Quetzal
JF-Expert Member
- Dec 9, 2018
- 6,343
- 10,799
Duhhh...asnte kwa kunistuaInaongeza tumbo pia ufahamu hilo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duhhh...asnte kwa kunistuaInaongeza tumbo pia ufahamu hilo.
Nina vigezo vyote mkuu. Sura, rangi, chura na dimpoz kwa mbaali.Hujaolewa kwa sababu waoaji hawakuoni kutokana na kutokidhi vigezo.
Ukifikia umri wa miaka 32 bila kuolewa... uje upitie tena huu uzi wako halafu uone kama utakuwa na mawazo haya..!!!Mm sijajolewa na natamani siku ifike nije nimpate wangu wa peke yangu atakaye nipenda kwa dhati ya moyo wake. Halafu atulie tuli. Bila hivyo siolewi.
Mpk sasa nina miaka 29, lkn kila nikitaka kuingia kwenye ndoa moyo unasita. Kwasabbb tangu nipevuke nimekuwa natongozwa na wanaume (lkn walio wengi ni waume za watu).
Sasa najiuliza inamaana na mm nikiingia kwenye ndoa mume wangu atakuwa anachepuka kama hawa? Sasa kama una mume halafu kucha kutwa anahaingaika na akina dada wa kitaa, nini maana yake?
Ndoa nn faida yake ikiwa hata ukiwa nayo mwenzi wako anachepuka?
Wanawake wengi wameridhika na ujinga huu. Ukiongea nao wanasema "wanaume ndiyo walivyo au wanaume hawaridhiki". Sasa kama hawaridhiki? Ndiyo nijiingize kwenye kitu hatari? Nikipata magonjwa je?
Kwa ujinga huu, siolewi.
Nina vigezo vyote mkuu. Sura, rangi, chura na dimpoz kwa mbaali.
Na watu wanakufa kila kukicha lakini haachi kuishi..MBONA MAGARI YANAANGUKA KILA SIKU NA HUACHI KUYAPANDA,TULIZA MSHONO MKUU NJOO PM
Juzi ulikuja hapa na uzi kwamba upo kwenye ndoa ya miezi nane lakini unampenda boyfriend kuliko mume
Mods tunaomba aina ya watu kama huyu muwafungie kabisa maana wanaondoa credibility ya JF
Unadhani hivi ndivyo vigezo vya kuolewa?
Maelezo yako ni sawa na kusema kuwa kwakuwa matajiri wengi wanavamiwa na majambazi na wengine hata kuuawa unaona ni bora usitafute pesa ili na wewe uwe tajiri siku moja...Mm sijajolewa na natamani siku ifike nije nimpate wangu wa peke yangu atakaye nipenda kwa dhati ya moyo wake. Halafu atulie tuli. Bila hivyo siolewi.
Mpk sasa nina miaka 29, lkn kila nikitaka kuingia kwenye ndoa moyo unasita. Kwasabbb tangu nipevuke nimekuwa natongozwa na wanaume (lkn walio wengi ni waume za watu).
Sasa najiuliza inamaana na mm nikiingia kwenye ndoa mume wangu atakuwa anachepuka kama hawa? Sasa kama una mume halafu kucha kutwa anahaingaika na akina dada wa kitaa, nini maana yake?
Ndoa nn faida yake ikiwa hata ukiwa nayo mwenzi wako anachepuka?
Wanawake wengi wameridhika na ujinga huu. Ukiongea nao wanasema "wanaume ndiyo walivyo au wanaume hawaridhiki". Sasa kama hawaridhiki? Ndiyo nijiingize kwenye kitu hatari? Nikipata magonjwa je?
Kwa ujinga huu, siolewi.
😂😂Nakuunga mkono, usiolewe na wala usizae kwani ajira zenyewe hazitoshi kwa kila mtu, watu wanazaliana sana, Big up!
Sijui kwa nini mods wanamuangalia tuAtakuwa dume huyu, kutaka kutuchafua wanawake
Sijui kwa kweli ila huyu mwamba yeye hapa jamnvini ameji identify kama me na kama ke, haelewekiMods wakimpiga ban huyu wanipige pia ya wiki, nawaruhusu. Huyu tangu huko anajiandikia na kuchanganya madesa. I wonder mods hawamuoni au wanapenda anavyojichanganyia jinsia! Au nao wanafurahia uandishi wa ajabu ajabu hivi.
Una tko? Unalo?Mm siolewi. Sipendi ku-share penzi.
Haya, jiongeze mkuu.....Ninayo Bible ya kiingereza mkuu ndo mistari hiyohiyo au..?
Katafute maraika akuoe,Mm sijajolewa na natamani siku ifike nije nimpate wangu wa peke yangu atakaye nipenda kwa dhati ya moyo wake. Halafu atulie tuli. Bila hivyo siolewi.
Mpk sasa nina miaka 29, lkn kila nikitaka kuingia kwenye ndoa moyo unasita. Kwasabbb tangu nipevuke nimekuwa natongozwa na wanaume (lkn walio wengi ni waume za watu).
Sasa najiuliza inamaana na mm nikiingia kwenye ndoa mume wangu atakuwa anachepuka kama hawa? Sasa kama una mume halafu kucha kutwa anahaingaika na akina dada wa kitaa, nini maana yake?
Ndoa nn faida yake ikiwa hata ukiwa nayo mwenzi wako anachepuka?
Wanawake wengi wameridhika na ujinga huu. Ukiongea nao wanasema "wanaume ndiyo walivyo au wanaume hawaridhiki". Sasa kama hawaridhiki? Ndiyo nijiingize kwenye kitu hatari? Nikipata magonjwa je?
Kwa ujinga huu, siolewi.
DahHaya, jiongeze mkuu.....
Minimeishia hapa na mengine kafukue mwenyewe....
Kadogo, kazuri katamu Vs mtafutaji, mcha Mungu na mzembe wa kwichikwichi
Simtaki mume wangu kabisa kimapenzi, akili yangu ipo kwa boyfriend wangu
4.Sexless's laws of relationship
Juzi ulikuja hapa na uzi kwamba upo kwenye ndoa ya miezi nane lakini unampenda boyfriend kuliko mume
Mods tunaomba aina ya watu kama huyu muwafungie kabisa maana wanaondoa credibility ya JF