Sijamuelewa mke wangu

Sijamuelewa mke wangu

Nyuzi za hivi zinapokuwa nyingi zinawapa wale jamaa nguvu za Kukataa Ndoa pamoja na Kampeni yao kushika kasi.

Kama ndoa yenu ina miaka 17 ni Obvious wewe na mwenza wako ni watu wazima na mtakuwa mnajuana in and out kwa kuzingatia miaka mliyoishi pamoja.

Kusema kweli katika vitu vinachangia kulegalega mno kwa ndoa nyingi ni Wanawake kucheza Vikoba.

Unaweza kuta mke anacheza kikoba kimya kimya alafu hela ya kulipia huko anadanga kwa Wanaume. Una kuta huyo Mwanamke ana wanaume 3 au wanne wa kuombwa hizo elfu 20 za kulipia kikoba. Yaani unapoteza utu wako kwa kudanga kisa elfu 20 ya kulipia kikoba.

Siwezi kuwa sahihi asilimia 100 ila itoshe kusema huyo Mkeo kuna Mwanaume ana Date naye.

Chunguza then ufanye maamuzi baada ya kuwa na ushahidi uliotimia.

Maisha bado matamu, huwezi kukosa amani ya nafsi kwa kumuendekeza Mtu ambaye mmekutana Ukubwani
Mkuu huyo mwanaume hajisimamii na kuisimamia familia/ ndoa yake Ndiomana mkewe anamuona jamaa kama mdogo wake wa kiume tu!! Au ukute mkewe alimvumilia sana visanga/ kuchepuka kwa jamaa sasa nayeye kaamua liwalo na liwe!
 
Mi sioni kama kuna shida. Kama wanatoka kiofisi we unapata wasiwasi gani. Kila mtoko una raha yake. Wa familia, wa mke na mume tu, wa kiofisi. Kwa hiyo muache aende . Kama mkeo si mwaminifu akiamua kuchepuka atachepuka tu. Relax mwamini.
 
Punguza Pressure ungefanya uchunguzi kwanza, Wanawake wengi wamekuwa pasua kichwa sana kuna Mke wa mtu Mume wake ni mgonjwa, kwasasahivi ana Mchepuko wake alishatambulishwa kwa wakwe wapya anataka talaka ili aendelee na Mchepuko wake.
Duh ni hatari
 
Swali la kwanza je una ndoa na huyo mke wako ? Kama unayo nakuambia utakufa au mwisho wa siku akili itaruka kabsa. Kama hauna ndoa mkuu piga chini tafuta mwingne , maisha ni mafupi mno.
 
Bila ya shaka siku ya Valentine day kapewa mauwa,hela,chocolate na Vaseline 😂😂
 
Kama ulivyoshauriwa , dawa ni kujua itinerary na akupe at least majina mawili au matatu ya wanaokwenda naye, nina uhakika kwa hizo information ukiamua kufuatilia utapata majibu yote unayotaka
 
Unaishije na mwanamke bila kutrack mienendo yake kwenye simu yake? Serikali ina jeshi ila bado ina kitengo cha Intelijensia kama TISS, CIA, MOSSAD unajua ni kwanini?

Hakikisha unakuwa mbele ya mwanamke yaani kabla hajakwambia kwamba weekend anaenda tour na rafiki zake uwe ushajua anachomaanisha wee utakuwa unamchora tuu.

Mwanamme usikae kiboya utakuta unalea watoto wasio wako. Mwanamke ni kiumbe hatari sana.

Mnunulie simu kali kama zawadi, ila kabla hujamkabidhi njoo tumtrack.
 
Sababu hiyo bado haitoshi kumuacha mke mkuu unless kuna mengine yasiyovumilika...Hivyo ni viashiria tu,chukua muda kuchunguza na ukigundua ni msaliti basi mrudishe mtaani tutashughulika nae kama inavyotakiwa.
 
Mbona kama umefanya maamuzi ya mihemuko? Kwanini usifatilie kwanza..
 
Unamtetea mwanamke mwenzio. Huoni kwamba amepata mchepuko ameanza kuleta mauza uza kwenye familia.
Analazimisha safari akapigwe kipara
Ww unaona yuko sawa mwanaume mwenzio? Amuache mkewe kwa sbb ya kitu ambacho hana uhakika nacho?
 
Huu uzi umejaa wanaume wenye hasira mpk wanashindwa kureason
 
😁😁😁😁😁
Imeisha iyooo

Kifuatacho apo wakuwekee sumu ufe
 
Back
Top Bottom