Sijaona hedhi yangu ya mwezi huu July, nitakuwa na mimba?

Sijaona hedhi yangu ya mwezi huu July, nitakuwa na mimba?

Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu, tarehe zangu za kupata hedhi ni kama ifuatavyo: 19/3/2023, 19/4/2023, 21/5/2023, 20/6/2023 lakini huu mwezi wa sita nilikutana na baba watoto tarehe 4 na tarehe 5

Nimejaribu kupima kipimo kinaonesha negative ila nikitumia tochi kumulika kipimo kuna mstari unajichora kwa mbali, lakini natumia nguvu nyingi kuuangalia. Sasa sielewi, nina mimba au sina?
Nadhani ulikutana na mwenzako mwezi wa saba na si wa sita ili kuwa na mantiki.
 
Habari,

Kama kichwa cha habari kinavyojieleza mwezi huu wa saba sijapata hedhi yangu, mtiririko wa hedhi yangu ni kama ifuatavyo:19/3/2023,19/4/2023,21/5/2023,20/6/2023 lakini mwezi wa saba nilikutana na baba watoto wangu yaani tarehe 4/7/2023 na tarehe 5/7/2023 hatukutumia kinga.

Baada ya kuona nimepitiliza siku,nikapata mawazo ya kupima kupitia UPT nimepima lakini kipimo kinaonesha negative lakini nikitumia tochi kukimwulika kwa mbaali naona kimstari kama kinakuja sasa sielewi nina mimba au ni hormone imbalance?
 
Habari,kama kichwa cha habari kinavyojieleza mwezi huu wa saba sijapata hedhi yangu ,mtiririko wa hedhi yangu ni kama ifuatavyo:19/3/2023,19/4/2023,21/5/2023,20/6/2023 lakini mwezi wa sita nilikutana na baba watoto wangu yaani tarehe 4/7/2023 na tarehe 5/7/2023 hatukutumia kinga,baada ya kuona nimepitiliza siku,nikapata mawazo ya kupima kupitia UPT nimepima lakini kipimo kinaonesha negative lakini nikitumia tochi kukimwulika kwa mbaali naona kimstari kama kinakuja sasa sielewi nina mimba au ni hormone imbalance?
 
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu, tarehe zangu za kupata hedhi ni kama ifuatavyo: 19/3/2023, 19/4/2023, 21/5/2023, 20/6/2023 lakini huu mwezi wa sita nilikutana na baba watoto tarehe 4 na tarehe 5

Nimejaribu kupima kipimo kinaonesha negative ila nikitumia tochi kumulika kipimo kuna mstari unajichora kwa mbali, lakini natumia nguvu nyingi kuuangalia. Sasa sielewi, nina mimba au sina?Kwa mzunguko wako, na kama mlikutana mwezi wa saba

Bado hili ni suala mtambuka.
Kwa mzunguko wako na kama mlikutana mwezi wa saba:

1: Urefu wa siku za mzunguko ni siku 30 vs 31.

2: Hii inafanya tarehe ya yai kupevuka kuwa siku ya 15, 16 au 17 ya mzunguko (maximum).

3: Kuanzia tarehe20/6/2023 mpaka tarehe 4 au 5/7/2023 ni jumla ya siku 14 vs 15.

4: Tarehe zako tarajiwa ilikuwa ni tarehe 20 vs 21/07/2023

5: Kutoka siku ya 14 vs 15 ya mzunguko mpaka leo, ni jumla ya siku 13, ambayo UPT huitaji siku kuanzia siku ya 14 kuwa positive kwa watu wengi.

NB: Kama hakuna swala jingine, likely mjamzito, angalia mpaka baada ya siku 14 tangu mkutane.

Pia ondoa mambo mengine kama kuumwa, stress, safari/kubadili hali ya hewa ambayo pia ni mambo husika nk.
 
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu, tarehe zangu za kupata hedhi ni kama ifuatavyo: 19/3/2023, 19/4/2023, 21/5/2023, 20/6/2023 lakini huu mwezi wa saba nilikutana na baba watoto tarehe 4/7/2023 na tarehe 5/7/2023

Nimejaribu kupima kipimo kinaonesha negative ila nikitumia tochi kumulika kipimo kuna mstari unajichora kwa mbali, lakini natumia nguvu nyingi kuuangalia. Sasa sielewi, nina mimba au sina?
Kwa hiyo siku zimepotelea kwenye jukwaa lini?

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
 
Nauliza Tu Kojolea Ndani Ilitumika Vema Au LAaa HashaA
 
Ukihesabu siku kutoka hedhi ya mwisho Hadi tarehe ya kukutana na mwenzi wako, zinafika siku 15-17 ambazo ni siku za hatari kwa mwanamke!

Inawezekana ukawa umeshika kweli though ni vzur kama ungesema unatumia siku ngap ukiwa hedhi
Natumia siku 5
 
Back
Top Bottom