Tressa
JF-Expert Member
- Mar 2, 2013
- 954
- 1,043
Dawa ya wanandoa ni kuignore tu kila nonsense kasoro zile tu za kuhatarisha maisha,acha waende usimuulize tena atajiona sukari Sana..
Hata usioneshe unaumia relax,tabia mbaya Kama MTU anayo hata hapo town atafanya tu upuuzi.
Kifupi akiwa huko usipige simu kabisa muache uone akili yake inafikia wapi but kuwa extra careful pale utakapoona inaweza hatarisha maisha chukua hatua.
Hata usioneshe unaumia relax,tabia mbaya Kama MTU anayo hata hapo town atafanya tu upuuzi.
Kifupi akiwa huko usipige simu kabisa muache uone akili yake inafikia wapi but kuwa extra careful pale utakapoona inaweza hatarisha maisha chukua hatua.