Sijamuelewa mke wangu

Sijamuelewa mke wangu

Wewe baba mwenyendoa nadhani unamjua mkeo vizuri, miaka 17 upiyoishi Naye unamjua ipasavyo, mkeo kutaka kutoka Mara mojamoja na wenzake sidhani Kama Ni Jambo baya mtu anayejiheshimu hawezi funga Safari ya kwenda kufanya umalaya..na ukisoma ushauri wa atu wengi humu unaona karibia wote wanawaza wanawake wafanyakazi Ni Malaya.. wewe Ni mtu mzima Sasa unajua kiasi Cha upendo wa mkeo ukoje kwako, miaka 17 Kama hakuwahi kutoka inawezekana hakuweza kupata nafasi ya kufanya hivyo kutokana na kulea watoto kuwa wadogo na majukumu kumzidi, kwa miaka hiyo ya ndoa kwanza mkeo siyo binti Tena ni mwanamke anayeweza kuchanganua mambo na hayuko kwenye stage ya kuharibu mahusiano yake kwa kuchepuka kijinga hivyo.mara mojamoja mpe mkeo Uhuru wa kufurahia Maisha na wenzake hata kidogo Kama wewe unapopata nafasi ya kufurahia Maisha kwa MDA na washkaji..Maisha ya ndoa SI utumwa Wala ufungwa ,Kuna MDA tupeane nafasi itasaidia kudumisha mahusiano yenu, Mpendwa mkeo bro kuishi na mwanamke 17 years bila kuona Jambo baya lolote Wala usaliti kutoka kwa mkeo Leo trip tu ndo uwaze kawa Malaya? Acha kusikiliaza maoni ya watu ambao hawajaishi ndoa hata mwaka ndugu yangu.
Accumen Mo isome hii
 
Wewe baba mwenyendoa nadhani unamjua mkeo vizuri, miaka 17 upiyoishi Naye unamjua ipasavyo, mkeo kutaka kutoka Mara mojamoja na wenzake sidhani Kama Ni Jambo baya mtu anayejiheshimu hawezi funga Safari ya kwenda kufanya umalaya..na ukisoma ushauri wa atu wengi humu unaona karibia wote wanawaza wanawake wafanyakazi Ni Malaya.. wewe Ni mtu mzima Sasa unajua kiasi Cha upendo wa mkeo ukoje kwako, miaka 17 Kama hakuwahi kutoka inawezekana hakuweza kupata nafasi ya kufanya hivyo kutokana na kulea watoto kuwa wadogo na majukumu kumzidi, kwa miaka hiyo ya ndoa kwanza mkeo siyo binti Tena ni mwanamke anayeweza kuchanganua mambo na hayuko kwenye stage ya kuharibu mahusiano yake kwa kuchepuka kijinga hivyo.mara mojamoja mpe mkeo Uhuru wa kufurahia Maisha na wenzake hata kidogo Kama wewe unapopata nafasi ya kufurahia Maisha kwa MDA na washkaji..Maisha ya ndoa SI utumwa Wala ufungwa ,Kuna MDA tupeane nafasi itasaidia kudumisha mahusiano yenu, Mpendwa mkeo bro kuishi na mwanamke 17 years bila kuona Jambo baya lolote Wala usaliti kutoka kwa mkeo Leo trip tu ndo uwaze kawa Malaya? Acha kusikiliaza maoni ya watu ambao hawajaishi ndoa hata mwaka ndugu yangu.
Nakuelewa sanaunajuwa unapomueleza mtu kisha anakuwa mbogo ndo shida inapoanzia, Kama baba ndani ya nyumba lazima uulize Sasa mtu anapofoka na kuonyesha utemi hapo siwezi acha tuu kila.mtu aishie kivyake, nimetoka kwa mwana sheria nimempa maamuzi yangu kwa vile mimi sitaki.chochote mbali na vyeti vya shule nae kanipa hatua za kufuata acha tuuu nianze upya
 
