Demi
JF-Expert Member
- Nov 22, 2016
- 40,466
- 88,695
Dume hiloMBONA MAGARI YANAANGUKA KILA SIKU NA HUACHI KUYAPANDA,TULIZA MSHONO MKUU NJOO PM
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dume hiloMBONA MAGARI YANAANGUKA KILA SIKU NA HUACHI KUYAPANDA,TULIZA MSHONO MKUU NJOO PM
Bas nmepunguza wakikuta karot [emoji1647] kwenye frij yake wasileSidhani baana...Sijawai waza kujiingizia Tango kwa maeneo hayo.
Duuuh... Mkuu kufanya masturbation haiitaji hivyo vitu..kwa mtazamo wanguBas nmepunguza wakikuta karot [emoji1647] kwenye frij yake wasile
Duuuh... Mkuu kufanya masturbation haiitaji hivyo vitu..kwa mtazamo wangu
Simtaki mume wangu kabisa kimapenzi, akili yangu ipo kwa boyfriend wangu
Hiki nacho ni nini? Yan ww huwa hueleweki
Inahitaji nini ?Duuuh... Mkuu kufanya masturbation haiitaji hivyo vitu..kwa mtazamo wangu
Duuuh SIWEZI Seema...Inahitaji nini ?
Kabsa maana huchelewi kula mume wa mtuMwanamke kama huyu ukikuta tango kwenye frij yake usile
🤣🤣🤣🤣🤣 Ww jamaa uliwaza nin lkn?!Mwanamke kama huyu ukikuta tango kwenye frij yake usile
Tikiti maji[emoji3][emoji3][emoji3]Unaonekana ww mtaalam mkuu ww watumia nini?
Haimanishi mhusika nin yy ila inawezekana amewakilisha mawazo ya mabinti/wadada walio wengiMods piga ban hii mbuzi
Niambie pm itakua Siri yangu tuDuuuh SIWEZI Seema...
Hiyo ipo waz bro[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Ww jamaa uliwaza nin lkn?!
Nakushauri bora usiolewe naona wangekuwa waanakutongoza wanaume wa mbuzi ama kuku Dada. Ni bora uzae umuumbe Hugo mmeo unayemtaka. Yaani komaaa uolewe na malaika kama sio wanaume kuwa na tamaawagekaa wasikufuate Haya wewe. Zaaa wa kwako afu aje akuoe. Kwanza huwa nasema siku hizi hakuna wanaume kama enzi za akina nabii Ibrahim ama Yesu. Enzi hizo kulikuwa na mwanaume aliyeoa wanawake karibia alfu moja sijui ni alfu kumi. Nisaidieni wasoma biblia alikuwa ni nabii Suleiman. Lands king mswati ni mwanaume kidogo. Mie Nina mdogo ya kuoa wafike mia Moja saivi ninao 26.Mm sijajolewa na natamani siku ifike nije nimpate wangu wa peke yangu atakaye nipenda kwa dhati ya moyo wake. Halafu atulie tuli. Bila hivyo siolewi.
Mpk sasa nina miaka 29, lkn kila nikitaka kuingia kwenye ndoa moyo unasita. Kwasabbb tangu nipevuke nimekuwa natongozwa na wanaume (lkn walio wengi ni waume za watu).
Sasa najiuliza inamaana na mm nikiingia kwenye ndoa mume wangu atakuwa anachepuka kama hawa? Sasa kama una mume halafu kucha kutwa anahaingaika na akina dada wa kitaa, nini maana yake?
Ndoa nn faida yake ikiwa hata ukiwa nayo mwenzi wako anachepuka?
Wanawake wengi wameridhika na ujinga huu. Ukiongea nao wanasema "wanaume ndiyo walivyo au wanaume hawaridhiki". Sasa kama hawaridhiki? Ndiyo nijiingize kwenye kitu hatari? Nikipata magonjwa je?
Kwa ujinga huu, siolewi.
Ukweli unaoumiza huu...Hujaolewa kwa sababu waoaji hawakuoni kutokana na kutokidhi vigezo.
Unajua kwann hujaolewa? Sababu unacopy maisha ya watu.Mm sijajolewa na natamani siku ifike nije nimpate wangu wa peke yangu atakaye nipenda kwa dhati ya moyo wake. Halafu atulie tuli. Bila hivyo siolewi.
Mpk sasa nina miaka 29, lkn kila nikitaka kuingia kwenye ndoa moyo unasita. Kwasabbb tangu nipevuke nimekuwa natongozwa na wanaume (lkn walio wengi ni waume za watu).
Sasa najiuliza inamaana na mm nikiingia kwenye ndoa mume wangu atakuwa anachepuka kama hawa? Sasa kama una mume halafu kucha kutwa anahaingaika na akina dada wa kitaa, nini maana yake?
Ndoa nn faida yake ikiwa hata ukiwa nayo mwenzi wako anachepuka?
Wanawake wengi wameridhika na ujinga huu. Ukiongea nao wanasema "wanaume ndiyo walivyo au wanaume hawaridhiki". Sasa kama hawaridhiki? Ndiyo nijiingize kwenye kitu hatari? Nikipata magonjwa je?
Kwa ujinga huu, siolewi.