Sijaolewa kwasababu "ndoa za watu zinanivunja moyo"

Sijaolewa kwasababu "ndoa za watu zinanivunja moyo"

Mm sijajolewa na natamani siku ifike nije nimpate wangu wa peke yangu atakaye nipenda kwa dhati ya moyo wake. Halafu atulie tuli. Bila hivyo siolewi.

Mpk sasa nina miaka 29, lkn kila nikitaka kuingia kwenye ndoa moyo unasita. Kwasabbb tangu nipevuke nimekuwa natongozwa na wanaume (lkn walio wengi ni waume za watu).

Sasa najiuliza inamaana na mm nikiingia kwenye ndoa mume wangu atakuwa anachepuka kama hawa? Sasa kama una mume halafu kucha kutwa anahaingaika na akina dada wa kitaa, nini maana yake?

Ndoa nn faida yake ikiwa hata ukiwa nayo mwenzi wako anachepuka?

Wanawake wengi wameridhika na ujinga huu. Ukiongea nao wanasema "wanaume ndiyo walivyo au wanaume hawaridhiki". Sasa kama hawaridhiki? Ndiyo nijiingize kwenye kitu hatari? Nikipata magonjwa je?

Kwa ujinga huu, siolewi.
Itoshe kusema mwaka huu unapata mume (case close)
 
Nini kifanyike?

Hakuna kitakachoweza kufanyika mpaka mwisho wa dahari.
Thing's gonna be worse than ever!!


Nimekuja kufahamu kuwa Africans we do not have purest love to our spouses.

We are used to pretend to love!

Kama unampenda kwa moyo wa that mkeo au mumeo huwezi kuchepuka abadani [emoji108][emoji108][emoji108]
 
Ukitaka kuwaelewa baadhi ya watu kama anayejiita asiye na jinsia ni kupoteza muda. Mpka leo hajaelewa jinsia yake ni ipi then anakuja na mada za kuolewa na siku nyingine za kuoa.
Ila na fikiri mtoa mada ni mwanamke aliye na tatizo fulani la kisaikolojia.
 
Mm sijajolewa na natamani siku ifike nije nimpate wangu wa peke yangu atakaye nipenda kwa dhati ya moyo wake. Halafu atulie tuli. Bila hivyo siolewi.

Mpk sasa nina miaka 29, lkn kila nikitaka kuingia kwenye ndoa moyo unasita. Kwasabbb tangu nipevuke nimekuwa natongozwa na wanaume (lkn walio wengi ni waume za watu).

Sasa najiuliza inamaana na mm nikiingia kwenye ndoa mume wangu atakuwa anachepuka kama hawa? Sasa kama una mume halafu kucha kutwa anahaingaika na akina dada wa kitaa, nini maana yake?

Ndoa nn faida yake ikiwa hata ukiwa nayo mwenzi wako anachepuka?

Wanawake wengi wameridhika na ujinga huu. Ukiongea nao wanasema "wanaume ndiyo walivyo au wanaume hawaridhiki". Sasa kama hawaridhiki? Ndiyo nijiingize kwenye kitu hatari? Nikipata magonjwa je?

Kwa ujinga huu, siolewi.
Miaka 29 nan aoe mzee na vibinti kibao kitaa wamejaa [emoji3][emoji3][emoji3]
# nacheka lkn naogopa
 
Juzi ulikuja hapa na uzi kwamba upo kwenye ndoa ya miezi nane lakini unampenda boyfriend kuliko mume

Mods tunaomba aina ya watu kama huyu muwafungie kabisa maana wanaondoa credibility ya JF
huyu hana ishu anaham tu kupakuliwa kupitia JF
 
