Mkuu mtoto darasa la pili na hakuna mdogo wake,mmmhhh kulikoni Mkuu? ni utashi au matatizo,maana..........
Yamekuwa hayo?nyamayao hata sijui nitakachofanya but sidhani kama ningeichukulia a big deal juu ya hilo. Ndio nitaelewa kuwa hakuwa ananiamini but kwa upande mwingine nitashukuru kwa vile atakuwa amejiona ujinga wake na pengine trust itarudi. Hakuna kitu kibaya kama kuishi na mwenza asiyekuamini kwani utakuwa unafanya yote na bado hakuamini. Ndio maana mimi nilimwambiaga kama haniamini atafute private investigator ampe hiyo kazi. Wanakera hawa dada yangu we acha tu
kaka we umeliwa kuanzia sasa chokochoko zote kwa mkeo uache kama bado unapenda muishi pamoja,yaani huyo kweli master yake kaitumia vizuri,kitendo cha wewe kukubaliana nae kuuza nyumba ukae kwake pole sana bro inabidi uwe mpole hata kama kakauchezea faulo maana mi yashanikuta kama yako nae alikua binti wa hukohuko arusha,nakumbuka mwishomwisho wa mapenzi mama alinifukuza kama mbwa nyumbani na nguo zilitupwa nje uwanjani na majirani wanaona,nnachoshukuru mtoto sina shaka nae kabsaaa maana nilipiga kopi ya nguvu,sema baaada ya kuzaa mama alikuja na revolution ndio tukaachana,sasa ushauri wangu huyo kashakuzidi ujanja,ukianza kuingiza mambo ya kupima d.n.a na nini umekwisha mama atajua tuu,mtoto tayari mkubwa huyo hata ufanyeje atamwambia,na gia zao ndo hizo kwanza lazima unyimwe unyumba ili uzidi kukasirika na yeye akuwashie moto na ikiwezekana kukutimua kabisa,inawezekana upole wake ni imani tu alikua anakuwekea sababu hujawahi leta ukorofi sasa ukilianzisha hilo kashapata sababu,yaani nakuonea huruma kitanzi kinakunyemelea,mi nilipata uchizi kabisa mpaka nikaombewa na kufanyiwa counselling ya nguvu ndo nikapiga moyo konde na mungu amenisaidia mpaka hapa nilipo.
Lakini na kina baba muwe mnachagua maneno ya kuwambia watoto. hivi unavyomwambia mtoto utadhani we si mwanangu una maana gani, that is a kid for god's sake, why would you use such language in front of the kid?
Babukijana hakuna kiumbe mwenye roho ngumu kama mwanamke,we fikiria ni nadra sana tena sana mwanaume na akili zake kukubali kulala ndani ya chumba ambamo kuna suruali,viatu,koti n.k vya mwanaume mwingine,lakini mkeo akisafiri tena kwenye matrimonial home mlete mwanamke uone kama atakataa kulala,atajipigia usingizi vizuri tu!Hao ndo mama zetu mazee.kaka we umeliwa kuanzia sasa chokochoko zote kwa mkeo uache kama bado unapenda muishi pamoja,yaani huyo kweli master yake kaitumia vizuri,kitendo cha wewe kukubaliana nae kuuza nyumba ukae kwake pole sana bro inabidi uwe mpole hata kama kakauchezea faulo maana mi yashanikuta kama yako nae alikua binti wa hukohuko arusha,nakumbuka mwishomwisho wa mapenzi mama alinifukuza kama mbwa nyumbani na nguo zilitupwa nje uwanjani na majirani wanaona,nnachoshukuru mtoto sina shaka nae kabsaaa maana nilipiga kopi ya nguvu,sema baaada ya kuzaa mama alikuja na revolution ndio tukaachana,sasa ushauri wangu huyo kashakuzidi ujanja,ukianza kuingiza mambo ya kupima d.n.a na nini umekwisha mama atajua tuu,mtoto tayari mkubwa huyo hata ufanyeje atamwambia,na gia zao ndo hizo kwanza lazima unyimwe unyumba ili uzidi kukasirika na yeye akuwashie moto na ikiwezekana kukutimua kabisa,inawezekana upole wake ni imani tu alikua anakuwekea sababu hujawahi leta ukorofi sasa ukilianzisha hilo kashapata sababu,yaani nakuonea huruma kitanzi kinakunyemelea,mi nilipata uchizi kabisa mpaka nikaombewa na kufanyiwa counselling ya nguvu ndo nikapiga moyo konde na mungu amenisaidia mpaka hapa nilipo.