Wewe baba mwenyendoa nadhani unamjua mkeo vizuri, miaka 17 upiyoishi Naye unamjua ipasavyo, mkeo kutaka kutoka Mara mojamoja na wenzake sidhani Kama Ni Jambo baya mtu anayejiheshimu hawezi funga Safari ya kwenda kufanya umalaya..na ukisoma ushauri wa atu wengi humu unaona karibia wote wanawaza wanawake wafanyakazi Ni Malaya.. wewe Ni mtu mzima Sasa unajua kiasi Cha upendo wa mkeo ukoje kwako, miaka 17 Kama hakuwahi kutoka inawezekana hakuweza kupata nafasi ya kufanya hivyo kutokana na kulea watoto kuwa wadogo na majukumu kumzidi, kwa miaka hiyo ya ndoa kwanza mkeo siyo binti Tena ni mwanamke anayeweza kuchanganua mambo na hayuko kwenye stage ya kuharibu mahusiano yake kwa kuchepuka kijinga hivyo.mara mojamoja mpe mkeo Uhuru wa kufurahia Maisha na wenzake hata kidogo Kama wewe unapopata nafasi ya kufurahia Maisha kwa MDA na washkaji..Maisha ya ndoa SI utumwa Wala ufungwa ,Kuna MDA tupeane nafasi itasaidia kudumisha mahusiano yenu, Mpendwa mkeo bro kuishi na mwanamke 17 years bila kuona Jambo baya lolote Wala usaliti kutoka kwa mkeo Leo trip tu ndo uwaze kawa Malaya? Acha kusikiliaza maoni ya watu ambao hawajaishi ndoa hata mwaka ndugu yangu.
Sio safari za kwenda kulala Nje ya Nyumbaaa nasema mwanamke aendee kwenye Hiyo sherehee lakini lazima arudi NYUMBANIIII...!! masuala ya sijui wanenda hotel kulala ni utapeliii na umalayaaaa wa mwanamke.
 
Wandugu habari zenu, napitia wakati mgumu kimaisha na mke WANGU kwakweli nimeishi nae miaka 17 bila shida yeyote lakini hivi karibuni amekuwa na mambo tofauti sana. Wiki iliyopita aliomba ruhusa ya kwenda kwenye maadhimisho ya kikoba chao kigamboni ambako wamekodi hotel na wanatakiwa kushinda na kulala hadi kesho yake!

Nikamruhusu kwa roho safi lakini soku moja kabla akanips taarifa hatoweza kwenda kwakuwa wametakiwa wabaki kazini kwani mkuu wao anakuja hivyo safar ikafa, Jana nikampa taarifa ya kuwa Jumapili ijayo tunatakiwa kwenda kumuona mtoto shuleni kwani ni siku ya shukrani kwa watoto kufanya vizuri kwenye mitihani yao, akasema imekuwa vzr kuwa this Sunday kwn next Saturday wanakwenda kiofisi mbuga za mikumi ambako wanalala huko huko, nishtuka ingawa sikujionyesha kwa haraka then nikauliza ni kiofisi akajibu hapana wameji organise, nilivyopinga hiyo safari hapo Moto uliwaka aiseee!!! baada ya kutafakri sananimeamua ni vema mimi nimuache aendelee na mambo yake nami nikaanze maisha kwingine!

Nakaribisha ushauri

Kwaiyo bro kosa ni nini hapo? Kwenda mikumi au kugairisha safari ya vikoba? Hawa tukiishi nao namna hii tutakufa vbaya sana brother....... em relax na endelea na shughuli zako anataka kwenda mikumi mruhusu!!!

Sioni shida iko wapi? Nikwambie mwanamke akitaka kuliwa analiwa tu hata unaishi nae apo om...... kwani una uwakika gani sa hii yupo job? Fanya kazi mzee wacha pressure izo zitakuuwa, alafu muamini mkeo
 
Hii ni chai au kuna kauongo flani kwa mtoa mada. Miaka 17 ya ndoa ina maana nyinyi ni watu wazima kidogo mmepitia mambo mazito zaidi ya hii. Sijaona sababu ya wewe mtoa mada kuchapa lapa katika hili.
 
Usifanye masihara na vikoba yaani watu wanauziana Hadi Vitu mtu anapoahindwa kulipa deni wao wakakodi hotel na kulala sio kweli 😂 wanawake na Hela zetu hapana nakataa tunaishiaga kula na kunywa kilamtu anarudi kwakwe ikizidi wengine hutoa Sadaka Kwa watoto yatima wachache Lkn labda wao wapo classic sana
 
TAHADHARI;Mke wako akianza vikoba lazima wajuba tumle natena tunawala sana aisee nipo hapa magomeni njooon mnikamate ila ukweli ndo uooooo
 
Mkuu Kuna uwezekano mkubwa Sana mkeo kuwa mchepukaji.

Mara nyingi huwa wanapiga na Safari za kazini kumbe ndo wanaenda kuliwa huko.
Fanya uchunguzi vizuri Kisha utafute suluhisho la kudumu.
 
Mkuu Kuna uwezekano mkubwa Sana mkeo kuwa mchepukaji.

Mara nyingi huwa wanapiga na Safari za kazini kumbe ndo wanaenda kuliwa huko.
Fanya uchunguzi vizuri Kisha utafute suluhisho la kudumu.
 
Pole sana Kwa yanayokukuta.Kiufupi huyo mke wako kaanza kutoka nje ya Ndoa.
Kuwa nae makini asije akakupa mtoto asiye wako ama akakuletea maradhi tu.
 
Mwambie akupigie picha akiwa na Hilo genge la staff wenzie wakiwa huko mikumi,na wawe zaidi ya 10 tafadhali!
 
Back
Top Bottom