Sijamuelewa mke wangu

Sijamuelewa mke wangu

Wandugu habari zenu, napitia wakati mgumu kimaisha na mke WANGU kwakweli nimeishi nae miaka 17 bila shida yeyote lakini hivi karibuni amekuwa na mambo tofauti sana. Wiki iliyopita aliomba ruhusa ya kwenda kwenye maadhimisho ya kikoba chao kigamboni ambako wamekodi hotel na wanatakiwa kushinda na kulala hadi kesho yake!

Nikamruhusu kwa roho safi lakini soku moja kabla akanips taarifa hatoweza kwenda kwakuwa wametakiwa wabaki kazini kwani mkuu wao anakuja hivyo safar ikafa, Jana nikampa taarifa ya kuwa Jumapili ijayo tunatakiwa kwenda kumuona mtoto shuleni kwani ni siku ya shukrani kwa watoto kufanya vizuri kwenye mitihani yao, akasema imekuwa vzr kuwa this Sunday kwn next Saturday wanakwenda kiofisi mbuga za mikumi ambako wanalala huko huko, nishtuka ingawa sikujionyesha kwa haraka then nikauliza ni kiofisi akajibu hapana wameji organise, nilivyopinga hiyo safari hapo Moto uliwaka aiseee!!! baada ya kutafakri sananimeamua ni vema mimi nimuache aendelee na mambo yake nami nikaanze maisha kwingine!

Nakaribisha ushauri
Jifanye mlokole jamaa anaenda kumtindua mtaro
 
Anapenda kupakwa wese ndo maana anafunga safari, tena kwa kudanganya. Hata hivyo, mtu aliyeishi kwa ndoa for almost 20yrs atakuwa ameshaanza kupata fibrosis. Narudia tena, muache aende.
Unajua story za humu zinazofichua maovu ya wanawake mmh mwanaume lazima ujifikirie mara 3, baada ya miezi 2 atasema ana mimba yako 😂 kumbe mimba imetoka mikumi
 
Kama una wasiwasi tafuta namna jiridhishe kuwa ni malaya, vunja ndoa.
 
Haha kidubwasha kinataka kutaste new taste😁😁😁.... Mahusiano bhana me nimeamua zangu kuishi peke yangu vidubwasha vikija namega natulia habari za relationships nishaona kabisa me siwezi nitakuja kupiga niue nifungwe.
 
Wandugu habari zenu, napitia wakati mgumu kimaisha na mke WANGU kwakweli nimeishi nae miaka 17 bila shida yeyote lakini hivi karibuni amekuwa na mambo tofauti sana. Wiki iliyopita aliomba ruhusa ya kwenda kwenye maadhimisho ya kikoba chao kigamboni ambako wamekodi hotel na wanatakiwa kushinda na kulala hadi kesho yake!

Nikamruhusu kwa roho safi lakini soku moja kabla akanips taarifa hatoweza kwenda kwakuwa wametakiwa wabaki kazini kwani mkuu wao anakuja hivyo safar ikafa, Jana nikampa taarifa ya kuwa Jumapili ijayo tunatakiwa kwenda kumuona mtoto shuleni kwani ni siku ya shukrani kwa watoto kufanya vizuri kwenye mitihani yao, akasema imekuwa vzr kuwa this Sunday kwn next Saturday wanakwenda kiofisi mbuga za mikumi ambako wanalala huko huko, nishtuka ingawa sikujionyesha kwa haraka then nikauliza ni kiofisi akajibu hapana wameji organise, nilivyopinga hiyo safari hapo Moto uliwaka aiseee!!! baada ya kutafakri sananimeamua ni vema mimi nimuache aendelee na mambo yake nami nikaanze maisha kwingine!

Nakaribisha ushauri

Kaka ukiona mke anaanza plan za kulala nje kanogewa
 
Acha kuchagua sana, ina maana Kati ya wanaume wote waliowahi kukutongoza, hakuna hata mmoja ambaye anataka kukuoa Kelsea
Sikupata tunaeendana. Alafu msikariri mwanamke akiwa hajaolewa eti anachagua sana kuna sababu nyingi mbali na hilo. Pia wanaume wanaweza kuwa wanakuja wengi ila waoaji hakuna so msikariri.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom