Sijaolewa kwasababu "ndoa za watu zinanivunja moyo"

Sijaolewa kwasababu "ndoa za watu zinanivunja moyo"

Mm sijajolewa na natamani siku ifike nije nimpate wangu wa peke yangu atakaye nipenda kwa dhati ya moyo wake. Halafu atulie tuli. Bila hivyo siolewi.

Mpk sasa nina miaka 29, lkn kila nikitaka kuingia kwenye ndoa moyo unasita. Kwasabbb tangu nipevuke nimekuwa natongozwa na wanaume (lkn walio wengi ni waume za watu).

Sasa najiuliza inamaana na mm nikiingia kwenye ndoa mume wangu atakuwa anachepuka kama hawa? Sasa kama una mume halafu kucha kutwa anahaingaika na akina dada wa kitaa, nini maana yake?

Ndoa nn faida yake ikiwa hata ukiwa nayo mwenzi wako anachepuka?

Wanawake wengi wameridhika na ujinga huu. Ukiongea nao wanasema "wanaume ndiyo walivyo au wanaume hawaridhiki". Sasa kama hawaridhiki? Ndiyo nijiingize kwenye kitu hatari? Nikipata magonjwa je?

Kwa ujinga huu, siolewi.
Nakushauri bora usiolewe naona wangekuwa waanakutongoza wanaume wa mbuzi ama kuku Dada. Ni bora uzae umuumbe Hugo mmeo unayemtaka. Yaani komaaa uolewe na malaika kama sio wanaume kuwa na tamaawagekaa wasikufuate Haya wewe. Zaaa wa kwako afu aje akuoe. Kwanza huwa nasema siku hizi hakuna wanaume kama enzi za akina nabii Ibrahim ama Yesu. Enzi hizo kulikuwa na mwanaume aliyeoa wanawake karibia alfu moja sijui ni alfu kumi. Nisaidieni wasoma biblia alikuwa ni nabii Suleiman. Lands king mswati ni mwanaume kidogo. Mie Nina mdogo ya kuoa wafike mia Moja saivi ninao 26.

Wanaume wa siku hizi hakuna kituo na kituo anataka siti wakati enzi hizo za akina mkwawa askari awake walitembea tokea iringa mpaka dar kumfuatilia mjerumani anafanya mini.

Yaani wanaume huwezi Haya kojoza wanawake watano kwa siku. Jiulize Suleiman aliwahudumiaje nao wote jamani.
Hebu tuamke mwanaume jamani tunashusha our manhood
 
29 years old, ni nani auziwe gazeti jioni?[emoji276]
 
Mm sijajolewa na natamani siku ifike nije nimpate wangu wa peke yangu atakaye nipenda kwa dhati ya moyo wake. Halafu atulie tuli. Bila hivyo siolewi.

Mpk sasa nina miaka 29, lkn kila nikitaka kuingia kwenye ndoa moyo unasita. Kwasabbb tangu nipevuke nimekuwa natongozwa na wanaume (lkn walio wengi ni waume za watu).

Sasa najiuliza inamaana na mm nikiingia kwenye ndoa mume wangu atakuwa anachepuka kama hawa? Sasa kama una mume halafu kucha kutwa anahaingaika na akina dada wa kitaa, nini maana yake?

Ndoa nn faida yake ikiwa hata ukiwa nayo mwenzi wako anachepuka?

Wanawake wengi wameridhika na ujinga huu. Ukiongea nao wanasema "wanaume ndiyo walivyo au wanaume hawaridhiki". Sasa kama hawaridhiki? Ndiyo nijiingize kwenye kitu hatari? Nikipata magonjwa je?

Kwa ujinga huu, siolewi.
Unajua kwann hujaolewa? Sababu unacopy maisha ya watu.
Yaani hayo mambo unayoyaona kwenye ndoa za wenzio.. unadhani na ww yatakutokea. Yaani una copy and paste. Ndio maana ume stuck.

Hujaolewa sababu in your mind unasikiliza only darkside ua ndoa. Ndio maana unaona ndoa mbaya
.
Hata ukimpata bado utamuwazia vibaya ulienae.

Rekebisha fikra zako
 
Back
Top Bottom