Sijamuelewa Mtukufu juu ya Tausi wa ikulu

Sijamuelewa Mtukufu juu ya Tausi wa ikulu

Alafu sioni sababu ya kugawa-gawa tausi ndege flani ambaye watu wanapaswa kuja kumuona hapa tz magogoni na sio kutoa mbegu wakafugwe nchi zingine, tunapoteza ule upekee wake.
 
Wastaafu wenzie walivitunza na kuwaacha Tausi hapo Ikuli; ila yeye ameyachukua nakuyapeleka kwake Chato sijui kwa kigezo gani. Kama akisema Chato ni Ikulu ndogo mbona Ikulu ndogo zingine za mikoani hawapo?
Ameona aibu kua yeye amekua wa mwisho kuingia Ikulu ila amekua wa kwanza kujigawia na kugawa Tausi adi kwa marafiki wake tofauti na watangulizi wake...leo ameona na watangulizi wake awape ili ahalalishe Tausi kuonekana kwenye bustani na makazi yake.
Alafu utakuta mtu hata hawataki anajikuta anasukumiziwa mitausi inaenda kumkata hesabu ya kuwatunza
 
CCM ni imeshika hatamu![emoji316][emoji316][emoji316]
1590213780084.jpg
 
Leo ikulu chamwino mtukufu rais Magufuli amewapa zawadi ya tausi 25 kwa kila moja kwa marais watatu wastaafu na idadi hiyo kwa mjane wa baba wa taifa Mama Maria Nyerere, nampongeza kwa hilo na ni jambo la kizalendo sana

Lakini nikirudisha kumbukumbu zangu vizuri nyuma nakumbuka mtukufu alimpa Kenyatta tausi wake binafsi huko Chato alipomtembelea mapumzikoni

Sasa kutokana na kuwa nauelewa mdogo uliopelekea kufeli std 7 nilielewa kuwa Tanzania kuna tausi wengi, Ila cha kunichanganya Leo nikuwa Mtukufu amesema Tanzania hakuna Tausi ila waliletwa na Baba wa taifa hayati Mwalimu Nyerere

Sasa naomba kueleweshwa zaidi na ninyi mliosoma zaidi kuwa Tanzania kuna Tausi wengi zaidi ya wale wa ikulu?

Au hata wale aliopewa Rais Kenyatta walikuwa Mali ya Ikulu?

Naombeni kueleweshwa

Kusawazisha goli. Kama mimi nimejipa tausi na nyie hebu chukueni tausi nisijeonekana mie tofauti na nyie.
 
Alafu utakuta mtu hata hawataki anajikuta anasukumiziwa mitausi inaenda kumkata hesabu ya kuwatunza
Kikwete mtoto wa mjini pale pale mbona kampa za kimafumbo mafumbo,

Mara ya kwanza wakati anatoa shukurani kwa niaba ya wenzake alisema, "sasa hawa tausi na kule kwangu msoga na vicheche wale, sijui ila hayo tuachie sie"

Halafu mara ya pili wakati amekaribishwa kutoa salamu akasema, "tunashukuru kwa zawadi ya tausi lakini wengine hatuna utaalamu wa kuwafuga hawa. Tumezoea kufuga kuku, kanga na bata. Hawa tausi hawa muheshimiwa Rais itabidi tuombe na wataalamu wa Ikulu watusaidie utaalamu". Mwisho wa kunukuu

Hizi statement za mzee wa Msoga zina ujumbe ndani yake
 
Hiki mnachoita pandemic ni kama ukichaa ambao umeingia duniani. Kwa akili za kawaida huwezi kuwafungia raia wako ndani miezi 3 kisa mafua
Kwani wapi nimeandika watu wafungiwe ndani miezi mitatu?
 
Kikwete mtoto wa mjini pale pale mbona kampa za kimafumbo mafumbo,

Mara ya kwanza wakati anatoa shukurani kwa niaba ya wenzake alisema, "sasa hawa tausi na kule kwangu msoga na vicheche wale, sijui ila hayo tuachie sie"

Halafu mara ya pili wakati amekaribishwa kutoa salamu akasema, "tunashukuru kwa zawadi ya tausi lakini wengine hatuna utaalamu wa kuwafuga hawa. Tumezoea kufuga kuku, kanga na bata. Hawa tausi hawa muheshimiwa Rais itabidi tuombe na wataalamu wa Ikulu watusaidie utaalamu". Mwisho wa kunukuu

Hizi statement za mzee wa Msoga zina ujumbe ndani yake
Haha ni wazi hawa tausi wamegeuka kuwa mzigo kwa wastaafu yani zawadi imewalemea
 
Halafu katibu wa Ikulu akaleta mawenge pale eti muheshimiwa ana roho nzuri, amewagawia wenzake ila yeye hajajigawia kwamba ufanyike utaratibu na yeye apate kabla hajastaafu. Hii awamu viongozi wengi wanajifanya hamnazo
Duh,tuwakumbushe watuambie
 
Umekuwa mkweli kuwa uwezo wako ‘kiakili’ ni mdogo sana, pongezi kwa uungwana huo.

Hatukuwa na tausi bali Nyerere aliwaleta, haina maana kuwa hatuna kwa sasa.... hao tulionao ndio wale tulioletewa na Nyerere tumewatunza nao wamazaliana.
 
Hahaha, nadhani jamaa walikuwa wakimshangaa tu kimoyomoyo
Tausi wenyewe walikuwa wameshakaa nao pale Ikulu, Wala sio kitu kipya kwao..eti tausi 25 kila mmoja
Usafiri ndege kama ilivyokuwa mabox matatu(@ 5kg) ya kikombe cha babu wa Madagascar.
Ndio hivyo, twatumbua kishika uchumba cha Barrick
 
Back
Top Bottom