Sijajua sababu inayofanya Vijana wengi hapa JF kunichukia ni ipi!

Mkuu wewe pitia nyuzi zangu uone vijana wanavyonichukiq waziwazi!

Mimi si maarufu na labda au uenda umaarufu unanitaka mimi ijapokuwa mimi siutaki mkuu!
Kuna muda huna budi kupunguza userious, huwezi kupuuzia upuuzi??

Njia nzuri ya kumpumbaza mjinga ni kumfanya mjinga aamini umepumbazika kwa ujinga wake.
Hii kuleta leta nyuzi za aina hii ni kumpa adui yako ushindi. Aamini jiwe alilorusha hakika limekupata.
Vinginevyo nawe una shida.
 
Mkuu wewe pitia nyuzi zangu uone vijana wanavyonichukiq waziwazi!

Mimi si maarufu na labda au uenda umaarufu unanitaka mimi ijapokuwa mimi siutaki mkuu!
Wewe huna tatizo Ila kuna kitu inabidi upunguze usiniulize kitu gani sababu unakijua 🤪 Mimi ni rafiki wa kila mtu na pia ni popular kid in the class Mimi nilikua nkishika namba #1 sijawahi kutolewa kwenye hio namba kuanzia kindergarten mpaka Chuo nilikua najulikana mpaka na wasiopaswa kunijua 🤪 sio kwenye social media ni physically
 
Wachana nao, wajinga tu hao.
 
Huyu sio umughaka kama ajiitavyo.... na Leo kajichanganya kasema eti alishinda Kwenye Jukwaa la Michezo 2022 wakati..... Jukwaa la michezo alishinda Gentamycine 🤣 hii ni moja ya msululu wa akaunti Feki anazomiliki Genta

Genta mkuu unaendelea kujidharirisha tu, hayo ma account feki unayomiliki yote ya kazi gani sasa ?
 
Aisee[emoji848]
 
The best way ni ku wa ignore maana ni wachache mura
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…