Dume hilo
KUNA Dem mmoja humu anaitwa jadit alitoa fursa watu wamtokee ili achague wa kumuoa.. mimi nikajitosa sababu nilikuwa seriously kwenye hii issue ya NDOA. nilistuka aliponambia anaishi CHATTO kwa MEKO nikamuuliza unakaa eneogani hapo chato akawa anasita kunijibu..
bas akakubali tukaanza michakato tukapeana namba tukaanza kuchat ilipofikia nataka tuonane videocall akawa hapokei nikimuuliza vipi mbona hupokei anasema yupo sehem mbaya nikampigia usiku akapokea lakini akaweka giza simuoni nikamuuliza vipi anachoongea simuelewi nikamchana nilimtafuta picha yake nikampata nitofauti na alizo nitumia nikamwambia aache utapeli sikuhizi watu wengi wapo makini unapoelekea kumtapeli.
 
usikariri, uliyenaye usimfananishe na wengine, na uhusiano wako hauwezi kufana na wa wengine, hizo couples zenye changamoto,hawafanani na nyie, yafanye mahusiano yako kuwa unique usi copy paste
 
KUNA Dem mmoja humu anaitwa jadit alitoa fursa watu wamtokee ili achague wa kumuoa.. mimi nikajitosa sababu nilikuwa seriously kwenye hii issue ya NDOA. nilistuka aliponambia anaishi CHATTO kwa MEKO nikamuuliza unakaa eneogani hapo chato akawa anasita kunijibu..
bas akakubali tukaanza michakato tukapeana namba tukaanza kuchat ilipofikia nataka tuonane videocall akawa hapokei nikimuuliza vipi mbona hupokei anasema yupo sehem mbaya nikampigia usiku akapokea lakini akaweka giza simuoni nikamuuliza vipi anachoongea simuelewi nikamchana nilimtafuta picha yake nikampata nitofauti na alizo nitumia nikamwambia aache utapeli sikuhizi watu wengi wapo makini unapoelekea kumtapeli.
jadit njoo huku kuna ujumbe wako
 
KUNA Dem mmoja humu anaitwa jadit alitoa fursa watu wamtokee ili achague wa kumuoa.. mimi nikajitosa sababu nilikuwa seriously kwenye hii issue ya NDOA. nilistuka aliponambia anaishi CHATTO kwa MEKO nikamuuliza unakaa eneogani hapo chato akawa anasita kunijibu..
bas akakubali tukaanza michakato tukapeana namba tukaanza kuchat ilipofikia nataka tuonane videocall akawa hapokei nikimuuliza vipi mbona hupokei anasema yupo sehem mbaya nikampigia usiku akapokea lakini akaweka giza simuoni nikamuuliza vipi anachoongea simuelewi nikamchana nilimtafuta picha yake nikampata nitofauti na alizo nitumia nikamwambia aache utapeli sikuhizi watu wengi wapo makini unapoelekea kumtapeli.
Ila na wewe haupo serious Jamani, kutafuta mke kwa style hiyo? Wenzio wanafanya hivyo kutafuta marafiki tu ukishamjua na kumzoea ndo utajua kama anafaa kuwa mke au la..
 
Ila na wewe haupo serious Jamani, kutafuta mke kwa style hiyo? Wenzio wanafanya hivyo kutafuta marafiki tu ukishamjua na kumzoea ndo utajua kama anafaa kuwa mke au la..
MKUU...kumbe wewe ukiwasha gari huwa unaondoka na gia no. 5!! nilikuwa sijakuelewa
muulize huyo niliyemtaka tulichoongea mpaka kaingia mitini..atakujuza nilimpa maneno gani
 
Ila na wewe haupo serious Jamani, kutafuta mke kwa style hiyo? Wenzio wanafanya hivyo kutafuta marafiki tu ukishamjua na kumzoea ndo utajua kama anafaa kuwa mke au la..
iko hiviii.. mke au mume huwezi kumjua utampata lini au wapi. ni popote tu mtakapoanzia na mwishoe ndio mnajikuta mko pamoja na maisha yatakwenda kama mungu alivojalia.
 
Ila na wewe haupo serious Jamani, kutafuta mke kwa style hiyo? Wenzio wanafanya hivyo kutafuta marafiki tu ukishamjua na kumzoea ndo utajua kama anafaa kuwa mke au la..
niko seriously.. sitanii nina experience katika hili sipo kwenye maaribio
 
Back
Top Bottom