Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukifata utaratibu ni ruksa tu, mbona huku kwetu jamaa anao anajifugia tu.Kwani pale si walisema zile ni nyara za serikali.
Huwezi kujua, pengine masharti ya mganga wake.Hahaha, nadhani jamaa walikuwa wakimshangaa tu kimoyomoyo
Tausi wenyewe walikuwa wameshakaa nao pale Ikulu, Wala sio kitu kipya kwao..eti tausi 25 kila mmoja
Nipo partially kwenye mada maana yake nini?Shukrani kwa mchango
Japo upo partially kwenye mada
Nikuulze Covid si imeyeyuka kwa maajabu Tz?
Jamaa anawapongeza eti hawajavaa barakoa.Ujue mtu akishindwa kazi ya kupima watu Covid-19, lazima azushe zushe vitu vingine ambavyo havina kichwa wala mguu ili mradi ajiineshe kafanikiwa tu.
Watu wako katika pandemic, yeye anaita wastaafu kuwapa tausi?
Hao wazee wengine wanakaribia miaka 100 wakipata kirusi hapo na kufa atakubali kuchukua lawama?
Mkulu alijimilikisha..... Baada ya kuona watu hawakufurahishwa na hilo ameamua kuwapa wenzake ili asionekane kama ni yeye peke yake mwenye hao Tausi. Nyerere aliwaacha pale hakuwachukua na waliofuata wakafanya vile vile. Jamaa kaamua kuwapa kinguvu maboss wake wa zamani na hakuna wa kuataa maana wanajua. Kama walikuwa wanawataka hao Tausi wangefanya hivyo wakati wa utawala wao.Leo ikulu chamwino mtukufu rais Magufuli amewapa zawadi ya tausi 25 kwa kila moja kwa marais watatu wastaafu na idadi hiyo kwa mjane wa baba wa taifa mama maria Nyerere ,nampongeza kwa hilo na nijambo la kizalendo sana
Lakini nikirudisha kumbukumbu zangu vizuri nyuma nakumbuka mtukufu alimpa kenyata tausi wake binafsi huko chato alipomtembelea mapumzikoni
Sasa kutokana na kuwa nauelewa mdogo uliopelekea kufeli std 7 nilielewa kuwa Tanzania kuna tausi wengi
Ila chakunichanganya Leo nikuwa Mtukufu amesema Tz hakuna Tausi ila waliletwa na Baba wa taifa hayati Mwalim Nyerere
Sasa naomba kueleweshwa zaidi na ninyi mliosoma zaidi kuwa Tanzania kuna Tausi wengi zaidi ya wale waikulu?
Au hatawale aliopewa rais kenyata walikuwa Mali ya Ikulu?
Naombeni kueleweshwa
Nafikiri kama umefuatilia vizuri utagundua kuwa wamepewa na "vibali" vya kuwatunza. Kama na wao watawapa ndugu zao wasisahau kuomba vibali.Kwa alichofanya Rais Magufuli kugawa hao ndege Tausi kwa Marais wastaafu, Je inawezekana hao ndege watu wakafuga kama Kuku au Njiwa nyumbani? Au itahitaji kibali maalumu kufuga.
Ikitokea hao waliopewa wakiwapa ndugu zao nao wakafuge kutakuwa na shida yoyote?
Ukifuata utaratibu inakua ruksa kama zilivyo nyara nyingine za Serikali kama nyama za kuwinda na kadhalika.Ukifata utaratibu ni ruksa tu,mbona huku kwetu jamaa anao anajifugia tu.
Nadhani mjinga anahitaji kueleweshwa ndiomaana akaulizaKwani kwa akili yako hiyo ndogo unajua hawazaliani na kuongezeka ni kama mawe
Acha ujinga ww
Sababu kubwa ya yale maigizo ni homa ya uchaguzi mkuuLeo ikulu chamwino mtukufu rais Magufuli amewapa zawadi ya tausi 25 kwa kila moja kwa marais watatu wastaafu na idadi hiyo kwa mjane wa baba wa taifa Mama Maria Nyerere, nampongeza kwa hilo na ni jambo la kizalendo sana
Lakini nikirudisha kumbukumbu zangu vizuri nyuma nakumbuka mtukufu alimpa Kenyatta tausi wake binafsi huko Chato alipomtembelea mapumzikoni
Sasa kutokana na kuwa nauelewa mdogo uliopelekea kufeli std 7 nilielewa kuwa Tanzania kuna tausi wengi, Ila cha kunichanganya Leo nikuwa Mtukufu amesema Tanzania hakuna Tausi ila waliletwa na Baba wa taifa hayati Mwalimu Nyerere
Sasa naomba kueleweshwa zaidi na ninyi mliosoma zaidi kuwa Tanzania kuna Tausi wengi zaidi ya wale wa ikulu?
Au hata wale aliopewa Rais Kenyatta walikuwa Mali ya Ikulu?
Naombeni kueleweshwa
Nilitaka kushangaa usijitokezeSababu kubwa ya yale maigizo ni homa ya uchaguzi mkuu
Ni sehemu ya maajabu. Ndugai na Majaliwa Bungeni barakoa hawaziachi kabisa ila nadhani kuanzia leo hawatavaa tenaJamaa anawapongeza eti hawajavaa barakoa.
Viongozi wetu ni wanafiki sijawahi kuona.
Angalia mawaziri wote akiwemo pm wakiwa bungeni au mahala popote wanavaa barakoa ila wakienda kwa rais wanavua ili kumfurahisha mshikaji.
Hao wazee jamaa anataka wanase covid-19 waage Dunia.
Halafu katibu wa Ikulu akaleta mawenge pale eti muheshimiwa ana roho nzuri, amewagawia wenzake ila yeye hajajigawia kwamba ufanyike utaratibu na yeye apate kabla hajastaafu. Hii awamu viongozi wengi wanajifanya hamnazoMkulu alijimilikisha..... Baada ya kuona watu hawakufurahishwa na hilo ameamua kuwa wenzake ili asione lane kama ni yeye peke yake mwenye hao Tausi. Nyerere aliwaachia pale hakuwa chukua na waliofuata wa kafanya vile vile. Jamaa kaamua kuwapa kinguvu na hakuna wa kuataa maana kama walikuwa wanawataka wangefanya hivyo wakati wa utawala wao.
Maelezo yalitolewa siku ile ileNadhani mjinga anahitaji kueleweshwa ndiomaana akauliza
Yeye swali lake ni rahisi, Tausi aliopewa Kenyatta ni wale wa Ikulu au walikuwa mali binafsi ya Magufuri? Na kama ilikuwa mali binafsi aliwatoa wapi?
Kumbuka wale wa Ikulu hata wakizaliana wakawa laki moja au milioni wanabaki kuwa mali (nyara) ya serikali na hutolewa kwa kibali maalumu kama alivyofanya Rais leo.
Hiki mnachoita pandemic ni kama ukichaa ambao umeingia duniani. Kwa akili za kawaida huwezi kuwafungia raia wako ndani miezi 3 kisa mafuaUjue mtu akishindwa kazi ya kupima watu Covid-19, lazima azushe zushe vitu vingine ambavyo havina kichwa wala mguu ili mradi ajiineshe kafanikiwa tu.
Watu wako katika pandemic, yeye anaita wastaafu kuwapa tausi?
Hao wazee wengine wanakaribia miaka 100 wakipata kirusi hapo na kufa atakubali kuchukua lawama?