Sijaolewa kwasababu "ndoa za watu zinanivunja moyo"

Sijaolewa kwasababu "ndoa za watu zinanivunja moyo"

Mm sijajolewa na natamani siku ifike nije nimpate wangu wa peke yangu atakaye nipenda kwa dhati ya moyo wake. Halafu atulie tuli. Bila hivyo siolewi.

Mpk sasa nina miaka 29, lkn kila nikitaka kuingia kwenye ndoa moyo unasita. Kwasabbb tangu nipevuke nimekuwa natongozwa na wanaume (lkn walio wengi ni waume za watu).

Sasa najiuliza inamaana na mm nikiingia kwenye ndoa mume wangu atakuwa anachepuka kama hawa? Sasa kama una mume halafu kucha kutwa anahaingaika na akina dada wa kitaa, nini maana yake?

Ndoa nn faida yake ikiwa hata ukiwa nayo mwenzi wako anachepuka?

Wanawake wengi wameridhika na ujinga huu. Ukiongea nao wanasema "wanaume ndiyo walivyo au wanaume hawaridhiki". Sasa kama hawaridhiki? Ndiyo nijiingize kwenye kitu hatari? Nikipata magonjwa je?

Kwa ujinga huu, siolewi.
Ukifikia umri wa miaka 32 bila kuolewa... uje upitie tena huu uzi wako halafu uone kama utakuwa na mawazo haya..!!!
 
Mm sijajolewa na natamani siku ifike nije nimpate wangu wa peke yangu atakaye nipenda kwa dhati ya moyo wake. Halafu atulie tuli. Bila hivyo siolewi.

Mpk sasa nina miaka 29, lkn kila nikitaka kuingia kwenye ndoa moyo unasita. Kwasabbb tangu nipevuke nimekuwa natongozwa na wanaume (lkn walio wengi ni waume za watu).

Sasa najiuliza inamaana na mm nikiingia kwenye ndoa mume wangu atakuwa anachepuka kama hawa? Sasa kama una mume halafu kucha kutwa anahaingaika na akina dada wa kitaa, nini maana yake?

Ndoa nn faida yake ikiwa hata ukiwa nayo mwenzi wako anachepuka?

Wanawake wengi wameridhika na ujinga huu. Ukiongea nao wanasema "wanaume ndiyo walivyo au wanaume hawaridhiki". Sasa kama hawaridhiki? Ndiyo nijiingize kwenye kitu hatari? Nikipata magonjwa je?

Kwa ujinga huu, siolewi.
Maelezo yako ni sawa na kusema kuwa kwakuwa matajiri wengi wanavamiwa na majambazi na wengine hata kuuawa unaona ni bora usitafute pesa ili na wewe uwe tajiri siku moja...
 
Mods wakimpiga ban huyu wanipige pia ya wiki, nawaruhusu. Huyu tangu huko anajiandikia na kuchanganya madesa. I wonder mods hawamuoni au wanapenda anavyojichanganyia jinsia! Au nao wanafurahia uandishi wa ajabu ajabu hivi.
Sijui kwa kweli ila huyu mwamba yeye hapa jamnvini ameji identify kama me na kama ke, haeleweki
 
Mm sijajolewa na natamani siku ifike nije nimpate wangu wa peke yangu atakaye nipenda kwa dhati ya moyo wake. Halafu atulie tuli. Bila hivyo siolewi.

Mpk sasa nina miaka 29, lkn kila nikitaka kuingia kwenye ndoa moyo unasita. Kwasabbb tangu nipevuke nimekuwa natongozwa na wanaume (lkn walio wengi ni waume za watu).

Sasa najiuliza inamaana na mm nikiingia kwenye ndoa mume wangu atakuwa anachepuka kama hawa? Sasa kama una mume halafu kucha kutwa anahaingaika na akina dada wa kitaa, nini maana yake?

Ndoa nn faida yake ikiwa hata ukiwa nayo mwenzi wako anachepuka?

Wanawake wengi wameridhika na ujinga huu. Ukiongea nao wanasema "wanaume ndiyo walivyo au wanaume hawaridhiki". Sasa kama hawaridhiki? Ndiyo nijiingize kwenye kitu hatari? Nikipata magonjwa je?

Kwa ujinga huu, siolewi.
Katafute maraika akuoe,
Life is about taking risk,usipokuwa tayari ku take risk,hutafsnya chochote hapa duniani,
Naogopa kuanzisha biashara ya duka,kwa sababu Kuna watu nimewaona wameshindwa kulipia flemu,biashara wakafunga!
Naogopa kwenda kulima nyanya,je zikikosa soko zikaoza!
Acha hayo mawazo,olewa fasta ukigonga 35,we itabidi ukubali kuchezewa na vben ten,au uwe mchepuko wa wazee wa 50+,vijana wenzako wa umri huo,watakuwa wameishaoa.
Binti wa 20+anaolewa na kijana wa 30,sasa wewe ukifika 30+,wakukuoa ,wameishaoa.
 
Juzi ulikuja hapa na uzi kwamba upo kwenye ndoa ya miezi nane lakini unampenda boyfriend kuliko mume

Mods tunaomba aina ya watu kama huyu muwafungie kabisa maana wanaondoa credibility ya JF

huyu anabadilika kulingana na siku wala usishangae.
 
Back
Top Bottom