Sijamuelewa Naibu Katibu Mkuu ujenzi na usafirishaji kuhusu DP World

Sijamuelewa Naibu Katibu Mkuu ujenzi na usafirishaji kuhusu DP World

koryo1952

JF-Expert Member
Joined
Mar 7, 2023
Posts
948
Reaction score
1,627
Jana Jumatatu katika dakika 45 ya mahojiano kuhusu DP World kati ya Naibu Katibu Mkuu Ujenzi na Usafirishaji na Ndugu Mzinga kwa kweli sikumuelewa alichokuwa anaeleza Naibu Katibu Mkuu kuhusu DP World. Hakuwa amejitayarisha na maelezo yake yalikuwa below standard.

Kwa mahojiano yenye umuhimu kama haya ni budi Serikali kumteua mtu mwenye uelewa kuhusu jambo hili. Maelezo yake hayakukidhi haja ya wananchi. Pole sana Naibu Katibu Mkuu.
 
Huyo aliogopa tu kusema mkataba ni wakijinga kuwahi kutokea TANGANYIKA

Anaogopa kutumbuliwa
 
hsta yeye hajui vyema alichokuwa anatetea zaidi ya kuambiwa nenda katete "mkataba'
Wanachofanya hawa watu ni sawa na kumwaga damu za wa tz, wakumbuke Mungu wa Ibrahim, Isaka na Yakobo yupo upande wa wa Tz na malipo ni hapahapa duniani.
 
Back
Top Bottom