Sijajua sababu inayofanya Vijana wengi hapa JF kunichukia ni ipi!

Popoma wahedi
 
Nilikua nakuheshimu sana kabla ya hili bandiko. Anyway everything changes after a time.
 
Nilikuwa namkubali sana ila hili bandiko lake kajishusha sana
 
Hii stori imekuja kivingine, nakuitia wadau wako
Nourhan mwite na ephen_
 
Aaaaahaa

Kayatimba
 
Kwa mafanikio haya nami ningelikuwa kijana lazima ningelikuchukia.
NB;
Kupitia hayo mafanikio uliyoainisha hapa yamechochea vp kukua kiuchumi mkuu?

Kumbuka kuleta story lkn maana sisi wanadamu hatuwezi kumchukia binadamu kichaa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…