Sijamuelewa mke wangu

Sijamuelewa mke wangu

Tunahitaji neno lako mama...ndoa ni ngumu sana
Sina cha kuongeza, wamama hata wale wavaa hijab wanakunywa, hapa nauza vinywaji ni wateja wazuri tu, ukisikiliza wakiongea eti mbona wanaume wanywa.

Mmoja hapa majuzi kamtandika mumewe ngumi huku mume ana mshono wa tezi,


Vumilieni.
 
Mkuu, wacha presha.
Mwambie akupe itinnerary yoote, sehem wanayoenda, wanaenda wangapi, utaratibu wa kulala ukoje n.k.
One day before safari yao, usiku sana unamwambia tu wazi kua na wewe unaenda mikumi kwenye mapumziko. Haez kukukataza. Bas na we unaenda unakua unawaangalia ili uone kama ni ofisi au ni li msela linaenda kumkamua mafuta
Si wataairisha maana kuna kazi ya dharrura itajitokeza ofisini kwao so itabidi waifanye on Sunday 😄😄😄😄
 
Sina cha kuongeza, wamama hata wale wavaa hijab wanakunywa, hapa nauza vinywaji ni wateja wazuri tu, ukisikiliza wakiongea eti mbona wanaume wanywa.

Mmoja hapa majuzi kamtandika mumewe ngumi huku mume ana mshono wa tezi,


Vumilieni.
Watulie na wenyewe kuimba kupokezana nipe namba ya huyo mama nimpe desperado 4 za pongezi
 
Wandugu habari zenu, napitia wakati mgumu kimaisha na mke WANGU kwakweli nimeishi nae miaka 17 bila shida yeyote lakini hivi karibuni amekuwa na mambo tofauti sana. Wiki iliyopita aliomba ruhusa ya kwenda kwenye maadhimisho ya kikoba chao kigamboni ambako wamekodi hotel na wanatakiwa kushinda na kulala hadi kesho yake!

Nikamruhusu kwa roho safi lakini soku moja kabla akanips taarifa hatoweza kwenda kwakuwa wametakiwa wabaki kazini kwani mkuu wao anakuja hivyo safar ikafa, Jana nikampa taarifa ya kuwa Jumapili ijayo tunatakiwa kwenda kumuona mtoto shuleni kwani ni siku ya shukrani kwa watoto kufanya vizuri kwenye mitihani yao, akasema imekuwa vzr kuwa this Sunday kwn next Saturday wanakwenda kiofisi mbuga za mikumi ambako wanalala huko huko, nishtuka ingawa sikujionyesha kwa haraka then nikauliza ni kiofisi akajibu hapana wameji organise, nilivyopinga hiyo safari hapo Moto uliwaka aiseee!!! baada ya kutafakri sananimeamua ni vema mimi nimuache aendelee na mambo yake nami nikaanze maisha kwingine!

Nakaribisha ushauri
Ukikaa na mwanamke sanaaa wallah munaanza kufanana ndo usemi wa "nitakupa wa kufanana naye" ndo unatimia,miaka 17 kasolo 1 umri wa kijana kujitegemea kiserikali maadamu umeshazaa naye kwa ajili ya watoto wako usimuacha mpige matukio tuu yaanii toa chuma weka chumaa.na mungu akufanyie wepesi inshaallah!
 
[mention]Mshana Jr [/mention] umeandika uzi mzuri sana lkn pamoja na zile sababu zako zote hii inafaa ianze juu kabisa
Wanawake duniani sio tanzania tu asilimia kubwa wamekua "western women" ndio maana kuna movement kubwa ya watu wa ulimwengu wa kwanza hasa marekani kuchukua passport ili wazunguke hasa bara asia na america kusini na africa kwenda kutafuta wanawake wa kuoa

Wanawake lazima waamue kua wake na sio kua wanawake tu
Kuna tofauti kidogo ya kua mwanamke na kua mke

Watu wanapigwa matukio mpaka wanabakia kutoa macho tu

Binafsi nitaoa na mwanamke nitakae muoa ni yule atakaekubali kua mke
 
Sio ofisi zote. Ofisini kwetu hakuna mambo kama hayo. Tena ni kosa kubwa hata kutaniana mambo ya mahusiano. Tunakuwa na reception watu wanakuja na waume au wapenzi wao wanaojulikana. Kwenye reception hakunaga ujinga ujinga, masaa 3 mnaondoka. Kwenye recreation tunalala hotel kubwa na huruhusiwe kuja na wenza . Na tunakuwa pamoja mpaka jioni hadi kila mtu anaenda kulala chumbani kwake.
Hakuna mahusiaano ya wizi ya wazi.
Kwani huwa mnakagua simu za wafanyakazi wote,kujua mawazo yao kuhusu mahusiaano.
Pana watu ni wezi sugu lakini utogundua
 

Soma hapo ndugu..
 
Mkuu, wacha presha.
Mwambie akupe itinnerary yoote, sehem wanayoenda, wanaenda wangapi, utaratibu wa kulala ukoje n.k.
One day before safari yao, usiku sana unamwambia tu wazi kua na wewe unaenda mikumi kwenye mapumziko. Haez kukukataza. Bas na we unaenda unakua unawaangalia ili uone kama ni ofisi au ni li msela linaenda kumkamua mafuta
Yaani hata kama hana mpango wa kkwenda yeye amwambie tu kesho tunaenda wote. Kisha angalia reaction yake
 
Wandugu habari zenu, napitia wakati mgumu kimaisha na mke WANGU kwakweli nimeishi nae miaka 17 bila shida yeyote lakini hivi karibuni amekuwa na mambo tofauti sana. Wiki iliyopita aliomba ruhusa ya kwenda kwenye maadhimisho ya kikoba chao kigamboni ambako wamekodi hotel na wanatakiwa kushinda na kulala hadi kesho yake!

