Mzee wa kupambania
JF-Expert Member
- Aug 14, 2022
- 21,111
- 53,092
Lakini muda huo wote unakuwa ushampa tunda?Sababu sijajua kama ni yeye atanioa ama vipi. Unaweza kuwa na mtu lkn kama hana muelekeo unaoutaka unahama.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hamia kwangu ukihitaji ndoa ya mateso lakn[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Sababu sijajua kama ni yeye atanioa ama vipi. Unaweza kuwa na mtu lkn kama hana muelekeo unaoutaka unahama.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa kifupi atumie pini mzito.Muulize huko kujioganize wapo wanaume? Akisema wapo mwambie kwa nini hakutaka wewe uende. Kisha piga pini hamna mtu kwenda
Hiyo hapana.Hamia kwangu ukihitaji ndoa ya mateso lakn[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
[emoji1787][emoji1787] nimepika pilau njoo ule.Lakini muda huo wote unakuwa ushampa tunda?
Okay ila hakuna mtu ambaye atakuwa anahitaji kuwa kwa ndoa na mtu kwa ajiri ya kumtesa..... kikubwa mshirikishe Mungu akupe msela aliyekuwa matured na ujana na tamaa za kimwili[emoji847]
Amina.Okay ila hakuna mtu ambaye atakuwa anahitaji kuwa kwa ndoa na mtu kwa ajiri ya kumtesa..... kikubwa mshirikishe Mungu akupe msela aliyekuwa matured na ujana na tamaa za kimwili[emoji847]
Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Accumen Mo isome hiiWewe baba mwenyendoa nadhani unamjua mkeo vizuri, miaka 17 upiyoishi Naye unamjua ipasavyo, mkeo kutaka kutoka Mara mojamoja na wenzake sidhani Kama Ni Jambo baya mtu anayejiheshimu hawezi funga Safari ya kwenda kufanya umalaya..na ukisoma ushauri wa atu wengi humu unaona karibia wote wanawaza wanawake wafanyakazi Ni Malaya.. wewe Ni mtu mzima Sasa unajua kiasi Cha upendo wa mkeo ukoje kwako, miaka 17 Kama hakuwahi kutoka inawezekana hakuweza kupata nafasi ya kufanya hivyo kutokana na kulea watoto kuwa wadogo na majukumu kumzidi, kwa miaka hiyo ya ndoa kwanza mkeo siyo binti Tena ni mwanamke anayeweza kuchanganua mambo na hayuko kwenye stage ya kuharibu mahusiano yake kwa kuchepuka kijinga hivyo.mara mojamoja mpe mkeo Uhuru wa kufurahia Maisha na wenzake hata kidogo Kama wewe unapopata nafasi ya kufurahia Maisha kwa MDA na washkaji..Maisha ya ndoa SI utumwa Wala ufungwa ,Kuna MDA tupeane nafasi itasaidia kudumisha mahusiano yenu, Mpendwa mkeo bro kuishi na mwanamke 17 years bila kuona Jambo baya lolote Wala usaliti kutoka kwa mkeo Leo trip tu ndo uwaze kawa Malaya? Acha kusikiliaza maoni ya watu ambao hawajaishi ndoa hata mwaka ndugu yangu.
Nakuelewa sanaunajuwa unapomueleza mtu kisha anakuwa mbogo ndo shida inapoanzia, Kama baba ndani ya nyumba lazima uulize Sasa mtu anapofoka na kuonyesha utemi hapo siwezi acha tuu kila.mtu aishie kivyake, nimetoka kwa mwana sheria nimempa maamuzi yangu kwa vile mimi sitaki.chochote mbali na vyeti vya shule nae kanipa hatua za kufuata acha tuuu nianze upyaWewe baba mwenyendoa nadhani unamjua mkeo vizuri, miaka 17 upiyoishi Naye unamjua ipasavyo, mkeo kutaka kutoka Mara mojamoja na wenzake sidhani Kama Ni Jambo baya mtu anayejiheshimu hawezi funga Safari ya kwenda kufanya umalaya..na ukisoma ushauri wa atu wengi humu unaona karibia wote wanawaza wanawake wafanyakazi Ni Malaya.. wewe Ni mtu mzima Sasa unajua kiasi Cha upendo wa mkeo ukoje kwako, miaka 17 Kama hakuwahi kutoka inawezekana hakuweza kupata nafasi ya kufanya hivyo kutokana na kulea watoto kuwa wadogo na majukumu kumzidi, kwa miaka hiyo ya ndoa kwanza mkeo siyo binti Tena ni mwanamke anayeweza kuchanganua mambo na hayuko kwenye stage ya kuharibu mahusiano yake kwa kuchepuka kijinga hivyo.mara mojamoja mpe mkeo Uhuru wa kufurahia Maisha na wenzake hata kidogo Kama wewe unapopata nafasi ya kufurahia Maisha kwa MDA na washkaji..Maisha ya ndoa SI utumwa Wala ufungwa ,Kuna MDA tupeane nafasi itasaidia kudumisha mahusiano yenu, Mpendwa mkeo bro kuishi na mwanamke 17 years bila kuona Jambo baya lolote Wala usaliti kutoka kwa mkeo Leo trip tu ndo uwaze kawa Malaya? Acha kusikiliaza maoni ya watu ambao hawajaishi ndoa hata mwaka ndugu yangu.
