mugah di matheo
JF-Expert Member
- Jul 28, 2018
- 6,307
- 12,410
Leo ikulu chamwino mtukufu rais Magufuli amewapa zawadi ya tausi 25 kwa kila moja kwa marais watatu wastaafu na idadi hiyo kwa mjane wa baba wa taifa Mama Maria Nyerere, nampongeza kwa hilo na ni jambo la kizalendo sana
Lakini nikirudisha kumbukumbu zangu vizuri nyuma nakumbuka mtukufu alimpa Kenyatta tausi wake binafsi huko Chato alipomtembelea mapumzikoni
Sasa kutokana na kuwa nauelewa mdogo uliopelekea kufeli std 7 nilielewa kuwa Tanzania kuna tausi wengi, Ila cha kunichanganya Leo nikuwa Mtukufu amesema Tanzania hakuna Tausi ila waliletwa na Baba wa taifa hayati Mwalimu Nyerere
Sasa naomba kueleweshwa zaidi na ninyi mliosoma zaidi kuwa Tanzania kuna Tausi wengi zaidi ya wale wa ikulu?
Au hata wale aliopewa Rais Kenyatta walikuwa Mali ya Ikulu?
Naombeni kueleweshwa
Lakini nikirudisha kumbukumbu zangu vizuri nyuma nakumbuka mtukufu alimpa Kenyatta tausi wake binafsi huko Chato alipomtembelea mapumzikoni
Sasa kutokana na kuwa nauelewa mdogo uliopelekea kufeli std 7 nilielewa kuwa Tanzania kuna tausi wengi, Ila cha kunichanganya Leo nikuwa Mtukufu amesema Tanzania hakuna Tausi ila waliletwa na Baba wa taifa hayati Mwalimu Nyerere
Sasa naomba kueleweshwa zaidi na ninyi mliosoma zaidi kuwa Tanzania kuna Tausi wengi zaidi ya wale wa ikulu?
Au hata wale aliopewa Rais Kenyatta walikuwa Mali ya Ikulu?
Naombeni kueleweshwa