Sijamuelewa Mtukufu juu ya Tausi wa ikulu

Sijamuelewa Mtukufu juu ya Tausi wa ikulu

mugah di matheo

JF-Expert Member
Joined
Jul 28, 2018
Posts
6,307
Reaction score
12,410
Leo ikulu chamwino mtukufu rais Magufuli amewapa zawadi ya tausi 25 kwa kila moja kwa marais watatu wastaafu na idadi hiyo kwa mjane wa baba wa taifa Mama Maria Nyerere, nampongeza kwa hilo na ni jambo la kizalendo sana

Lakini nikirudisha kumbukumbu zangu vizuri nyuma nakumbuka mtukufu alimpa Kenyatta tausi wake binafsi huko Chato alipomtembelea mapumzikoni

Sasa kutokana na kuwa nauelewa mdogo uliopelekea kufeli std 7 nilielewa kuwa Tanzania kuna tausi wengi, Ila cha kunichanganya Leo nikuwa Mtukufu amesema Tanzania hakuna Tausi ila waliletwa na Baba wa taifa hayati Mwalimu Nyerere

Sasa naomba kueleweshwa zaidi na ninyi mliosoma zaidi kuwa Tanzania kuna Tausi wengi zaidi ya wale wa ikulu?

Au hata wale aliopewa Rais Kenyatta walikuwa Mali ya Ikulu?

Naombeni kueleweshwa
 
Kwani kwa akili yako hiyo ndogo unajua hawazaliani na kuongezeka ni kama mawe

Acha ujinga ww
Leo ikulu chamwino mtukufu rais Magufuli amewapa zawadi ya tausi 25 kwa kila moja kwa marais watatu wastaafu na idadi hiyo kwa mjane wa baba wa taifa mama maria Nyerere ,nampongeza kwa hilo na nijambo la kizalendo sana

Lakini nikirudisha kumbukumbu zangu vizuri nyuma nakumbuka mtukufu alimpa kenyata tausi wake binafsi huko chato alipomtembelea mapumzikoni

Sasa kutokana na kuwa nauelewa mdogo uliopelekea kufeli std 7 nilielewa kuwa Tanzania kuna tausi wengi
Ila chakunichanganya Leo nikuwa Mtukufu amesema Tz hakuna Tausi ila waliletwa na Baba wa taifa hayati Mwalim Nyerere
Sasa naomba kueleweshwa zaidi na ninyi mliosoma zaidi kuwa Tanzania kuna Tausi wengi zaidi ya wale waikulu?
Au hatawale aliopewa rais kenyata walikuwa Mali ya Ikulu?

Naombeni kueleweshwa
 
Kwani huko Chato, Kenyata alikwenda kwa ziara ya ki-Rais(kikazi) au ilikuwa ya kirafiki? Tuanzie hapo kwanza.
 
Magufuli na obsession yake na hao ndege bana, eti kuita wastaafu kuwapa tausi, mara kujisifu amezalisha tausi kwa incubator wakawa wengi, wana u special gani mkubwa hivyo? Ni national symbol Kama ilivyo Twiga?
 
Magufuli na obsession yake na hao ndege bana, eti kuita wastaafu kuwapa tausi, mara kujisifu amezalisha tausi kwa incubator wakawa wengi, wana u special gani mkubwa hivyo? Ni national symbol Kama ilivyo Twiga?
Ujue mtu akishindwa kazi ya kupima watu Covid-19, lazima azushe zushe vitu vingine ambavyo havina kichwa wala mguu ili mradi ajiineshe kafanikiwa tu.

Watu wako katika pandemic, yeye anaita wastaafu kuwapa tausi?

Hao wazee wengine wanakaribia miaka 100 wakipata kirusi hapo na kufa atakubali kuchukua lawama?
 
Leo ikulu chamwino mtukufu rais Magufuli amewapa zawadi ya tausi 25 kwa kila moja kwa marais watatu wastaafu na idadi hiyo kwa mjane wa baba wa taifa mama maria Nyerere ,nampongeza kwa hilo na nijambo la kizalendo sana

Lakini nikirudisha kumbukumbu zangu vizuri nyuma nakumbuka mtukufu alimpa kenyata tausi wake binafsi huko chato alipomtembelea mapumzikoni

Sasa kutokana na kuwa nauelewa mdogo uliopelekea kufeli std 7 nilielewa kuwa Tanzania kuna tausi wengi
Ila chakunichanganya Leo nikuwa Mtukufu amesema Tz hakuna Tausi ila waliletwa na Baba wa taifa hayati Mwalim Nyerere
Sasa naomba kueleweshwa zaidi na ninyi mliosoma zaidi kuwa Tanzania kuna Tausi wengi zaidi ya wale waikulu?
Au hatawale aliopewa rais kenyata walikuwa Mali ya Ikulu?

Naombeni kueleweshwa
Naomba nikujibu kwa kuuangalia mfano huu ambao hata wa std 7 anaelewa, mtoto wako mmoja kakuibia shs say laki moja halafu akaondoka kusikojulikana baada ya miezi 6 ukasikia yuko mererani anaduka duka la kama shs say 30mil. Swali je utachua polisi kwenda kumkata?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa alichofanya Rais Magufuli kugawa hao ndege Tausi kwa Marais wastaafu, Je inawezekana hao ndege watu wakafuga kama Kuku au Njiwa nyumbani? Au itahitaji kibali maalumu kufuga.

Ikitokea hao waliopewa wakiwapa ndugu zao nao wakafuge kutakuwa na shida yoyote?
 
Ujue mtu akishindwa kazi ya kupima watu Covid-19, lazima azushe zushe vitu vingine ambavyo havina kichwa wala mguu ili mradi ajiineshe kafanikiwa tu.

Watu wako katika pandemic, yeye anaita wastaafu kuwapa tausi?

Hao wazee wengine wanakaribia miaka 100 wakipata kirusi hapo na kufa atakubali kuchukua lawama?
Hahaha, nadhani jamaa walikuwa wakimshangaa tu kimoyomoyo
Tausi wenyewe walikuwa wameshakaa nao pale Ikulu, Wala sio kitu kipya kwao..eti tausi 25 kila mmoja
 
Ujue mtu akishindwa kazi ya kupima watu Covid-19, lazima azushe zushe vitu vingine ambavyo havina kichwa wala mguu ili mradi ajiineshe kafanikiwa tu.

Watu wako katika pandemic, yeye anaita wastaafu kuwapa tausi?

Hao wazee wengine wanakaribia miaka 100 wakipata kirusi hapo na kufa atakubali kuchukua lawama?
Shukrani kwa mchango
Japo upo partially kwenye mada

Nikuulze Covid si imeyeyuka kwa maajabu Tz?
 
Naomba nikujibu kwa kuuangalia mfano huu ambao hata wa std 7 anaelewa, mtoto wako mmoja kakuibia shs say laki moja halafu akaondoka kusikojulikana baada ya miezi 6 ukasikia yuko mererani anaduka duka la kama shs say 30mil. Swali je utachua polisi kwenda kumkata?

Sent using Jamii Forums mobile app
ILa wizi ni wizi
 
Back
Top Bottom