figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,724
- 55,906
Sasa kama yy ni tapeli si lazima azungukwe na matapeli!
Ha ha ha ha ha ha Some Nasty Comments on here.mzee huyu
Huyu ni diwani wa kata gani hapa tz?
Msanii mahiri wa filamu za hapa Bongo, Mayasa Mrisho ‘Maya'
amefunguka kuwa katika pitapita zake zote bado hajaona
mwanaume ambaye anaweza kuwa naye na kumzalia mtoto
kwani wote anawaona ni tapeli wa mapenzi.
Akizungumza nasi hivi karibuni Maya alisema kuwa hakuna kitu
anachokitamani kama kupata mtoto lakini kila akifikiria mtu
anayeweza kupata naye mtoto ndipo ugumu unapokuja.
Hapo anajinadi tu hana lolote,miguu yenyewe kama Gatuso.