Babukijana hakuna kiumbe mwenye roho ngumu kama mwanamke,we fikiria ni nadra sana tena sana mwanaume na akili zake kukubali kulala ndani ya chumba ambamo kuna suruali,viatu,koti n.k vya mwanaume mwingine,lakini mkeo akisafiri tena kwenye matrimonial home mlete mwanamke uone kama atakataa kulala,atajipigia usingizi vizuri tu!Hao ndo mama zetu mazee.
By the way Calnde umesema my wife wako kajenga bonge la jumba Njiro,ushawahi kujiuliza alifanya biashara gani kupata huo mkwanja,maana isije ikawa kulikuwa na msaada tutani mazee!Sina hakika mkuu ingawa sio mpenzi wa Internet hata emails zake nyingi huwa namsaidia japo nimewahi kungusia juu ya hii site. Anyway tumezungumza nae na akaniambia hamna lolote ni hasira tuu zilimpata za kuona kwamba simwamini wakati yeye kwa miaka yato ameniamini na kuwa mwaminifu japo wakubwa wamekuwa wakimtaka kwa gharama kubwa. Hata hivyo mtoto nimezidi kumchunguza na mashaka yameongezeka japo nimemwonyesha wife i don care. Ntaenda kupima kwa siri tuu
All the best Calnde na mai wife wako,i truly wish you happyness!mipango ya maisha kaka, atakuja tuu kuna mambo ambayo tunafanya tukaona tuvute pumzi kidogo, hiyo ni mipango ya mwakani, itatimia tuu
By the way Calnde umesema my wife wako kajenga bonge la jumba Njiro,ushawahi kujiuliza alifanya biashara gani kupata huo mkwanja,maana isije ikawa kulikuwa na msaada tutani mazee!
Kama ni hivyo Mkuu tuliza ball,ganga yajayo.Mkuu sina shaka na hilo. . .
Ni mwajiriwa wa juu tuu huko kwa serikali na kuna some investments ana anazo ambazo nw nimetop up mtaji tunarun pamoja. Hilo halina shaka
mkuu kweli nukigundua nieendelee, hapo sitaweza, atakufa mtu ati! Fikiria mtoto yupo darasa la pili, namlipia pesa nyingi mpaka nachanganyikiwa, alafu nieendelee nae! itakuwa kazi nzito. . .
Mungu saidia tuu awe wangu
mkuu pole sana lakini kwa ninavyokujudge, inaonekana ulikuwaq na wasiwasi na huyo kid kwa muda mrefu tu na mkeo alishahisi hivyo, labda ulikuwa unamkaguakagua sana mtoto mara vidole, mdomo, mikono na vitu vingi tu na inelekea mama alikuwa anakuona na kusubiri kauli yako na nadhani kinachokuuma zaidi ni pale wadau wanapokwambia ujafanana na mtoto wako kabisa,Hapana ndugu,
Mie nje simegi kabisa. Hata kama umefatilia thread zangu hapa nalaani kabisa hiyo mambo, iweje leo yeye afanye hivyo. . . .
Hahahahaha duh ukiona n'tu anajihami basi ujue kuna kitu around basi wewe chunguza n'jomba utabaini
Acha kumchanganya mwenzio.Mpe ushauri usimpandishe presha.
mwanajamii we ni mwanamama inaelekea,
Nisaidie, anawezekana kweli wife akamind kivile kama hakuna lolote? Halafu always ni mkimya asiyependa makuu wala mabishani au majibizano, hajawahi kukasirika kiasi hicho toka tumeoana miaka zaidi ya nane sasa, ndo maana nikashtuka kwa nini amereact that much. . . .
Ndugu..alireact vile kwa sababu ulimtolea negligent statement.... hukujua itam affect vipi.
Siku zote ujizuie kutoa matamshi kama yale.Mwanamke yeyote atakasirika kusikia mumewe anasema.."utadhani huyu mtoto siyo wangu"!