Anamlisha nn maziwa auWe miaka yote hyo 17 mbao zote umezimaliza umebakiza mabanzi pekee halafu unaogopa kumwachia upenyo. Huwez kupambana na mtu anayekulisha kaa kwa kutulia atakuua kizembe
Sio safari za kwenda kulala Nje ya Nyumbaaa nasema mwanamke aendee kwenye Hiyo sherehee lakini lazima arudi NYUMBANIIII...!! masuala ya sijui wanenda hotel kulala ni utapeliii na umalayaaaa wa mwanamke.Wewe baba mwenyendoa nadhani unamjua mkeo vizuri, miaka 17 upiyoishi Naye unamjua ipasavyo, mkeo kutaka kutoka Mara mojamoja na wenzake sidhani Kama Ni Jambo baya mtu anayejiheshimu hawezi funga Safari ya kwenda kufanya umalaya..na ukisoma ushauri wa atu wengi humu unaona karibia wote wanawaza wanawake wafanyakazi Ni Malaya.. wewe Ni mtu mzima Sasa unajua kiasi Cha upendo wa mkeo ukoje kwako, miaka 17 Kama hakuwahi kutoka inawezekana hakuweza kupata nafasi ya kufanya hivyo kutokana na kulea watoto kuwa wadogo na majukumu kumzidi, kwa miaka hiyo ya ndoa kwanza mkeo siyo binti Tena ni mwanamke anayeweza kuchanganua mambo na hayuko kwenye stage ya kuharibu mahusiano yake kwa kuchepuka kijinga hivyo.mara mojamoja mpe mkeo Uhuru wa kufurahia Maisha na wenzake hata kidogo Kama wewe unapopata nafasi ya kufurahia Maisha kwa MDA na washkaji..Maisha ya ndoa SI utumwa Wala ufungwa ,Kuna MDA tupeane nafasi itasaidia kudumisha mahusiano yenu, Mpendwa mkeo bro kuishi na mwanamke 17 years bila kuona Jambo baya lolote Wala usaliti kutoka kwa mkeo Leo trip tu ndo uwaze kawa Malaya? Acha kusikiliaza maoni ya watu ambao hawajaishi ndoa hata mwaka ndugu yangu.
Wandugu habari zenu, napitia wakati mgumu kimaisha na mke WANGU kwakweli nimeishi nae miaka 17 bila shida yeyote lakini hivi karibuni amekuwa na mambo tofauti sana. Wiki iliyopita aliomba ruhusa ya kwenda kwenye maadhimisho ya kikoba chao kigamboni ambako wamekodi hotel na wanatakiwa kushinda na kulala hadi kesho yake!
Nikamruhusu kwa roho safi lakini soku moja kabla akanips taarifa hatoweza kwenda kwakuwa wametakiwa wabaki kazini kwani mkuu wao anakuja hivyo safar ikafa, Jana nikampa taarifa ya kuwa Jumapili ijayo tunatakiwa kwenda kumuona mtoto shuleni kwani ni siku ya shukrani kwa watoto kufanya vizuri kwenye mitihani yao, akasema imekuwa vzr kuwa this Sunday kwn next Saturday wanakwenda kiofisi mbuga za mikumi ambako wanalala huko huko, nishtuka ingawa sikujionyesha kwa haraka then nikauliza ni kiofisi akajibu hapana wameji organise, nilivyopinga hiyo safari hapo Moto uliwaka aiseee!!! baada ya kutafakri sananimeamua ni vema mimi nimuache aendelee na mambo yake nami nikaanze maisha kwingine!
Nakaribisha ushauri
Kwani tunawaogopaKataa ndoa gang mnawaongezea tu mapoint