavua nguo Kwa mwanaume ujue tayari mumekuwa mwili mmoja so vyake vyako vyako vyake nakuapia
 
Walokole mna visa nyie!yaani ushindwe kutoboa kwa matatizo yako binafsi halafu lawama umtupie mke uliyeoa,eti umuangalie kwa makini....you guys work up acheni kujilisha upepo
Yes, sio uongo anasema true Kuna watu wanagiza hadi muachane ndio mambo yanajipa
 
Umenena vyema sana. Shetani anawachapa wengi sana kupitia ngono, maana ndipo nafsi zinapoungana kirahisi.

Lakini hata kama ni mume wako au mke wako na ana nuksi, bado utakuwa umejiungamanisha nae. Unapooa au kuolewa (ila hasahasa kuoa) omba sana Mungu akupe mke mwema ama sivyo kama sio kifo cha mapema basi utaona rangi zote duniani, utachapika mpaka ushangae.

Biblia katika Mithali 18:22 inasema kuwa; Apataye mke apata kitu chema; Naye ajipatia kibali kwa BWANA. Ukiona umeoa halafu unakuwa maskini hautoboi, jua imeoa mke asiye sahihi kwako, anza kumuangalia mkeo kwa makini.
Hiyo siyo tu nyie hata sisi
 
Miaka yote sijawahi kujua maana ya amri ya SITA wengi watashangaa sana ila ndio ukweli , .

Lala na mume wako tu tofauti na hapo utapata shida ambazo ndio tunaenda Kwa waganga kutolewa nuksi ,vifungo , na nyota unakuta unatumiwa , kitendo Cha kulala na mwanaume ambaye umekutananaye tu Kwa sababu , umempenda, au kakuvutia ndio matatizo huanzia hapo.

Mambo Yako yanaanza kuwa mabaya , unaishia kuachishwa kazi, au unakuwa na misuko suko mingi kazini , kumbe ulipo lala naye mumekuwa mwili mmoja, so kama ananuksi , unapata nuksi nawewe , na kama anabaya lolote nawewe unapata so kulala na watu tofauti sio sifa nikujitoa ufahamu , ndio maana asilimia ya wanawake wengi wanakuwa kama wamechizika , Kisa Hilo, jingine mtu hata kupata wakukuoa kazi na ulipokuwa kigori ulikuwa busy kugawa bahati zako Kwa wanaume,so kwangu never too late sintoshiriki Tena na mwanaume tendo la ndoa ili hali SI mume wangu wa ndoa .
Samaleko
Hayo maneno tu unafikiri mtu kama mo hata ukilala nae utampa nuksi yule..

!
 
Amri ya Sita ni Usiue
Amri ya Saba ni Usizini
Amri ya Nane ni Usiibe


Kwa Msaada zaidi soma

Kutoka 20:14
Wakawi 20:10
Mathayo 5:27 ; 19:18
Marko 10:19
Luka 18:20
Warumi 13:9
Yakobo 2:11
Amri ya SITA usizini , Usiibe ndio amri ya Saba mie nimesoma mafundisho nanikabarikiwa Kwa hiari sio Kwa lazima
 
sina nia mbaya nimeuliza tu mkuu?
Najua hunniambaya, ila kusema una mashaka na uwepo wa Mungu, utapigwa madongo mpaka!.... mtu anashinda njaa mwezi mzim halafu useme una mashaka na ueppo wa Mungu...... 😀 😀 😀 😀 😀
 
Back
Top Bottom