Nikamruhusu kwa roho safi lakini soku moja kabla akanips taarifa hatoweza kwenda kwakuwa wametakiwa wabaki kazini kwani mkuu wao anakuja hivyo safar ikafa, Jana nikampa taarifa ya kuwa Jumapili ijayo tunatakiwa kwenda kumuona mtoto shuleni kwani ni siku ya shukrani kwa watoto kufanya vizuri kwenye mitihani yao, akasema imekuwa vzr kuwa this Sunday kwn next Saturday wanakwenda kiofisi mbuga za mikumi ambako wanalala huko huko, nishtuka ingawa sikujionyesha kwa haraka then nikauliza ni kiofisi akajibu hapana wameji organise, nilivyopinga hiyo safari hapo Moto uliwaka aiseee!!! baada ya kutafakri sananimeamua ni vema mimi nimuache aendelee na mambo yake nami nikaanze maisha kwingine!

Nakaribisha ushauri
Pole sana Mkuu mrejesho.
 
Muwe mnawashauri watoto wenu Hawa kiume ambao Kwa Sasa sio wanaume .

Inakera sana, kuona mwanaume anayejiita Mume, anaambiwa, Nitaendaaaaaa Sasa .er ananuniwa, anaogopa ugonv ,hataki Mke anune .


Hivo Hawa watoto wenu mmewalea vipi???

Mbona hawaeleweki kama wanaume au Wanawake ??.
Bora niitwe katili ila huo ujinga siwez kuukubali hapa kwangu ni mfumo dume hataki ,aachie ngaz ukiwa hiv hakuna mwanamke wa kukusumbua kichwa
 
Wanaume mna vivu, looh. Ninyi mkojiorganize kwenda mahali, sawa tu mnaenda, ila wake zenu wakijiorganize, inakuwa balaa, mnataka eti kuwaacha. Hisia tu unataka kumwacha wife, je ukiona live si ndio utaua kabisa?
 
Wanaume mna vivu, looh. Ninyi mkojiorganize kwenda mahali, sawa tu mnaenda, ila wake zenu wakijiorganize, inakuwa balaa, mnataka eti kuwaacha. Hisia tu unataka kumwacha wife, je ukiona live si ndio utaua kabisa?
Mwanamke anaetafuta lig na mwanaume mwisho wake lazima uwe mbaya ,sisi hatukuumbwa hivo kumbuka ni mke sio mchepuko kuitwa mke ni heshima tosha sisi wivu ni WA kiwango Cha sgr hata niwe na michepuko 7000 mtu akimgusa mke wangu lazima pachimbike
 
Kuz
Wanawake wengi huwa hawawezi mvumilia mwanaume ambaye anamatatizo ya kiuchumi.Mkeo ukiona anakiburi basi mwanaume jikague mfukoni ukiona hauna pesa jua ndio tatizo na endapo utaona pesa unazo jua wewe ndio tatizo jikague mienendo yako na kauli zako.Ushauri wangu kwako km mliishi kwa muda wote huo nadhani mmezoeana na mmefanya mengi basi mvumilie tuu na punguza wivu maisha yasonge.
Kuzungumza hivi nirahisi sana ....just simple ....ila omba sana yasikukute
 
Wandugu habari zenu, napitia wakati mgumu kimaisha na mke WANGU kwakweli nimeishi nae miaka 17 bila shida yeyote lakini hivi karibuni amekuwa na mambo tofauti sana. Wiki iliyopita aliomba ruhusa ya kwenda kwenye maadhimisho ya kikoba chao kigamboni ambako wamekodi hotel na wanatakiwa kushinda na kulala hadi kesho yake!

Nikamruhusu kwa roho safi lakini soku moja kabla akanips taarifa hatoweza kwenda kwakuwa wametakiwa wabaki kazini kwani mkuu wao anakuja hivyo safar ikafa, Jana nikampa taarifa ya kuwa Jumapili ijayo tunatakiwa kwenda kumuona mtoto shuleni kwani ni siku ya shukrani kwa watoto kufanya vizuri kwenye mitihani yao, akasema imekuwa vzr kuwa this Sunday kwn next Saturday wanakwenda kiofisi mbuga za mikumi ambako wanalala huko huko, nishtuka ingawa sikujionyesha kwa haraka then nikauliza ni kiofisi akajibu hapana wameji organise, nilivyopinga hiyo safari hapo Moto uliwaka aiseee!!! baada ya kutafakri sananimeamua ni vema mimi nimuache aendelee na mambo yake nami nikaanze maisha kwingine!

Nakaribisha ushauri
Mkuu umefikia wapi?
 
Wanaume mna vivu, looh. Ninyi mkojiorganize kwenda mahali, sawa tu mnaenda, ila wake zenu wakijiorganize, inakuwa balaa, mnataka eti kuwaacha. Hisia tu unataka kumwacha wife, je ukiona live si ndio utaua kabisa?
Kama tulioawana hapo sawa, lakini Kama nilikuowa mashariti na vigezo kuzingatiwa!!
 
 
Back
Top Bottom